Mtapigwa mpaka mchakae.Kuna habari ya mtu mmoja ambaye yupo mkuranga anaponesha watu kwa kutumia maji je ina ukweli kiasi gani
Sijawahi kuhudhuria kwa watu wa dizaini hii lkn siwalaumu watu wanaoenda.Mtapigwa mpaka mchakae.
Kweli ni sawa.Sijawahi kuhudhuria kwa watu wa dizaini hii lkn siwalaumu watu wanaoenda.
Mkuu Kuna watu Wana matatizo hapa duniani na wapo tyr kufanya lolote.Mtu anapagawa kiasi kwamba hata umwambie ili upone kuanzia leo inabidi uwe unalala chooni wapo tayari!! Nini maji?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Duh.! Mkuu unatumia tecno ?Anapinesha magonjwa yapi?
Unatuuliza sisi tena?Kuna habari ya mtu mmoja ambaye yupo mkuranga anaponesha watu kwa kutumia maji je ina ukweli kiasi gani
Sahihi kabisaSijawahi kuhudhuria kwa watu wa dizaini hii lkn siwalaumu watu wanaoenda.
Mkuu Kuna watu Wana matatizo hapa duniani na wapo tyr kufanya lolote.Mtu anapagawa kiasi kwamba hata umwambie ili upone kuanzia leo inabidi uwe unalala chooni wapo tayari!! Nini maji?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Imani ni kitu chenye nguvu sana na sometimes wanaoneza habari kwa haraka ni wale waliosaidika kupitia imani yao lakini vilevile kuna madalaliKuna habari ya mtu mmoja ambaye yupo mkuranga anaponesha watu kwa kutumia maji je ina ukweli kiasi gani
Aisee..Sijawahi kuhudhuria kwa watu wa dizaini hii lkn siwalaumu watu wanaoenda.
Mkuu Kuna watu Wana matatizo hapa duniani na wapo tyr kufanya lolote.Mtu anapagawa kiasi kwamba hata umwambie ili upone kuanzia leo inabidi uwe unalala chooni wapo tayari!! Nini maji?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app