Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Ni muda ambao unamkumbuka sana yule uliyempenda sana kwa dhati, unatamani ingekuwa ni jana tu ili leo mrekebishe makosa yenu na kuanza upya! lakini unajikuta umechelewa sana kiasi kwamba huna chochote cha kufanya!
Ukiwa binadamu dhaifu sana ndio watu huishia kujinyonga ama kuwa mlevi kupindukia, kuwa na msongo wa mawazo!
Usimwache aende kama bado unampenda sana itakutesa sana kisaikologia!
Ukiwa binadamu dhaifu sana ndio watu huishia kujinyonga ama kuwa mlevi kupindukia, kuwa na msongo wa mawazo!
Usimwache aende kama bado unampenda sana itakutesa sana kisaikologia!