Kuna mademu wana mapepo vichwani mwao

Kuna mademu wana mapepo vichwani mwao

Askari Muoga

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
6,112
Reaction score
4,663
Kuna girl mmoja nipo naye at least two years, sasa kma wiki mbili akanigeukia kabisa kila jambo nikimwambia anasema no, tena akaniambia nitafute mwanamke wa kuoa ila yeye anitaki.

Dah niliumia sana nikajiuliza kwanini ananifanyia hivi, akaniblock kila sehemu mbaya zaidi akanitukana, basi mimi nikawa kma mgonjwa, tukakaa kama wiki mbili kuna msichana mtaani nilikuwa nampenda basi nikamtongoza bila pingamizi mtoto akanielewa sana.

Jana tukawa wote na mchumba mpya tukiwa kwenye mahaba mazito dah ghafla meseji zaidi ya kumi zinaingia kwenye simu, kwa kuwa nipo na mtoto mzuri mpya sikuweza kuzisoma, basi baadaye kuzisoma nakuta yule msichana aliyenigeuka kwa mbwembwe zote ananiomba msamaha na kulia pia akidai kuwa ananipenda sijamjibu chochote till now.

Je, ni jibu gani nimpe?
 
Mwambie kuna data Jf anatafuta loose balls...
 
Huyo anatishia kujamba wakati anaharisha ,mpige za USO tu hapo hamna namna lubaaa huyo
 
Kuna Girl mmoja nipo naye at least two years ,sasa kma wiki mbili akanigeukia kabisa kila jambo nikimwambia anasema no,tena akaniambia nitafute mwanamke wa kuoa ila yeye anitaki,Dah niliumia sana nikajiuliza kwanini ananifanyia ivi,aka ni block kila sehemu mbaya zaidi akanitukana,basi mm nikawa kma mgonjwa,tukakaa kama wiki mbili kuna msichana mtaa ni nilikuwa nampenda basi Nika mtongoza bila pingamizi mtoto akanielewa sana,Jana tukawa wote na mchumba mpya tukiwa kwenye mahaba mazito dah ghafla meseji zaidi ya kumi zinaingia kwenye simu,kwa kuwa nipo na mtoto mzuri mpya sikuweza kuzisoma,basi baadaye kuzisoma nakuta yule Demu aliye ngeuka kwa mbwembwe zote ananiomba msamaha na kulia pia akidai kuwa unanipenda sijamjibu chochote till now je ni jibu gani nimpe
Ndo wanawake walivo hasa wa kanda ya kati huyo anatokea wap?????
 
Komaa na huyo mpya mpotezee huyo manzi

kaona alikoenda hakueleweki anajirudisha wanawake ni wangese sana
 
Kuna Girl mmoja nipo naye at least two years ,sasa kma wiki mbili akanigeukia kabisa kila jambo nikimwambia anasema no,tena akaniambia nitafute mwanamke wa kuoa ila yeye anitaki,Dah niliumia sana nikajiuliza kwanini ananifanyia ivi,aka ni block kila sehemu mbaya zaidi akanitukana,basi mm nikawa kma mgonjwa,tukakaa kama wiki mbili kuna msichana mtaa ni nilikuwa nampenda basi Nika mtongoza bila pingamizi mtoto akanielewa sana,Jana tukawa wote na mchumba mpya tukiwa kwenye mahaba mazito dah ghafla meseji zaidi ya kumi zinaingia kwenye simu,kwa kuwa nipo na mtoto mzuri mpya sikuweza kuzisoma,basi baadaye kuzisoma nakuta yule Demu aliye ngeuka kwa mbwembwe zote ananiomba msamaha na kulia pia akidai kuwa unanipenda sijamjibu chochote till now je ni jibu gani nimpe
Mkubalie ila mwambie ukimrudia utakuwa unamchezea tu hautomuoa maana wa kuoa kashapatikana.
 
Kuna boya alimdanganya huyo, kakuta yaliyomo hayamo anajifanya kurudi... Mvalie miwani ya mbao
 
Back
Top Bottom