Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Mankaa

Senior Member
Joined
Jan 21, 2012
Posts
156
Reaction score
49
Habar zenu hopE mko good,

okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

Basi tukapanga kuonana ye anakaa mbali kidogo na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike

Mie hyo hadi nilipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprise sikuamini nilivutiwa sana na muonekano wake na yeye akafurahi sana kuniona .

Tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radhi kwa lolote he doesn't care!ananihitaji .

Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yoyote .

Nipeni msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa JF nimempenda tena sana.
 
Khaa unapenda watu wa wawili?ilihali una moyo mmoja?
 
Muombe Mungu pia akupe neema katika hilo siku moja kumjua mtu haitoshi na pia kukaa na mtu mda mrefu haina maana unakidhi kila kigezo kwako, so my suggestion to you...please takecare kabla hujaamua lipi sahihi...Wish you all the best sicy
 
Alfu mwisho wa siku mnakuja kulalalamika hapa oohh mpenzi wangu hanijali oh mapenzi yananitesa nyokonyoko nyingi!,wewe unajijua una mpenzi/wako mchumba wako hw cone unakuwa close na mwanaume mwingine kiasi cha kila siku usiku lazima muongee na mengineyo,huyo anaweza akawa hana mapenzi ya kweli na ww may b amekutamani tu onetime,coz hajakugegeda,so ana hamu na ww,ila huyo ambae ashakugegeda na still anaweza kukuangalia machoni kukutamkia i love you huyo ndo ana mapenzi ya kweli,by the way maamuzi ni yako either kuharibu future yako au kuijenga.
 
Ni ishara umevutiwa na jamaa kwa kua ana gar na inawezekana mpenz wako hana,pili hujitambui na hujui unataka nn hasa,mi nakushaur uende kwa huyo jamaa wa jf achana na mchumba wako wa zaman,mwambie kua moyo wako umehamia kwingne ajue.
 
Mchumba wako hujaridhika naye ndiyo maana ulikubali kuonana na kaka wa JF huku ukijua tayari uko na hisia naye. Jiweke kwenye nafasi ya mchumba wako utaweza kufanya maamuzi sahihi huku ukikumbuka miluzi mingi humpoteza mbwa.
 
Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana

Yeye ana mchumba;
Wewe pia una mchumba;

Endeleeni na wachumba wenu kila mmoja; alafu wewe na huyo mshkaji wa hapa JF muanzishe uhusiano usio rasmi; hakika mambo yatakuwa sawa kabisa.
 
Mada za JF siku hizi...Money stunna tayari ashaenda kutambulishwa...mi nakushauri fuata moyo wako!! Hawa wa JF ni karanga zza kuonjeshwa tu..komaa na wa kitaa. Usije adhirika bidada. Hata ingekuwa ni mm ningekuja na swaga hizo za kujaza tank na kukutoa dinna. Jitambue
 
yesu na maria manka!!! yani cha kuonana nae tu hapo hotelini umeshapenda kweli? Apa ruwa! Nyi watoto wa siku isi sijui mna laana gani... saa huyo mamsapu wako unayemjua nje na ndani unamuacha hifi hifi!!! hifi hifi manka? au kwa sababu hyo kipya kinyemi ana gari?

Wai...
 
Nukuu hii hapa chini nimeitoa katika thread yako ya karibuni...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/590805-alichonifanyia-mdogo-wangu-naumia.html

Katika thread hiyo ulitueleza kuwa umeolewa, una mume na namna mdogo wako alivyoiweka ndoa yako matatani...

Nanukuu:

....
baada ya kuondoka mume wangu akaniweka kwa mazungumzo nanukuu( mdogo wako kanieleza mambo ya kusikitisha umekuwa na mazoea mabaya na wanaume pale kwenye biashara wengne wanakuja kila siku,wengne wanaenda china wanakuletea zawadi unanidhalilidha,umekuwa malaya kwa kuzoeana na wanaume lukuki pale kazini na maneno meng sana)

Lakini leo tena naona unatueleza kuwa una mchumba, lakini umekutana na mkaka wa JF ambaye umevutiwa naye na yeye kavutiwa nawe...

Nanukuu:

daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji

Sasa bi mkubwa, huku kama si ni kucheze akili na muda wetu?

Nahisi utajitetea kama wanavyojitetea wengine kuwa katika thread ya mwanzo hakikuwa kisa kinachokuhusu, lakini uliamua kutumia nafsi ya kwanza umoja.

Hebu tuletee utetezi wako bi mkubwa....
 
Alfu mwisho wa siku mnakuja kulalalamika hapa oohh mpenzi wangu hanijali oh mapenzi yananitesa nyokonyoko nyingi!,wewe unajijua una mpenzi/wako mchumba wako hw cone unakuwa close na mwanaume mwingine kiasi cha kila siku usiku lazima muongee na mengineyo,huyo anaweza akawa hana mapenzi ya kweli na ww may b amekutamani tu onetime,coz hajakugegeda,so ana hamu na ww,ila huyo ambae ashakugegeda na still anaweza kukuangalia machoni kukutamkia i love you huyo ndo ana mapenzi ya kweli,by the way maamuzi ni yako either kuharibu future yako au kuijenga.

Unajua walikuwa wanaongea nini kila siku? Mwache mtoto afanye kile anachokiona kinamfaa, kama ni wembe umkate tu.
 
Nukuu hii hapa chini nimeitoa katika thread yako ya karibuni...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/590805-alichonifanyia-mdogo-wangu-naumia.html

Katika thread hiyo ulitueleza kuwa umeolewa, una mume na namna mdogo wako alivyoiweka ndoa yako matatani...

Nanukuu:



Lakini leo tena naona unatueleza kuwa una mchumba, lakini umekutana na mkaka wa JF ambaye umevutiwa naye na yeye kavutiwa nawe...

Nanukuu:



Sasa bi mkubwa, huku kama si ni kucheze akili na muda wetu?

Nahisi utajitetea kama wanavyojitetea wengine kuwa katika thread ya mwanzo hakikuwa kisa kinachokuhusu, lakini uliamua kutumia nafsi ya kwanza umoja.

Hebu tuletee utetezi wako bi mkubwa....

Halafu unaeza kuta kuwa ni dume hilo.
 
Katika thread hii hapa chini umejitabanaisha kwamba una mume na una ndoa ya miaka saba...

https://www.jamiiforums.com/mahusia...1-kuolewa-rahaaaaaaaa-kuzaa-nako-utamuuu.html

Nanukuu:

mie nimeolewa. 7 years ago nliolewa na miaka 17 nimepitia mengi magumu na nimepiga hatua na mume wangu,

Kinachonipa faraja daily ni pale kababy kangu ka 4 year kananigongea asubuhi "mama me naenda shule nafurahi namtukuza MUNGU kunipa huyu mtoto wa kiume!
Anatufanya tunatabasamu hata kukiwa hakuna furaha tunafurah!
hakika ndoa ni mtoto jamani
 
Back
Top Bottom