Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,112
- 4,663
- Thread starter
- #21
ha ha ni kweli MkuuMkubalie ila mwambie ukimrudia utakuwa unamchezea tu hautomuoa maana wa kuoa kashapatikana.
ha ha ni kweli MkuuMkubalie ila mwambie ukimrudia utakuwa unamchezea tu hautomuoa maana wa kuoa kashapatikana.
kaka nimesha mlilia sana demu ila katakata ananiambia anitaki kabisa hadi kanitukanaBaadae na wewe usijeomba namna ya kumrejesha lakini
asante ameniacha kwa nyodo sanaHuo wala usimjibu kitu milele wala kupokea simu zake.
Pole aisee wengine mbona hatupati Wa kutulilia jmn[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]kaka nimesha mlilia sana demu ila katakata ananiambia anitaki kabisa hadi kanitukana
ha ha ha labda ww unajielewaPole aisee wengine mbona hatupati Wa kutulilia jmn[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Yaan tunaojielewa tunapata wanaume vichomi tu full stress[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]ha ha ha labda ww unajielewa
yah ila wasiojielewa ndio uwaga wana tujambisha sanaYaan tunaojielewa tunapata wanaume vichomi tu full stress[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
ha ha ha ha ha ha ha ha umetisha bradamwambie akubali ukewenza
ndi ndi ndi ndiNinyi wanaume vijana hamjawasoma wanawake. Hii ndo Tabia zao karibu asili mia 95. Jua kuwa mwanamke aliumbwa kwa ubavu 1 wa Adam. Hivyo basi akili zao ni 1/20 ya ya akili ya Wanaume. Mwanamke akiwa ktk "period" akili hubadilika pia akiwa mja mzito pia akili hubadilika. Vumilia tu ndo wako hivyo usipokuwa mvumilivu utaacha kila asubuhi
Atakufaje arif, bado unampenda wewe. Kazi unayomazoea duh atakufa