Sio kwa sababu ya Prof. Kitila na Dk. Mwigulu kutenganishwa, hapana. Kuna sababu ya Jimbo hili kugawanywa kwani hata baada ya Iramba Mashariki kufanywa Mkalama bado Jimbo la Iramba ni kuwa kuliko majimbo yote ya Mkoa wa Singida kufanywa Jimbo moja tu.
Wanaouhusika tafadhali hebu angalieni namna ya kuligawa hili kwani ni kubwa sana!
Wanaouhusika tafadhali hebu angalieni namna ya kuligawa hili kwani ni kubwa sana!