Kuna mengi ya kutafakari katika hili tukio

Kuna mengi ya kutafakari katika hili tukio

ZANTAC

Member
Joined
Aug 5, 2017
Posts
17
Reaction score
41
Katika pitapita zangu ktafuta kilichojiri ulimwenguni nimekutana na habari moja toka BBC imenifanya nitafakari sana nyendo zangu:

Simba apatikana akimnyonyesha mwana wa Chui Tanzania :

Capture.PNG


Mwana wa chui hawezi kubadili madoa doa katika ngozi yake lakini simba huyo hajali hilo.

Daktari Hunter aliyenasa picha hizi na muhifadhi katika mbuga ya Serengeti anasema Nosikitok ( simba anayenyonyesha) ana watoto wachanga walio na umri sawa na mwana huyo wa chui wakiwa na wiki mbili hadi tatu hivi.

Simba huyo alikuwa kilomita moja kutoka kwa nyumba yao ambapo kuna maficho ya watoto wake alipokutana na chuo huyo mdogo. Alimchukua mwana huyo na kumlea kama wake na humlindi dhidi ya shambulio lolote.


Capture.PNG


Capture.PNG


Kama mnyama asiye na utashi anajali kiumbe dhaifu ambacho hata sio jamii yake, Mimi binadamu mwenye utashi kamili nanyanyasa na kuwatesa watoto wadogo ambao actually ni jamii yangu mwenyewe lakini tu labda sio wangu wa kumzaa, nikipewa nyani nimlee ntaweza kudumu nae hata kwa masaa kweli?


Mama wa kambo na Baba wa kambo tunaonyanyasa watoto wa jamaa na ndugu zetu tuna cha kujifunza katika hili. Kuna wengine tunafanya unyama kwa watoto zetu wa kuwazaa, kuwatusi, kuwapa vibano vya nguvu.

Unapokwazwa na mtoto sema " He is nothing but a little boy/girl, just a little one. "
 
ALAFU UNAKUTANA NA JANAMKE LINATOA MIMBA BASI MOJA JITU LINATOA MIMBA 1,2,3,4,5,6,7,8,9,....

ALAFU UNAKUTA JANAMAME LINAMAPUMBU MAWILI ILAMUIMIZA MWANAMKE WAKE * TOA MIMBA * TOA MIMBA ...MPAKA JINGINE LINAAMUA KUKIMBIA MIMBA ,,MENGINE YANAKANA MIMBA.


WATU WAAINA HIII WOTE KWAPAMOJA WANATAKIWA WANYONGWE.
 
ALAFU UNAKUTANA NA JANAMKE LINATOA MIMBA BASI MOJA JITU LINATOA MIMBA 1,2,3,4,5,6,7,8,9,....

ALAFU UNAKUTA JANAMAME LINAMAPUMBU MAWILI ILAMUIMIZA MWANAMKE WAKE * TOA MIMBA * TOA MIMBA ...MPAKA JINGINE LINAAMUA KUKIMBIA MIMBA ,,MENGINE YANAKANA MIMBA.


WATU WAAINA HIII WOTE KWAPAMOJA WANATAKIWA WANYONGWE.
Kwakweli inaumiza sana.
 
ALAFU UNAKUTANA NA JANAMKE LINATOA MIMBA BASI MOJA JITU LINATOA MIMBA 1,2,3,4,5,6,7,8,9,....

ALAFU UNAKUTA JANAMAME LINAMAPUMBU MAWILI ILAMUIMIZA MWANAMKE WAKE * TOA MIMBA * TOA MIMBA ...MPAKA JINGINE LINAAMUA KUKIMBIA MIMBA ,,MENGINE YANAKANA MIMBA.


WATU WAAINA HIII WOTE KWAPAMOJA WANATAKIWA WANYONGWE.
Inasikitisha sana
 
Kwakweli inaumiza sana.
Yananiumizaga kweli mkuu majitu yanamna hiii .

Yaaan mnagongana wenyewe BILA tahadhar alafu unakuja kuomba kujuzwa nidawa gan INATOA MIMBA ???? .

Mbafu sana yaaan........Utasikai ** nisaidie Nina laki moja hapa *

Pumbavu sana ,,nani kakuambia kalaki kako kanalingana na roho yamtu ???? Nani kakuambia kalaki kako nipesa ??????


Yaaan kama yako humu mi yanielewe tuuuuu * Acheni Usenge*.

Mnapotiana ,,tiananeni mkijua nini kitatokea .
 
Yananiumizaga kweli mkuu majitu yanamna hiii .

Yaaan mnagongana wenyewe BILA tahadhar alafu unakuja kuomba kujuzwa nidawa gan INATOA MIMBA ???? .

Mbafu sana yaaan........Utasikai ** nisaidie Nina laki moja hapa *

Pumbavu sana ,,nani kakuambia kalaki kako kanalingana na roho yamtu ???? Nani kakuambia kalaki kako nipesa ??????


Yaaan kama yako humu mi yanielewe tuuuuu * Acheni Usenge*.

Mnapotiana ,,tiananeni mkijua nini kitatokea .
Ngoja waje
 
Back
Top Bottom