Andie
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 712
- 1,643
Nimekua napenda kufuatilia wanawake wanaotafuta "mume" humu jf na mitandao mingine sio ili "kujipatia" goma la hasha mimi nishaoa ila hua napenda kuenjoy mawazo yao.
Utamsikia "natafuta mume mimi nimesoma nina kazi yangu, mimi sio tegemezi nina maisha yangu bla bla bla" yani hua nacheka sana yani hawa viumbe jinsi wao wanavyopenda wanaume wenye fedha wanadhani na sisi wanaume tunapenda mwanamke mwenye hela. Miss the point by miles.
1. Una hela ila kiburi na jeuri na ngangari full kujimwambafai nani atakupenda ?!
2. Yani una hela ila una miaka 35 mwanaume gani atapenda kukuoa ?!
3. Ok una hela ila umezalishwa na wanaume 4 tofauti, nani atapenda kukuoa ?!
4. Una hela tena nyingi lakini una lugha chafu, nani akuoe ?!
5. Una hela ila ushatafunwa na wanaume kama 200 nani atatamani kukuoa ?!
Afu utakuta wameweka mavigezo mengi mwanaume naemtaka awe hivi, awe hivi, awe hivi wakati wao sijui hata hawajioni soko lao liko chini sana na ndo maana mpaka wanajianika katafuta mume hua nacheka sana.
Utamsikia "natafuta mume mimi nimesoma nina kazi yangu, mimi sio tegemezi nina maisha yangu bla bla bla" yani hua nacheka sana yani hawa viumbe jinsi wao wanavyopenda wanaume wenye fedha wanadhani na sisi wanaume tunapenda mwanamke mwenye hela. Miss the point by miles.
1. Una hela ila kiburi na jeuri na ngangari full kujimwambafai nani atakupenda ?!
2. Yani una hela ila una miaka 35 mwanaume gani atapenda kukuoa ?!
3. Ok una hela ila umezalishwa na wanaume 4 tofauti, nani atapenda kukuoa ?!
4. Una hela tena nyingi lakini una lugha chafu, nani akuoe ?!
5. Una hela ila ushatafunwa na wanaume kama 200 nani atatamani kukuoa ?!
Afu utakuta wameweka mavigezo mengi mwanaume naemtaka awe hivi, awe hivi, awe hivi wakati wao sijui hata hawajioni soko lao liko chini sana na ndo maana mpaka wanajianika katafuta mume hua nacheka sana.