MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,698
- 7,884
Kuna zoezi linafanyika la kuvunja majengo ya NHC pale Kariakoo .
Sasa napata ukakasi kwamba yakishavunjwa hayo majengo ya Serikali bango linaonyesha anajenga jengo sio NHC tena kwa maana mmiliki ni mwingine Swali langu haya majengo yanauzwa kwa utaratibu upi? na kwa nini yanauzwa?
Sasa napata ukakasi kwamba yakishavunjwa hayo majengo ya Serikali bango linaonyesha anajenga jengo sio NHC tena kwa maana mmiliki ni mwingine Swali langu haya majengo yanauzwa kwa utaratibu upi? na kwa nini yanauzwa?