Kuna mtu anatumia gmail acc yangu

Kwani TCRA majukumu yake ni yapi...nimempa jibu fupi lakini sahihi...mawasiliano yako yapoingiliwa na mtu suluhu itapatikana TCRA
Unajua ulivyomwambia akufumie picha kama alipata uhakija kwamba unamsaidia sasa wewe alipokuamvia picha hawezi tuma!!jibi ulilompa ulimkata maini maana hakutegemea kama ungemjibu short hivyo!!
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Mkuu pole kwa mjibu uliopewa duu haki mungu nimecheka sana!![emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mambo unayoyapenda ayo
 

Ahsante sana teacher kwa ushauri mzuri japokuwa kuna watu humu hawajui lolote lkn wanalazimika ku koment ili waonekane kila Uzi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…