Kuna madhara yoyote kwa jinsia zote kukaa muda mrefu bila kugegedana?

Madhara yapo.... Jinsia yoyote ikikaa muda mrefu bila mgegedo kuna hatari ya kuwa mentally unfit.
1.Kwa ajili ya afya ya mwili mwanadamu anahitaji chakula na mazoezi
2.Kwa ajili ya afya ya akili mwanadamu anahitaji usingizi wa kutosha na mgegedo
NB:kuna baadhi ya nchi mtu akithibitishwa (akikiri) kwamba hajapata mgegedo kwa muda zaidi ya miezi sita haruhusiwi kutoa ushahidi mahakamani akiaminiwa kwamba hana akili sawasawa.
Tahadhari : Shikamana na njia kuu.. Michepuko noooooma.
Asante sana mkuu.
Ni nchi gani hizo mkui
 
Hakuna madhara yeyote, fanya mazoezi sana tu kukeep mwili fresh.

Sent using Jamii Forums mobile app

Madhara yapo.... Jinsia yoyote ikikaa muda mrefu bila mgegedo kuna hatari ya kuwa mentally unfit.
1.Kwa ajili ya afya ya mwili mwanadamu anahitaji chakula na mazoezi
2.Kwa ajili ya afya ya akili mwanadamu anahitaji usingizi wa kutosha na mgegedo
NB:kuna baadhi ya nchi mtu akithibitishwa (akikiri) kwamba hajapata mgegedo kwa muda zaidi ya miezi sita haruhusiwi kutoa ushahidi mahakamani akiaminiwa kwamba hana akili sawasawa.
Tahadhari : Shikamana na njia kuu.. Michepuko noooooma.
 
Madhara yapo.... Jinsia yoyote ikikaa muda mrefu bila mgegedo kuna hatari ya kuwa mentally unfit.
1.Kwa ajili ya afya ya mwili mwanadamu anahitaji chakula na mazoezi
2.Kwa ajili ya afya ya akili mwanadamu anahitaji usingizi wa kutosha na mgegedo
NB:kuna baadhi ya nchi mtu akithibitishwa (akikiri) kwamba hajapata mgegedo kwa muda zaidi ya miezi sita haruhusiwi kutoa ushahidi mahakamani akiaminiwa kwamba hana akili sawasawa.
Tahadhari : Shikamana na njia kuu.. Michepuko noooooma.
Pagumu hapo
Sidhani kama kuna madhara,piga mazoezi ya kufa mtu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom