Voice of Wisdom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 537
- 240
Usimpotezee wakati.Mwambie ukweli lkn tumia busara. ataumia lkn atapona..
shikamo dada
Usimpotezee wakati.Mwambie ukweli lkn tumia busara. ataumia lkn atapona..
sasa unatuambia sisi kwamba tujue unapendwa ama ni vipi?Kuna msichana anainipenda kweli na kila siku haachi kuniambia kuwa ananipenda na anataka nimuoe ila ukweli ni kwamba simpendi kama anavyo nipenda yeye na sina mpango wa kumuoa na nimekuwa kwenye mahusiano nae kwa takribani mwaka nimejaribu kuwa na furaha nikiwa nae ila sina furaha... Naogopa kumuacha kwani naona nitakuwa nime muumiza sana
Marahaba.Hujambo mdogo wangu!!shikamo dada
Kuna msichana anainipenda kweli na kila siku haachi kuniambia kuwa ananipenda na anataka nimuoe ila ukweli ni kwamba simpendi kama anavyo nipenda yeye na sina mpango wa kumuoa na nimekuwa kwenye mahusiano nae kwa takribani mwaka nimejaribu kuwa na furaha nikiwa nae ila sina furaha... Naogopa kumuacha kwani naona nitakuwa nime muumiza sana
Marahaba.Hujambo mdogo wangu!!
Hapa nimeona ratio kubwa sana huko mbele.usiposema ukweli sasa ibilisi akimbie utakuja Juta huko mbeleniKuna msichana anainipenda kweli na kila siku haachi kuniambia kuwa ananipenda na anataka nimuoe ila ukweli ni kwamba simpendi kama anavyo nipenda yeye na sina mpango wa kumuoa na nimekuwa kwenye mahusiano nae kwa takribani mwaka nimejaribu kuwa na furaha nikiwa nae ila sina furaha... Naogopa kumuacha kwani naona nitakuwa nime muumiza sana
Kuna msichana anainipenda kweli na kila siku haachi kuniambia kuwa ananipenda na anataka nimuoe ila ukweli ni kwamba simpendi kama anavyo nipenda yeye na sina mpango wa kumuoa na nimekuwa kwenye mahusiano nae kwa takribani mwaka nimejaribu kuwa na furaha nikiwa nae ila sina furaha... Naogopa kumuacha kwani naona nitakuwa nime muumiza sana
Kuna msichana anainipenda kweli na kila siku haachi kuniambia kuwa ananipenda na anataka nimuoe ila ukweli ni kwamba simpendi kama anavyo nipenda yeye na sina mpango wa kumuoa na nimekuwa kwenye mahusiano nae kwa takribani mwaka nimejaribu kuwa na furaha nikiwa nae ila sina furaha... Naogopa kumuacha kwani naona nitakuwa nime muumiza sana