nabii mwingira ni fusika wa kutisha , sisi tumefanya kazi pale inatisha hata kusimulia humu!!!!!!!!
Mtamjuaje kuwa na yeye ni mtabiri bila kutabiri vigogo????hata shekh yahya alikua na tabia hiyohiyo
Nabii Mwingira ni Fusika wa kutisha , sisi tumefanya kazi pale inatisha hata kusimulia humu!!!!!!!!
nawasali katika jina la bwana wangu yesu kristo,huyu kijana mrithi wa shehe yahya ni agent wa ibilisi shaetani anachokifanya ni kutumia hayo majini yake yakawauwe hao aliowakusudia na pia anatuma majini yake mengine yafuate hao viongozi wa dini wakafanye hayo aliyosema kwamba watajiharibia jina mafano anatuma jini au pepo la umalaya au wizi linakufanya uibe.sasa la kufanya mawaziri na hao viongozi wa dini wamshike sana mungu na kuomba ili kusudi hayo majini ya mtoto wa shehe yahya yasifanye kazi kwao na aaibike na utaniri wake wa kishetani,freemasons kazini maombi ndio silahaa kwa jina la yesu,anayebisha kazi kwakeeee.
.
Mtoto wa Shekh yahya ameamua kupiga mluzi ili hao wakuu wa nchi washirikina wajue yupo. Utashuhudia sasa watakavyomiminika kwake sasa kutafuta kinga ya hofu waliyohofishwa.
''waache wafu wawazike wafu wao''
.
Hivi haiwezekani ikatungwa sheria ya kukataza huu upuuzi? Viongozi wengi Africa wamekuwa wanatumia huu mwanya kuwaandaa watu kisaikologia ili wakimshughulikia mtu basi ionekani ni utabiri unatimia. Nani asiyejua kuwa baba yake huyu kijana alikuwa anatumiwa na wakubwa kutisha watu? Kabla ya uchaguzi mkuu uliopitia alitoa utabiri wa kifo kwa mgombea urais! mambo yakawa kinyume, sasa mtoto wake anataka kugeuza watu mazuzu. Huu ni ujima.
Pili, katika dini ya kiislam, utabiri unaruhusiwa?
Tena wa kwanza kwenda huko atakuwa Shibuda, maana so far ndio alotangaza kugombea urais, kwa hiyo tunasubiri rais mtarajiwa shibuda atie timu yake hapo !
Nabii Mwingira ni Fusika wa kutisha , sisi tumefanya kazi pale inatisha hata kusimulia humu!!!!!!!!
:hatari:Na mimi natabiri kuwa CCM itakufa na urais wa JK!:hatari: