snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,638
- Thread starter
- #21
hehehehehe...usiwe na hofu my pacha snowhite naweka mambo sawa tu ntaibuka soon...lol ...hao waache waseme tu!
Kuna vijimambo vimenibana tu mwaya..na imetokea bahati tu ile kuibuka nakutana na kigongo hiki..loset!
poa poa my pacha fanya mambo si unajua baba alikuachia mji mama anakutegemea na mashangazi ndo wanakua,wifi mwenyewe kifaa sasa unafikiri bila kuchopchop matumizi hali si itakuwa tete!mie huku kwa shem wako nipo salama wajomba zako wako poa!sasa hapa roho yangu imetulia!:A S-coffee: