Kuna msichana ananipenda

Kuna msichana ananipenda

Mkuu mueleze mapema jinsi mnavyozidi kuwa pamoja ndy na upendo wake kwako unazidi utamuumiza sana unavyozidi

kuchelewa kumwambia.

na ukimuacha mueleze ukweli huu unaotwambia washichana wengi huwa waelewa lakini siyo umuache kwa kumzulia visa

mara hiki mara kile.
 
Sioni hoja hapa,majibu yote unayo,full stop ! unamuonea huruma wakati kutomwambia ukweli ndo unamuangamiza!, acha sanaa kijana. kama kweli unampenda mwambie ukweli sio kucheza na feeling zake.
 
Haya mapenzi bwana... Ukipenda hupendwi, ukipendwa haupendi.
Kazi kweli kweli.

kalaghabahoo!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
yaaaaaani weewe unauakimbia mapenz,halafu unajifsrji utsmpata
 
unaweza ukamwacha kumbe huyo ndo mkweli utakayempata tu..mimi nikipata demu najua 99% ni mkweli, namuoa baada ya miezi tu japokuwa ndo kwanza nina miaka 21..siku hizi wa ukweli wamepotea wote, they are all gold-diggers. Mungu akinipa bahati, Amina sitaipoteza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom