NANCA
Member
- Jun 23, 2023
- 92
- 100
Hivi Tanganyika iko wapi? Mbona Zanzibar tunaiona. Rais wa Tanganyika yuko wapi? Mbona wa Zanzibar tunamjua. Bendera ya Tanganyika iko wapi? Mbona ya Zanzibar ipo. Na katiba je ya Tanganyika maana ya Zanzibar ipo.
Nadhani kuna mahala Nyerere alikosea hesabu zake au alitaka sifa kwamba yeye ni mtu mwema sana hata akafanya harakaharaka akaingizwa mkenge na karume bila kujijua.
Alichotakiwa kufanya Nyerere ni kumwambia karume kua baada ya mapinduzi haya, tunaifuta Zanzibar na historia yake na itakua mkoa wa Tanganyika na ww bwana karume utakua waziri mkuu wa Tanganyika na mimi ni Rais na watanganyika watakua huru kutembelea popote ktk nchi yao na Zanzibar kuanzia sasa itaitwa Singida au n.k. Kama hilo lingefanyika leo hii kelele zisingekuepo.
Nadhani kuna mahala Nyerere alikosea hesabu zake au alitaka sifa kwamba yeye ni mtu mwema sana hata akafanya harakaharaka akaingizwa mkenge na karume bila kujijua.
Alichotakiwa kufanya Nyerere ni kumwambia karume kua baada ya mapinduzi haya, tunaifuta Zanzibar na historia yake na itakua mkoa wa Tanganyika na ww bwana karume utakua waziri mkuu wa Tanganyika na mimi ni Rais na watanganyika watakua huru kutembelea popote ktk nchi yao na Zanzibar kuanzia sasa itaitwa Singida au n.k. Kama hilo lingefanyika leo hii kelele zisingekuepo.