alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Kwa nilivyomshuhudia Mattis akiongea hakika ni suala la muda tu hawa wamarekani watakinukisha huko rasi ya Korea.
Jamaa ameonesha dhahili alienda White house kupeleka mfumo watakaotumia kuishambulia Korea Kaskazini.
Binafsi naamini kelele za Korea Kaskazini ni sawa na za Saddam Hussein-mwisho mshindi atakuwa USA.
Jamaa ameonesha dhahili alienda White house kupeleka mfumo watakaotumia kuishambulia Korea Kaskazini.
Binafsi naamini kelele za Korea Kaskazini ni sawa na za Saddam Hussein-mwisho mshindi atakuwa USA.