Kuna mapenzi kweli hapa

Kuna mapenzi kweli hapa

Usizae kabla ya ndoa mdogo wangu never! Huyo hana mpango wa kukuoa! Kuna mbwa mmoja alitaka kufanya hivyo kwa mdogo wangu nilitaka kumua! Kugongana kabla ya kuoana ni sawa wala usimbanie kwa sababu hutapata mwanaume atakayekuoa kabla ya kusex ila kubeba mimba sikushauri

Halaf nikuulize unagoma kugongwa kabla ya ndoa kwa sababu unajua k yako mbaya inanuka utaachwa au? Kwahiyo unataka kumuuzia mbuzi kwenye gunia? imekula kwako hakuna atakayekubali huo ujinga
Hahaha shake well before use haitaki huyu mdada

Atakufa na utamu wake kama muwa.. Just kidding

Napita tu
 
Usikubali,anamapenzi ndio ila hakuna guarantee kama atakuoa,naomba ujifunze kwa wenzio hapa masingle mother utaelewa zaidi
 
Hao wote unawaomba hela?Nao wasikupe hela au huduma yoyote mpaka wakuoe.
 
Daaaa pole bint,
Nakushauri kama unataka mwanaume wakusubiria mpaka ndoa uende ukashinde makanisani,kwasasa hakuna atakaye kuelewa,mana wengi walijaribu hivyo mwisho wa siku munakuwa bikraless,ama mumefumuliwa rinda sana,lakini wengine munakataa mana munakasoro za maumbile,siku anaoa unashangaa hana tundu,au anajinsia tatanishi.Bora kama unampenzi umueleze madhaifu yako mapema
 
Maisha cyo fair sana.....inaweza kuitunza bikra yako ikaja kutolewa na mume mpumbavu.....in short unajinyima utamu wa dunia
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa kuolewa na kuwa mama kabisa. Nina mahusiano ambayo tulipanga mwakani tufunge ndoa. Kabla ya kuwa na uhusiano na mpenzi wangu wa sasa nilikuwa na uhusiano ambao tulishindwana sababu ya mimi kukataa sex mpaka ndoa, mwenzangu akashndwa uvumilivu akawa na mahusiano mengne ambayo yalipekea uhusiano wetu kufa.

Mpenz wangu wa sasa alikuwa rafiki yangu kwa muda mrefu sana na twajuana mambo mengi na stand yangu anaijua na kabla sijaanza nae mahusiano nilimwambia reason ya kubreak up na x wangu nae akawa tayari kusubiria mpaka ndoa.

Tatizo sasa yeye zaidi ya kutaka sex anataka na mtoto kabla ya ndoa na ndio hadithi ya kila siku na nikimkatalia nikimwambia zaidi ya kuwa sifanyi mapenzi kabla ya ndoa mtoto ndio asahau.Kama anataka mtoto anioe.
Ananiambia kuoa mpaka ajipange ila uwezo wa kulea mtoto anao.

Hivi hapa kakasirika toka juzi hatujawasiliana kisa nilimwambia siwez kupita mbele ya baba na kaka zangu na tumbo mbele wakat sijaolewa, eti nawajali ndugu zangu kuliko yeye kwanza si naish kwangu hao ndugu zangu naweza wakwepa hadi nikajfungua.

NB: Nimeleta hapa siombi ushauri kwa sababu tayari naujua msimamo wangu natoa tu ya moyoni nipunguze hasira kwa sabubu siwezi kumwadithia mtu.
For sure hizi mambo zinafurahisha and am surprised hii kitu nimeikuta pia sehem mtu hataki kusex before marriage kumuuliza kisa cha kuachana na mtu wake mwngne hakuna sababu ya msingi nikauliza vp huyo hamkuwahi pia kusex jibu ni kwamba mechi zilikuepo za kutosha, sasa swali langu my dear dada hii ni kutokana nakuona kwmb mechi za mchangani ambazo hazipandi daraja ni nying sana kiasi kwamba kiwango kinapotea bila mafanikio ama nini? samahani lakini
 
Nna rfk ambae bf alitaka mtt b4 ndoa na yy alikua hataki. Hamad mimba imeingia bht mbaya. Mpk leo mtt ana mwaka bf alishapotea hajawah mwona mtt toka azaliwe. Uckubali kumzalia mtu b4 ndoa
 
Utakimbiwa mpaka uzeeke,nani kakwambia tunaoa bila kula mzigo?
 
Usizae kabla ya ndoa mdogo wangu never! Huyo hana mpango wa kukuoa! Kuna mbwa mmoja alitaka kufanya hivyo kwa mdogo wangu nilitaka kumua! Kugongana kabla ya kuoana ni sawa wala usimbanie kwa sababu hutapata mwanaume atakayekuoa kabla ya kusex ila kubeba mimba sikushauri

Halaf nikuulize unagoma kugongwa kabla ya ndoa kwa sababu unajua k yako mbaya inanuka utaachwa au? Kwahiyo unataka kumuuzia mbuzi kwenye gunia? imekula kwako hakuna atakayekubali huo ujinga
Duuh!! mkuu una maneno makali mno

Ila Kuna papuchi nyingine ni kweli zinanuka aisee! sasa kama ndo ushamuoa halafu unakutana na papuchi nukanuka si ni hatari hiyo!
 
Back
Top Bottom