Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
I hope you are still typing. Maana nimetafuta logic kwenye comment yako lakini nimeshindwa kuiona.japan na south korea wamekosa nini hadi wabaki majivu? na dunia imesimama pembeni inaangalia tu? yaani marekani apigane na north korea halafu north korea aipige japan na south korea ambao wametulia tuliii....unazijua principles za vita wewe? halafu, ukitaja kitu inaitwa japan, usifikiri ni nchi ya kuonewa huruma sanaaa, hata south korea, wako vizuri tu kijeshi, wakiungana wote hao na marekani, north korea atasambaratika hadi hataamini. sema tu woga wao ni kwamba uchumi wa nchi zao utaporomoka sana, na mijengo yao itatikisika kutokana na vishindo etc, na pia japan waoga wa nuke sana kwasababu yalishawakuta. lakini tz ipigane na kinya halafu kenya kwa kulipiza wakaipige uganda ati kwasababu uganda ni rafiki wa tz, katika principles za vita hiyo haipo, na ikitokea mtu akafanya hivyo ujue dunia nzima itasimama upande wa anayeonewa na watawekewa vikwazo vya kueleweka na wataweza hata kuivamia kwa pamoja. labda kama kim haogopi kufa na haogopi kupoteza yoote ambayo familia yake imejenga tangu enzi za mababu zake.