fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,030
Weeee!! Sijasema vyovyote, tafuta jina zuri la kuniita aisee.hahahaahh nikuite vyovyote tu ninavyotaka sawa
Weeee!! Sijasema vyovyote, tafuta jina zuri la kuniita aisee.hahahaahh nikuite vyovyote tu ninavyotaka sawa
Ushauri mzuri sanaUsimwambie utajidhalilisha mtoto wa watu kutongoza wanaume,,,wanaume tukitongozwa hatuachi na kukupiga mizinga,,,halaf kwa vile atakua labda hakupendi anakuomba 0655 ukimpa anakugegeda then anakutupa km kipis cha sigara baadae anakuja huku jf anaanza kupaka wanawake wa jf hwana lolotee... So kwa heshima ya wadada wenzako na heshima ya jf usimwambie... Uchune mpka ajishtukie mwenyewe... Sisi wanaume tunawatesa sana wanaotupenda na tunajitesa kwa wasiotupenda...

hahahhahah fakalavaWeeee!! Sijasema vyovyote, tafuta jina zuri la kuniita aisee.
Naam.hahahhahah fakalava
![]()
![]()
![]()
![]()
Huoni anavyozengea zengea humu, ukute ni yeye.
Ila bora awe yeye ili niwe na amani.

we mtu ni sheedaNaam.
Abee..We Husna..!
Hujambo Nipe na hali ya Daby
Umekula uroda eeh?Au kula uroda![]()
![]()
hahahhh hayo hayoAu kula uroda![]()
![]()
ukitaka hivyo uwe mtu wa kuanzisha threadNatamani zali liangukie kwangu

Ni sheeda kweli, wallah nikikufikiria moyo unadunda ti ti ti kwa mashamsham yako.we mtu ni sheeda
Mbona Daby atumuoni?hahahhh hayo hayo
hahahahh fakalava hivi tu hujui nafananaje shauri yako we ushaunda mtu anaefanana na shunie ukija kumuona tofauti sijui utakimbiaNi sheeda kweli, wallah nikikufikiria moyo unadunda ti ti ti kwa mashamsham yako.
uje kunianzishia thread