Kuna mambo yanafikirisha

Kuna mambo yanafikirisha

Waafrika tumekuwaa engineered kushirikisha Mungu katika nukta ya Jambo katika sayari hii

Basi kama Mungu yupo, then ya Mungu ni ya Mungu. Na ya Mwanadamu ni ya Mwanadamu.

Unakuta mtu anakufa au anapitia makuu watu wanasema KAZI ya Mungu haina makosa mara utasikia tunamuachia Mungu.

NI MUNGU YUPI HUYO?

miaka 400 ya utumwa wa mtu mweusi, kweli mtu aliekuumba anaweza kuruhusu Jambo kama hili?

Maisha NI maisha Tu, ya dunia NI ya dunia
 
MUNGU aliyesema usiue, ndo huyo huyo aliyesema usilale na mwanamke ambaye hujamuoa.

Umefanya uasherati kakuacha, hujamnyooshea kidole kwanini hajakuadhibu.

Mwenzako kaua kaachwa, unamyooshea MUNGU kidole kwanini kamuacha?

You gerrit? ? ?

We kama unaumizwa sana na maovu wanyoshee waovu vidole, BABA yetu muacheni. HAHUSIKI. AMESHAKATAZA.

Our HEAVENLY FATHER is no fool.

Kipindi cha Neema ndo kinaishia hivyo, akija kunyanyuka mtalia na kusaga meno, utafkiri sio nyinyi mliokuwa mnamlalamikia kwanini hafanyi chochote.

Repent and believe the Gospel, the Kingdom of God is about to be settled on earth.
 
Waafrika this waafrika that, wazungu kibao wanamuamini YESU, infact most of the preachers I listen to ni wazungu.

So we kama umeamuma kumkana MUNGU mkane tu, usihusishe uzungu hapa.

Hata miafrika isiyoamini MUNGU ipo kibao, inatuua na risasi za kuulia tembo ili iwe mitajiri
 
MUNGU aliyesema usiue, ndo huyo huyo aliyesema usilale na mwanamke ambaye hujamuoa.

Umefanya uasherati kakuacha, hujamnyooshea kidole kwanini hajakuadhibu.

Mwenzako kaua kaachwa, unamyooshea MUNGU kidole kwanini kamuacha?

You gerrit? ? ?

We kama unaumizwa sana na maovu wanyoshee waovu vidole, BABA yetu muacheni. HAHUSIKI. AMESHAKATAZA.

Our HEAVENLY FATHER is no fool.

Kipindi cha Neema ndo kinaishia hivyo, akija kunyanyuka mtalia na kusaga meno, utafkiri sio nyinyi mliokuwa mnamlalamikia kwanini hafanyi chochote.

Repent and believe the Gospel, the Kingdom of God is about to be settled on earth.
🙏
 
Back
Top Bottom