IKEKERA
JF-Expert Member
- Sep 3, 2019
- 1,261
- 1,621
Mwambie huyo..hao kukuangusha ni dk 0Never Understimate The Power Of Ubwabwa.
Mwambie huyo..hao kukuangusha ni dk 0Never Understimate The Power Of Ubwabwa.
Dar na pwani ndo mikoa Yao na ndo mnapakimbilia ..khaaa!!Hapo ndo nmejua kwanini Dar na pwani kuna machoko kibao sababu ya umwinyi na utegemezi pata picha mtu unampa laki tu anasema ataka vichwa ukimuongeza hamsini si unambandua kipira?
Haki ni ipi unayoitaka? Hata mashoga wanataka haki yao kwahiyo unapozumza haki unatakiwa useme haki ipi unayoitakaKobaz hao . Wenyewe hawataki Haki wanataka amani .... sasa unapataje amani ikiwa haki upati?
Kwani wewe hujui kwa sasa Tanzania inapitia katika uminywaji wa haki gani ? Hapa tunazungumzia Uminywaji wa haki ya kidemokrasia , kuteka , kuua , kubambikia kesi . Au anajitoa ufahamu ?Haki ni ipi unayoitaka? Hata mashoga wanataka haki yao kwahiyo unapozumza haki unatakiwa useme haki ipi unayoitaka
Uko sahihi...Mkuu, wapenda ubwabwa wako sehemu zote. Tena hawa unaowazungumzia ni machoko wachache mno, wale wajanja wa mjini wanaopenda kula vya dezo. Unajua jiji la Dar lina masalia ya utamaduni wa u-mwinyi, na hawa watu asili yao wanaishi kwa kupiga porojo. Unaona hata club za Yanga na Simba zimeathiriwa na hawa watu, wapiga porojo. Dini wanatumia kama kichaka tu kama anavyofanya Mwamposa.
Mashehe wa Bakwata wana ujinga mwingi sanaUkiwapa Ubwabwa, umewa win by 100%
Mashehe wa Bakwata wana ujinga mwingi sanaUkiwapa Ubwabwa, umewa win by 100%