Kuna MWANAKWAYA kanivutia kanisani kwetu...

Kuna MWANAKWAYA kanivutia kanisani kwetu...

A4.

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
670
Reaction score
109
Ni kama mara ya tatu namwona; anaimba vizuri , anacheza vizuri, anavaa mavazi ya heshima, ni mzuri wa wastani, kiukweli ananivutia sana.
Nitadondoshaje ngeli sasa kwa watu wanaomsifu Mungu kama hawa? Nijiunge na kwaya ama nimfizie wakati anatoka kanisani? Nipeni ushauri wandugu.
 
Hao ndio wanalika kirahisi sana hofu yako tu mchane live
 
mmmmmmh hapo kazi jiunge na kikundi chochote cha kazi za kanisa km kwaya, maombi, maendeleo maana huwa wanapenda kuchukuliwa na mtu anayemjua mungu
 
mmmmmmh hapo kazi jiunge na kikundi chochote cha kazi za kanisa km kwaya, maombi, maendeleo maana huwa wanapenda kuchukuliwa na mtu anayemjua mungu

Alaa kumbe ndio kazi zenu sio! '
 
huyo mzuri aiseee..hebu kamwage sera..itakuwa Mungu kakulocate
 
sina uhakika kama kweli huwa unasali unapokuwa huko kanisani
 
...Nitadondoshaje ngeli sasa kwa watu wanaomsifu Mungu kama hawa? ... nimfizie wakati anatoka kanisani? Nipeni ushauri wandugu.
du kweli vita ni popote...anyway mi nadhani mfizie akitoka umuimbishe!
 
Ni kama mara ya tatu namwona; anaimba vizuri , anacheza vizuri, anavaa mavazi ya heshima, ni mzuri wa wastani, kiukweli ananivutia sana. Nitadondoshaje ngeli sasa kwa watu wanaomsifu Mungu kama hawa? Nijiunge na kwaya ama nimfizie wakati anatoka kanisani? Nipeni ushauri wandugu.
Funga bila kula wala kunywa siku 40 kwa maombi mazito. Baada ya siku 40 utaomuona anakuja mwenyewe kwako!
 
Ukishindwa kumwambia mchungaji muambie "nimekuota"
 
--------- na shetani wewe. Mtu wa Mungu hawezi kuja hapa na kuleta ushetani wake kama huu. Ushindwe kwa JINA LA YESU..!
 
Kama kweli ww unamcha mungu
Usitumie njia zozote za kurubuni kama kujiunga kwaya, au kufanya kazi za kanisani ili mradi tu umpate.

Jipange kamwage verse jiamin
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom