Kuna mamao yanachekesha jamani daaah

Kuna mamao yanachekesha jamani daaah

Andie

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
712
Reaction score
1,643
Nimekua napenda kufuatilia wanawake wanaotafuta "mume" humu jf na mitandao mingine sio ili "kujipatia" goma la hasha mimi nishaoa ila hua napenda kuenjoy mawazo yao.

Utamsikia "natafuta mume mimi nimesoma nina kazi yangu, mimi sio tegemezi nina maisha yangu bla bla bla" yani hua nacheka sana yani hawa viumbe jinsi wao wanavyopenda wanaume wenye fedha wanadhani na sisi wanaume tunapenda mwanamke mwenye hela. Miss the point by miles.

1. Una hela ila kiburi na jeuri na ngangari full kujimwambafai nani atakupenda ?!

2. Yani una hela ila una miaka 35 mwanaume gani atapenda kukuoa ?!

3. Ok una hela ila umezalishwa na wanaume 4 tofauti, nani atapenda kukuoa ?!

4. Una hela tena nyingi lakini una lugha chafu, nani akuoe ?!

5. Una hela ila ushatafunwa na wanaume kama 200 nani atatamani kukuoa ?!

Afu utakuta wameweka mavigezo mengi mwanaume naemtaka awe hivi, awe hivi, awe hivi wakati wao sijui hata hawajioni soko lao liko chini sana na ndo maana mpaka wanajianika katafuta mume hua nacheka sana.
 
mkuu kama sifa unazo we jipeleke tu kuliko kujichoresha huku...
nb:ukimchunguz sana bata huwezi kumla
 
Kuna mmoja tulikuwa kwenye penzi moto moto siku za nyuma, kiburi cha mafanikio yake kikapamba moto akaanza nyodo nikaachana naye kiroho safi tu.

Miaka 2 tu imepita nashangaa kuona namba ngeni, kuuliza akajitambulisha fresh tu.
Alienda directly kwenye point, NAHITAJI UNIOE, NIMEUCHOKA UPWEKE; NAZEEKEA NYUMBANI!

Kwakuwa sipendi dharau zaidi nikamwambia nina mchumba na mwakani nina mpango wa kuoa. Saizi yuko busy kuuliza marafiki zangu.

Usiniulize umri wake please!
 
Kuna mmoja tulikuwa kwenye penzi moto moto siku za nyuma, kiburi cha mafanikio yake kikapamba moto akaanza nyodo nikaachana naye kiroho safi tu.

Miaka 2 tu imepita nashangaa kuona namba ngeni, kuuliza akajitambulisha fresh tu.
Alienda directly kwenye point, NAHITAJI UNIOE, NIMEUCHOKA UPWEKE; NAZEEKEA NYUMBANI!

Kwakuwa sipendi dharau zaidi nikamwambia nina mchumba na mwakani nina mpango wa kuoa. Saizi yuko busy kuuliza marafiki zangu.

Usiniulize umri wake please!
Nipe contact zake PM nikajipatie mke mkuu!
 
Hapana mkuu.. ndio maana nimekupa pongezi.
Lakini post zako kwanini zimebezi kuongelea mabaya ya jinsia moja tu!?
Kwani kuna mwongozo au limit ya mabaya ya kuandika ?!

Na kama mpo mliobase kuandika mazuri je sio bora mimi nikabase kuandika mabaya ?!

Tafadhali usini-Ben Sanane kwa kusema mabaya yao nitajitahidi kuji-Kabudi siku za usoni.
 
Back
Top Bottom