Kuna maafande ni pisi bana

Kuna maafande ni pisi bana

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
8,480
Reaction score
17,392
Kuna huyu hapa, macho mazuri vibaya mno, hakika huyu hata akinikamata nitaenjoy sana.
32653.jpg


Kuna mmoja hivi nilimuona maeneo ya sarenda bridge, aisee, kadogodogo kafupi kiasi kana matege hivi, kanafanania na lulu Michael kipindi akiwa kwenye ubora wake, ila kenyewe kamezidi weupe, ilibaki kidogo nimpige mkono niombe namba ila alikua na njemba Moja polisi mwenzake NYEUSI kama mkaa, nikaogopa ataniamshia pira.

Kuna ma afande ni wazuri sana aisee sijui huku upolisini walifuata Nini
 
Kuna huyu hapa, macho mazuri vibaya mno, hakika huyu hata akinikamata nitaenjoy sana.
View attachment 3667500

Kuna mmoja hivi nilimuona maeneo ya sarenda bridge, aisee, kadogodogo kafupi kiasi kana matege hivi, kanafanania na lulu Michael kipindi akiwa kwenye ubora wake, ila kenyewe kamezidi weupe, ilibaki kidogo nimpige mkono niombe namba ila alikua na njemba Moja polisi mwenzake NYEUSI kama mkaa, nikaogopa ataniamshia pira.

Kuna ma afande ni wazuri sana aisee.
Asingeweza kukuletea pira kaka kwani kuna kosa kumtongoza mtu?
 
Kuna huyu hapa, macho mazuri vibaya mno, hakika huyu hata akinikamata nitaenjoy sana.
View attachment 3667500

Kuna mmoja hivi nilimuona maeneo ya sarenda bridge, aisee, kadogodogo kafupi kiasi kana matege hivi, kanafanania na lulu Michael kipindi akiwa kwenye ubora wake, ila kenyewe kamezidi weupe, ilibaki kidogo nimpige mkono niombe namba ila alikua na njemba Moja polisi mwenzake NYEUSI kama mkaa, nikaogopa ataniamshia pira.

Kuna ma afande ni wazuri sana aisee sijui huku upolisini walifuata Nini
Ila wanaume 🙌

Excuse Me Wtf GIF by Paramount+.gif
 
Back
Top Bottom