Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,947
- Thread starter
- #21
Khaaaaa!title imenipa wakati mgumu sn!
Umeshawahi kusikia maneno "tungo tata"?
Khaaaaa!title imenipa wakati mgumu sn!
Tangu jana naogopa kufungua hii sredi
Naogoa kuona vibinti vilivyokatwa utepe kwa nguvu
Kumbe panzi.....???
How dare you?
Aisee umenitoa uko mkuku nije kutoboa siri kumbe ni mambo ya kukamata balale
mie nimebaka sana panyaMie nilidhani kubaka mwanamke. Kumbe ni kubaka panzi na kumbi kumbi. Mimi nimebaka sana hao enzi zile niko mtoto
mie nimebaka sana panya