Kuna maafande ni pisi bana

Kuna maafande ni pisi bana

Kuna huyu hapa, macho mazuri vibaya mno, hakika huyu hata akinikamata nitaenjoy sana.
View attachment 3667500

Kuna mmoja hivi nilimuona maeneo ya sarenda bridge, aisee, kadogodogo kafupi kiasi kana matege hivi, kanafanania na lulu Michael kipindi akiwa kwenye ubora wake, ila kenyewe kamezidi weupe, ilibaki kidogo nimpige mkono niombe namba ila alikua na njemba Moja polisi mwenzake NYEUSI kama mkaa, nikaogopa ataniamshia pira.

Kuna ma afande ni wazuri sana aisee sijui huku upolisini walifuata Nini
Waulize wanaokaa karibu na maeneo ya CCP MOSHI....

AFANDE HAOLEWI, AFANDE NI HIT AND RUN!

Wannnnaaaapigana mitiii! Sio poa!!!
 
Story ikaishaje mkuu!

Mzee mwenzangu we acha tu. Ila alikuja kuniambia wazi, hakutaka kusema kazi yake makusudi, na akakiri anajua raia wanawachukia na kwa muktadha wa yale mazingira, alijua story zingeishia pale pale.

Mbaya zaidi akaja kusema hiyo cha mtoto, kubwa kuliko, kumbe ni mke wa JW. Hiyo inaitwa home and away.
 
Back
Top Bottom