Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
- Thread starter
- #2,181
Pm ya kazi gani, Husna ukuje huku mchepuko wako unachepukia kwingine

Pm ya kazi gani, Husna ukuje huku mchepuko wako unachepukia kwingine

subili nikianzishaI wish I could be the one to comment on your thread..!
Ha ha haaaukifutwa tutamuona tu mwangalie Daby alivyokua mpole kwa husna teh
hahahhh si kwa maswali hayoNiliviona kwa mbali
Mambo husiii
Mvumilivu hula mbivuAlivyo na tamaa huyo Husna ana kazi ya ziada
Utafikiri klinikihahahhh si kwa maswali hayo
Km nini?Kama naniii
hahahhhh kumbe uliiona aya no hii 0713 800800Mmm ile sii itaki muamala wangu upotee tu
Hata mimi nli iona nshamjibu siitakihahahhhh sakayo manga asije akarudi akakutana no iliyotumwa na mtu mmoja niliona
Anaelekea kumpoteza sasahusna futa uzi huu bae wako si ulishampata
hahahhhhUtafikiri kliniki
Mtu mzima ukifumwa unakuwa mdogo ka piritoniWala niende wapi mie....
Hahaha....sijafumwa yaan kumsifia kote hukoMtu mzima ukifumwa unakuwa mdogo ka piritoni


Nitafutie babu basi shemejiLabda nitoe machozi tu
hahahhhHata mimi nli iona nshamjibu siitaki
Hahaaaukifutwa tutamuona tu mwangalie Daby alivyokua mpole kwa husna teh
si unajua bae wake mwenyewe fisi kila mtu anamtamani husna futa huu uzi uanzishe mwingine kuwa mshakubaliana muonaneAnaelekea kumpoteza sasa

UlongoooKama ni Manga basi amekwisha sio kwa mwandiko huo, supermarket alikuwa na mwandiko mtamu kuliko wa Daby