B-2 STEALTH BOMBER
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 4,649
- 6,411
Wakuu mpo wazima hapa.
Leo nimewaza tu.
1. Kuna mtu ana jikuta yeye ni NYERERE wa sasa hivi hapa jamhuri ya muungano wa Tanzania
2. Kuna mtu hataki kustaafu. Analazimisha mambo kwa utashi wake na manufaa yake na familia yake.
3. Kuna mtu ameonesha udalali wake wazi wazi. Kashindwa ndani ya chama akaamua kutokemea wenzake wakiumizwa. Sio mbaya kufa kufaana. Ila karma ipo.
4. Kuna mtu anavunja katiba na sheria za nchi hapa nadhani rule of law haipo kabisa Tanzania.
5. Kuna mtu anajiita msajili wa vyama vya siasa nchini kweli. Hivi ni msajili wa vyama au msajili wa mafisiemu..?
6. Kuna mtu anajiita mzalendo 🤣🤣🤣🤣 eti tuwe wazalendo (kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake)
7. Kuna watu wanajiita watu wa ulinzi na usalama wa nchi kumbe ni chawa wa fisiemu.
8. Kuna mtu ni shetani ila anajipendekeza kwa watumishi njaa wa kkkt
9. Kuna mtu anataka kuifanya nchi kama urithi wa familia yake.
10. Kuna watu ni wapinzani ila wamepigwa pin na msajili na mahakama. Mpaka sasa fanyeni muwezalo sheria hazipo wamezivunja wao hamna kosa. Amkeni
11. Nakumbusha tu kila baya litashindwa kutaka kurekebisha katiba kwa sasa ya chama chao cha majizi tena kwa njia ya mtandao haitafanikiwa.
Leo nimewaza tu.
1. Kuna mtu ana jikuta yeye ni NYERERE wa sasa hivi hapa jamhuri ya muungano wa Tanzania
2. Kuna mtu hataki kustaafu. Analazimisha mambo kwa utashi wake na manufaa yake na familia yake.
3. Kuna mtu ameonesha udalali wake wazi wazi. Kashindwa ndani ya chama akaamua kutokemea wenzake wakiumizwa. Sio mbaya kufa kufaana. Ila karma ipo.
4. Kuna mtu anavunja katiba na sheria za nchi hapa nadhani rule of law haipo kabisa Tanzania.
5. Kuna mtu anajiita msajili wa vyama vya siasa nchini kweli. Hivi ni msajili wa vyama au msajili wa mafisiemu..?
6. Kuna mtu anajiita mzalendo 🤣🤣🤣🤣 eti tuwe wazalendo (kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake)
7. Kuna watu wanajiita watu wa ulinzi na usalama wa nchi kumbe ni chawa wa fisiemu.
8. Kuna mtu ni shetani ila anajipendekeza kwa watumishi njaa wa kkkt
9. Kuna mtu anataka kuifanya nchi kama urithi wa familia yake.
10. Kuna watu ni wapinzani ila wamepigwa pin na msajili na mahakama. Mpaka sasa fanyeni muwezalo sheria hazipo wamezivunja wao hamna kosa. Amkeni
11. Nakumbusha tu kila baya litashindwa kutaka kurekebisha katiba kwa sasa ya chama chao cha majizi tena kwa njia ya mtandao haitafanikiwa.