Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,363
- 5,108
Naombeni kuuliza wadau tangu niko mdogo nina kawaida kila nikilala usiku au mchana uwa najaa mimate mdomoni ambayo nimekuwa na kawaida ya kuyatema sasa siku hizi nimeanza kuyameza maana yalikuwa yananifanya asubuhi kabla sijatema nisingeweza kuzungumza na yeyote.
Je ayo mate yana madhara yoyote short or long term effects?
Je ayo mate yana madhara yoyote short or long term effects?