Kuna kitu hakipo sawa hapa Dar

Tunashukuru bamjoli
Lodge iko maeneo gani? na inaitwaje?
 
Huduma ? Huenda wewe ndio una mawazo potofu labda huduma ya kuletewa kinywaji chumbani..., In short hapo hakuna ushahidi kama huduma aliyosema ndio unayodhani...

Hata kama aliendelea kuelezea huduma nyingine huenda alikuwa kwenye kufanya research ya wageni wapenda huduma...., na ungekubali angekupiga neno la Kiimani
 
Hapo kwenye neno la kiimani binafsi tungekosana [emoji28]
 
Hadi sasa jina la hio lodge halijatajwa tu!?
Mleta mada mbona unakua mzito sana
 
toa jina la lodge ili usalama wa taifa ulifatilie hilo suala lako
 
Zee korofi,hukumvutia ndani kweli?
 
Kama siyo umbea, haya toa jina la lodge hiyo.
 
Mama anaupiga mwingi kaka

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…