Naam sheikh!Aisee kumbe CHAUMA wangekaza kidogo kuna kura nyingi sana wangepata ubwabwa una nguvu nyie acheni kabisaaa na kikombe cha gahawa aaaah
Hapo ndo nmejua kwanini Dar na pwani kuna machoko kibao sababu ya umwinyi na utegemezi pata picha mtu unampa laki tu anasema ataka vichwa ukimuongeza hamsini si unambandua kipira?Ukiwapa Ubwabwa, umewa win by 100%
Amina9dec weka imani yako pembeni tukomboe nchi kwanza
Mambo ya wali ubwabwa ubweche rice pilau piga chini Kwanza!
😂😂😂😂😂Hapo ndo nmejua kwanini Dar na pwani kuna machoko kibao sababu ya umwinyi na utegemezi pata picha mtu unampa laki tu anasema ataka vichwa ukimuongeza hamsini si unambandua kipira?
Mkuu, wapenda ubwabwa wako sehemu zote. Tena hawa unaowazungumzia ni machoko wachache mno, wale wajanja wa mjini wanaopenda kula vya dezo. Unajua jiji la Dar lina masalia ya utamaduni wa u-mwinyi, na hawa watu asili yao wanaishi kwa kupiga porojo. Unaona hata club za Yanga na Simba zimeathiriwa na hawa watu, wapiga porojo. Dini wanatumia kama kichaka tu kama anavyofanya Mwamposa.Ukiwapa Ubwabwa, umewa win by 100%