canular
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 858
- 812
Wakuu naombeni ushauri.
Nina wazo la kuingia shambani, nilime zao gani kati ya nyanya na kabeji?
Na ninahitaji kupata zaidi ya million 2 katika kilimo, nilime kiasi gani ili kufikia lengo?
Ushauri wako aidha nikalime au nifanye kazi ya umeneja katika pub fulani maeneo ya Kunduchi?
Na kama ni kilimo nilime zao gani kati haya mawili; nyanya au kabeji?
Karibuni kwa mchango wa mawazo nifanye lipi kati ya hayo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina wazo la kuingia shambani, nilime zao gani kati ya nyanya na kabeji?
Na ninahitaji kupata zaidi ya million 2 katika kilimo, nilime kiasi gani ili kufikia lengo?
Ushauri wako aidha nikalime au nifanye kazi ya umeneja katika pub fulani maeneo ya Kunduchi?
Na kama ni kilimo nilime zao gani kati haya mawili; nyanya au kabeji?
Karibuni kwa mchango wa mawazo nifanye lipi kati ya hayo?
Sent using Jamii Forums mobile app