gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,602
Let's wish owe mikwara maana kama sio mikwara Japan na south Korea watabaki majivuAnaweza asipate mda Wa kutumia hizooo silaaa.
Kim anaoption moja tu yakujitoa muhanga akipigwa counter attack haipiti mwezi ameshasambaratishwa.
mtu mwenye mbwembwe kila kukicha anaonyesha silaa hiyoo tunaita mikwara.
Sent using Jamii Forums mobile app