Kuna mademu wana mapepo vichwani mwao

Kuna mademu wana mapepo vichwani mwao

Mwambie asubiri mpka utapounda tume ya mchanga wa dhahabu
 
Ninyi wanaume vijana hamjawasoma wanawake. Hii ndo Tabia zao karibu asili mia 95. Jua kuwa mwanamke aliumbwa kwa ubavu 1 wa Adam. Hivyo basi akili zao ni 1/20 ya ya akili ya Wanaume. Mwanamke akiwa ktk "period" akili hubadilika pia akiwa mja mzito pia akili hubadilika. Vumilia tu ndo wako hivyo usipokuwa mvumilivu utaacha kila asubuhi
Ngoja waje
 
Mapepo kwa mademu mbona ndio home kabisa, huoni wanavyo wehuka makanisani
 
Wewe ni kiazi cha mbeya.

Ulikuwa na girl Ila bado unainua shingo Kwa manzi mwingine mtaani, Eti oooh Oooooh kulikuwa na Manzi mwingine nampenda mtaani.

Tabia hiyo chafu, chukua tahadhali Kwa kuanza kutembea na " mafuta ya kyjelly maana marindious yako yanaweza yakachanwa" dakika yo-yote ile.
 
Usirudie matapishi daima songa mbele kama ukimrudia atakufanya zaidi ya hilo la awali
 
Mwambie asirudie tena kutema big g kwa karanga za kuonjeshwa
 
Duh!wanaume bhana yani kumbe tayari kulikuwa na msichana unaempenda
 
Back
Top Bottom