mica capacitor
Senior Member
- Dec 20, 2019
- 182
- 219
Ndo maana unaambiwa mwanamke akianza kuchepuka nje ya ndoa tu basi hapo hakuna ndoa tena!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kumuoa vile still akatoka nje ya ndoa tena na tena hatimae akawa na maex kama kawaidaUsioe mwanamke asiye na bikra.
Sijui ni wapi sieleweki.
Vijana wa sasa hivi hata asome apate PHD bado hawezi elewa mantiki ya hoja yangu.
Nakazia; Kwa wale ambao sio sikio la kufa; Usioe Mwanamke asiye na bikra.
Kama umeoa inabidi uvumilie tuu.
Hujawahi kukutana na wanaume wakunaji wewe!Tukiachana ndy imeishaaaaaa hiyoooooooooo, kwanza mambo ya kumuwaza mtu ambaye haniwazi siwezi, labda tukutane njiani tu tena salamu tu inakutosha.
Tena usiombe tuachane kwa ugomvi utajutraaaaa.
Uwwwiiiiiii ila unamawazo ya ajabu wewe, yani nikuwaze kwa sababu ya kunio lako, utajijua mwenyewe
pumbafu kabisa,,,, nyie ndio mnafanya vijana wanateseka kutafuta bikra!!!......Umeachana na mpenzi wako miaka 2,3,4,5 iliyopita.Na baada ya kuachana mnaamua kuendelea na maisha yenu kila mtu kivyake
Lakini jamani kuna muda huwa kuna ex fulani huwa anakuja automatically kwenye mawazo yako,sjui inakuwaje hapo
Na ukute ex wako ana familia yake, ila unakaa muda mwingine unamuwaza hadi unamuwaza na unatamani utafute picha yake kwenye social network umuangalie au umtumie sms tu moyo uridhike
Kama yupo mbali unatamani ujue maisha yake kwa sasa yakoje,unatamani umpate mtu wake wa karibu akuelezee maisha yake kwa sasa dah!
Ingawa muda huo upo kwenye mahusiano na mwingine ila kuna vitu unakuwa unamlinganisha na yule ex wako na sijui ni kwa nini inatokea hivyo
Na siyo ex wote ,no! Kuna ambaye ni very important ambaye unajikuta unammiss from no where!
Na mara nyingi ex huyu mnaweza mkapasha viporo mpaka uzeeni na mkapeana zawadi ya watoto kadhaa kwenye ndoa bila mwanaume wa ndoa kujua (Kitanda hakizai haramu)
NB ,Kama wewe ni mwanaume halafu huna ex ambaye anakuwza ujue wewe huna bahati ya mapenzi hapa duniani
Merry Christmas John
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni bikra? Unachokisema ndivyo inavyotakiwa, Ila kwa dunia ya sasa makosa yanafanyika. Kutenda kosa si kosa bali kurudia kosa' wanawake wasiadhibiwe sababu ya kukosa bikra maana makosa yapo. Kuna makosa halafu kuna uhuni. Kama ilivyo Kuna Kunywa pombe halafu kuna ulevi,
Uliambiwa ndoa hufa lakini uhawala haufi!Umeachana na mpenzi wako miaka 2,3,4,5 iliyopita.Na baada ya kuachana mnaamua kuendelea na maisha yenu kila mtu kivyake
Lakini jamani kuna muda huwa kuna ex fulani huwa anakuja automatically kwenye mawazo yako,sjui inakuwaje hapo
Na ukute ex wako ana familia yake, ila unakaa muda mwingine unamuwaza hadi unamuwaza na unatamani utafute picha yake kwenye social network umuangalie au umtumie sms tu moyo uridhike
Kama yupo mbali unatamani ujue maisha yake kwa sasa yakoje,unatamani umpate mtu wake wa karibu akuelezee maisha yake kwa sasa dah!
Ingawa muda huo upo kwenye mahusiano na mwingine ila kuna vitu unakuwa unamlinganisha na yule ex wako na sijui ni kwa nini inatokea hivyo
Na siyo ex wote ,no! Kuna ambaye ni very important ambaye unajikuta unammiss from no where!
Na mara nyingi ex huyu mnaweza mkapasha viporo mpaka uzeeni na mkapeana zawadi ya watoto kadhaa kwenye ndoa bila mwanaume wa ndoa kujua (Kitanda hakizai haramu)
NB ,Kama wewe ni mwanaume halafu huna ex ambaye anakuwza ujue wewe huna bahati ya mapenzi hapa duniani
Merry Christmas John
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaosema inatakiwa kuoa mwanamke bikra kuna kitu walikiona, sio wa kuwapuuza sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani sijaja kuwaponda wasio mabikira,ni hali tu ilivyohahahah kuna nyozi fulani hivi niliisoma mchana kuhusiana na faida na hasara za kuoa msichana bikra. nikilinganisha na maneno ya cutelove naona doti zinakubali. kuna haja ya kumtafuta sealed hata ikibidi nje ya nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
GRAMAA uliipata hii? Bado anakukumbukaUmeachana na mpenzi wako miaka 2,3,4,5 iliyopita.Na baada ya kuachana mnaamua kuendelea na maisha yenu kila mtu kivyake
Lakini jamani kuna muda huwa kuna ex fulani huwa anakuja automatically kwenye mawazo yako,sjui inakuwaje hapo
Na ukute ex wako ana familia yake, ila unakaa muda mwingine unamuwaza hadi unamuwaza na unatamani utafute picha yake kwenye social network umuangalie au umtumie sms tu moyo uridhike
Kama yupo mbali unatamani ujue maisha yake kwa sasa yakoje,unatamani umpate mtu wake wa karibu akuelezee maisha yake kwa sasa dah!
Ingawa muda huo upo kwenye mahusiano na mwingine ila kuna vitu unakuwa unamlinganisha na yule ex wako na sijui ni kwa nini inatokea hivyo
Na siyo ex wote ,no! Kuna ambaye ni very important ambaye unajikuta unammiss from no where!
Na mara nyingi ex huyu mnaweza mkapasha viporo mpaka uzeeni na mkapeana zawadi ya watoto kadhaa kwenye ndoa bila mwanaume wa ndoa kujua (Kitanda hakizai haramu)
NB ,Kama wewe ni mwanaume halafu huna ex ambaye anakuwza ujue wewe huna bahati ya mapenzi hapa duniani
Merry Christmas John
Sent using Jamii Forums mobile app