Kuna mtu yupo nyuma ya Askofu Gwajima?.

Kuna mtu yupo nyuma ya Askofu Gwajima?.

DexterLab

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2024
Posts
286
Reaction score
299
Sio jambo la kawaida kwa sasa mwanachama wa CCM kutoka hadharani na kuja kuongea bila uoga kuhusu masuala ambayo bunge letu limetupilia mbali mjadala husika.

Nani anampa kiburi mzee wa Kawe?
 
Huahaha huyu mtu anafanya nini huko nyuma ya Gwaji boy?

Mnataka kumsingizia ufedhuli wenu yule siyo chawa.
 
sio jambo la kawaida kwa sasa mwanachama wa CCM kutoka hadharani na kuja kuongea bila uoga kuhusu masuala ambayo bunge letu limetupilia mbali mjadala husika,


Nani anampa kiburi mzee wa kawe?

kwenu jf great thinkers
Sio mtu alikuwa na watu, Kwani hukuwaona wale walio kuwa wamekaa nyuma yake wakati anaongea.?
 
sio jambo la kawaida kwa sasa mwanachama wa CCM kutoka hadharani na kuja kuongea bila uoga kuhusu masuala ambayo bunge letu limetupilia mbali mjadala husika,


Nani anampa kiburi mzee wa kawe?

kwenu jf great thinkers
ili imsaidie nini mwananchi wa jimboni kwangu anae hitaji huduma bora zaidi za maji, elimu, afya nk.? 🐒
 
sio jambo la kawaida kwa sasa mwanachama wa CCM kutoka hadharani na kuja kuongea bila uoga kuhusu masuala ambayo bunge letu limetupilia mbali mjadala husika,


Nani anampa kiburi mzee wa kawe?

kwenu jf great thinkers
Tz ni nchi ya hovyo sana mtu akiongra ukweli mnaanza porojo

Tatizo kuendekeza uchawa kusifia tu inafika mahali watu mnakosa ata kujiamini
Ndo maana akija mtu na confidence kama alivofanya Gwajima basi na nyuzi za kuhojii nani yuko nyuma yake
 
sio jambo la kawaida kwa sasa mwanachama wa CCM kutoka hadharani na kuja kuongea bila uoga kuhusu masuala ambayo bunge letu limetupilia mbali mjadala husika,


Nani anampa kiburi mzee wa kawe?

kwenu jf great thinkers
Watanganyika!

Swali jingine?
 
sio jambo la kawaida kwa sasa mwanachama wa CCM kutoka hadharani na kuja kuongea bila uoga kuhusu masuala ambayo bunge letu limetupilia mbali mjadala husika,


Nani anampa kiburi mzee wa kawe?

kwenu jf great thinkers
Mungu ndo yupo juu ya Askofu Gwajima; mmezoea kubebwa bebwa ndo maana hamwezi kufikiri mtu aweza kufanya jambo kwa Utashi wake
 
sio jambo la kawaida kwa sasa mwanachama wa CCM kutoka hadharani na kuja kuongea bila uoga kuhusu masuala ambayo bunge letu limetupilia mbali mjadala husika,


Nani anampa kiburi mzee wa kawe?

kwenu jf great thinkers
Kama wewe ulivyo nyuma ya CHAUMA..
Ubaya Ubwela.
 
Nchi hii huwezi kuzungumza bila kuwa mbele/nyuma ya mtu. Dead brains.

I used to watch Dexter cartoons. Your post feels like a mental assessment quagmire.
 
Back
Top Bottom