Kuna maafande ni pisi bana

Kuna maafande ni pisi bana

Kuna huyu hapa, macho mazuri vibaya mno, hakika huyu hata akinikamata nitaenjoy sana.
View attachment 3667500

Kuna mmoja hivi nilimuona maeneo ya sarenda bridge, aisee, kadogodogo kafupi kiasi kana matege hivi, kanafanania na lulu Michael kipindi akiwa kwenye ubora wake, ila kenyewe kamezidi weupe, ilibaki kidogo nimpige mkono niombe namba ila alikua na njemba Moja polisi mwenzake NYEUSI kama mkaa, nikaogopa ataniamshia pira.

Kuna ma afande ni wazuri sana aisee sijui huku upolisini walifuata Nini
Aruuuu... wewe unaritafuta rupango....!!!!
 
Asingeweza kukuletea pira kaka kwani kuna kosa kumtongoza mtu?
 
Kuna huyu hapa, macho mazuri vibaya mno, hakika huyu hata akinikamata nitaenjoy sana.
View attachment 3667500

Kuna mmoja hivi nilimuona maeneo ya sarenda bridge, aisee, kadogodogo kafupi kiasi kana matege hivi, kanafanania na lulu Michael kipindi akiwa kwenye ubora wake, ila kenyewe kamezidi weupe, ilibaki kidogo nimpige mkono niombe namba ila alikua na njemba Moja polisi mwenzake NYEUSI kama mkaa, nikaogopa ataniamshia pira.

Kuna ma afande ni wazuri sana aisee sijui huku upolisini walifuata Nini
Kuna huyu Afande hapa jirani yangu ni mrembo balaa huyu Mama faya wako hafiki hata robo, ni mke wa mtu, ila sifa yake haogopi mtalimbo, anapenda sana kuukalia.
Ukiongea naye vizuri anaukalia tu.
NB:Naogopa kuweka picha wala kutaja kituo chake, mnisamehe.
 
Kuna huyu hapa, macho mazuri vibaya mno, hakika huyu hata akinikamata nitaenjoy sana.
View attachment 3667500

Kuna mmoja hivi nilimuona maeneo ya sarenda bridge, aisee, kadogodogo kafupi kiasi kana matege hivi, kanafanania na lulu Michael kipindi akiwa kwenye ubora wake, ila kenyewe kamezidi weupe, ilibaki kidogo nimpige mkono niombe namba ila alikua na njemba Moja polisi mwenzake NYEUSI kama mkaa, nikaogopa ataniamshia pira.

Kuna ma afande ni wazuri sana aisee sijui huku upolisini walifuata Nini
Angalia usipewe kesi ya kutongoza kama Mkuu wa Mkoa alivyompa mwanamke 😂

Mimi nishakuwa naye mmoja wa hivyo, baba yake alikuwa RPC na yeye akaungwa huko.
 
Back
Top Bottom