Kuna kipaji kama hiki bongofleva???????

Kuna kipaji kama hiki bongofleva???????

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,626
Lynex.....nani ambae anamkaribia kwa kipaji huyu?
Naweza kwa hakika kusema hakuna
anaemfikia sio diamond wala sio dimpoz...
 
Achana na Allykiba wewe. Juz walimpambanisha ktk kituo flani hivi cha redio na Diamond akamchakaza kwa 4 (20%) Vs 16 (80%). Tatzo liko kwa hawa Akina Kilimanjaro Awards, Ma DJs, Radio presenters, wanakula rushwa sn na kutupigia nyimbo za watoa rushwa hata hazina kitu ndani.
 
The Boss hakunaga kama Linex sema tatizo ni promo
 
Kuna wimbo wake mpya unaitwa kimugina,jamaa ana style yake unique sio kama wengine wanaigana
 
Bongofleva mkali ni Diamond kwa sasa,yani uyu dogo mwacheni tu ukipata nafasi ya kuskiliza ngoma zake haswa zilizo studio daah acha tu kitachomwangusha ni izi drama ila anajua sana kutengeneza muziki mzuri...Linex anasubiri japo nae anajitahidi pia.
 
Achana na Allykiba wewe. Juz walimpambanisha ktk kituo flani hivi cha redio na Diamond akamchakaza kwa 4 (20%) Vs 16 (80%). Tatzo liko kwa hawa Akina Kilimanjaro Awards, Ma DJs, Radio presenters, wanakula rushwa sn na kutupigia nyimbo za watoa rushwa hata hazina kitu ndani.
Hilo ni janga tena kuna kituo flani kama wimbo wako ni mpya ikiwa hujaenda kuutambulisha katika kipindi chao cha mchana kupigwa radion labda kama muziki wako uwe juu tu basi hapo hawana jinsi otherwise wanakunjia baharini

Kama hawa kina Kilimanjaro award ndio bomu kabisa mfano Lady Jaydee alikuwa kwenye kundi la mwanamuziki bora wa kike (wa ujumla) na Diamond alikuwa mwanamuzii wa kiume (wa ujumla) alafu huku chini kwenye category zingine hayupo, sasa utakuaje mshindi wa jumla huku hujaingiza wimbo bora labda wa mwaka, etc
 
Hilo ni janga tena kuna kituo flani kama wimbo wako ni mpya ikiwa hujaenda kuutambulisha katika kipindi chao cha mchana kupigwa radion labda kama muziki wako uwe juu tu basi hapo hawana jinsi otherwise wanakunjia baharini

Kama hawa kina Kilimanjaro award ndio bomu kabisa mfano Lady Jaydee alikuwa kwenye kundi la mwanamuziki bora wa kike (wa ujumla) na Diamond alikuwa mwanamuzii wa kiume (wa ujumla) alafu huku chini kwenye category zingine hayupo, sasa utakuaje mshindi wa jumla huku hujaingiza wimbo bora labda wa mwaka, etc

Umeona ndg, afu kura zikigwa na raia wanachakazwa ile mbaya.
 
mmmmh mie napita tu maana hawa sijui bongo fleva siwafuatilii kiviiile,ntasema uongo tu hapa.
 
Back
Top Bottom