Kuna mtu kajichanganya katuma pesa eatel money Tsh 50000 wadau vipi niitoe?

We ungefanya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huwezi jua uliyemtumia ana shida gani.

Fikiria ndo wewe alafu una shida zako ukakosea kumtumia mtu na ukajua imeshamfika ukapotezea hata kumuuliza,je ungependa iende hivi hivi tuu?

Basi mkuu we kubali kugharamia weka vocha mpigiee simu kwa hyo namba,na kama imekuja kwa namba ya wakala basi eidha mtumaji alikuwa njiani kwa wakala kiasi kwamba alipotuma tu akaondoka na wakala yupo mbali na mtumaji.

Muhimu skili,ia kwanza,huwezi jua,unaweza kuanzisha urafiki na mtu ambae umemfanyia wema kama huo mpaka ukasema kumbe kutenda wema kuna faida zake sana.

Jaribio ls Mungu hilo,usikubali kufeli jaribio la Mungu kwa alfu hamsini mkuu,piga one ya point 7 hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huwezi jua uliyemtumia ana shida gani.

Fikiria ndo wewe alafu una shida zako ukakosea kumtumia mtu na ukajua imeshamfika ukapotezea hata kumuuliza,je ungependa iende hivi hivi tuu?

Basi mkuu we kubali kugharamia weka vocha mpigiee simu kwa hyo namba,na kama imekuja kwa namba ya wakala basi eidha mtumaji alikuwa njiani kwa wakala kiasi kwamba alipotuma tu akaondoka na wakala yupo mbali na mtumaji.

Muhimu skili,ia kwanza,huwezi jua,unaweza kuanzisha urafiki na mtu ambae umemfanyia wema kama huo mpaka ukasema kumbe kutenda wema kuna faida zake sana.

Jaribio ls Mungu hilo,usikubali kufeli jaribio la Mungu kwa alfu hamsini mkuu,piga one ya point 7 hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
sio 1 ya 3 mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wapi nimeandika Kua Nina njaa? Usinitie hasira utamkosesha pesa mwenzio shauri yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kaka ktk situation kama hii inakubidi mwenyewe ujiongeze inawezekana kuna mtu ana mgonjwa na ameshachanganyikiwa akili sasa hapo ametuma hela ya dawa aliyekuwa anatumiwa hajui ikitumwa hela kunakuwa na ishara gani aliyetuma naye anasahau kuuliza kama ameipata.

Jamaa yangu mwaka 2004 mama yake akiwa mgonjwa kijijini kwao alipigiwa simu ghafla mama yake kazidiwa hela ya dawa hawana,kipindi kile haya mambo ya simu pesa hayakuwepo ikabidi anunue voucher za Vodacom ili amtumie muuza vocha na mpigisha simu kule kijijini kwake awape ndugu zake cash,sasa kule kuchanganyikiwa akamtumia mtu yupo Kigoma wakati target yake ilikuwa Arusha.

Kufupisha story yule aliyetumiwa alikubali kuzirudisha ila akakomaa akakata elf5,mistakes zipo unatakiwa wewe ujitafakari kwamba huyu aliyekosea lengo lake ilikuwa nini?je kama anaokoa maisha ya mtu?japo umechelewa we rudisha tu hiyo hela utapata thwawabu,hiyo kauli njaa nimetania tu nisamehe.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Hapana kaka ktk situation kama hii inakubidi mwenyewe ujiongeze inawezekana kuna mtu ana mgonjwa na ameshachanganyikiwa akili sasa hapo ametuma hela ya dawa aliyekuwa anatumiwa hajui ikitumwa hela kunakuwa na ishara gani aliyetuma naye anasahau kuuliza kama ameipata.

Jamaa yangu mwaka 2004 mama yake akiwa mgonjwa kijijini kwao alipigiwa simu ghafla mama yake kazidiwa hela ya dawa hawana,kipindi kile haya mambo ya simu pesa hayakuwepo ikabidi anunue voucher za Vodacom ili amtumie muuza vocha na mpigisha simu kule kijijini kwake awape ndugu zake cash,sasa kule kuchanganyikiwa akamtumia mtu yupo Kigoma wakati target yake ilikuwa Arusha.

Kufupisha story yule aliyetumiwa alikubali kuzirudisha ila akakomaa akakata elf5,mistakes zipo unatakiwa wewe ujitafakari kwamba huyu aliyekosea lengo lake ilikuwa nini?je kama anaokoa maisha ya mtu?japo umechelewa we rudisha tu hiyo hela utapata thwawabu,hiyo kauli njaa nimetania tu nisamehe.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mkuu na rudisha kwa nani? Sijapigiwa kumbuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah tena akuache asikujaribu, we.hujaribiwi!
Mm nilitumiwa message imeanza na neno TIGOPESA Kwa namba mpya kuwa umepokea T-sh 198000 na salio lako jipya ni T-sh 622000.dk moja mbele nikapigiwa simu Mtu anasema anapiga simu toka TIGO nikaanza kuirecord.mara ananiuliza napiga Simu kutoka Tigo samahani naongea na Nani? Nikamwambia winfrida Haule.Akaniuliza Winfrida upo Wapi kwa Sasa hivi, nikamwambia nipo Dar es salaam.
Mara ya mwisho ulitumia huduma gani ya tigopesa ulitoa hela au uliweka na unaweza kukumbuka mara ya mwisho ulikuwa na kiasi gani? Nikamjibu ngoja nicheki salio.. itaendelea hapo chini...
 
Back
Top Bottom