muhudumu uclete vikombe Leo tutakunywa ujiChai
muhudumu uclete vikombe Leo tutakunywa ujiChai
Kitendo Cha CCM kuiba kura kwa nguvu kwa kutumia walimu ni dalili za kifo Cha chama hicho.
DEATH: DOORWAY TO HOMELaiti tungejua mtu ukifa unaelekea wapi tusingekuwa na hofu namna hii.
Na je wakati anawaaga anakwenda marekani mlimdadisi kwamba angeenda kwa njia gani?nauli ya kwenda huko alikuwa nayo?visa alishaandaa?Kuna dogo mmoja shule ya msingi niliyosoma mkoani kwetu Kilimanjaro. Ilikuwa hivi.
Kwa kawaida shule za vijijini tuna desturi kukimbia mchakamchaka kabla ya kuingia darasani.
Sasa siku ya tukio, tulikimbia vizuri mchakamchaka baadae tukaingia madarasani. Ilipofika mida ya saa nne, dogo alianza kuwaaga wenzake akiwaambia "naenda zangu Marekani na sita rudi tena"
Dogo alipita kila dawati akiwaambia hivyo wenzake. Baadae alirudi kwenye dawati lake akakaa. Ilipofika mida ya break, aliamka kwenda nje.
Bahati mbaya alijikwaa kwenye dawati akaanguka chini sakafuni akapiga eneo ya kisogo. Akadondoka chini akaanza kugeuza macho na mapovu yakimtoka.
Tulienda parokiani kuomba gari, ili kumpeleka hospitali. Tulipofika daktari alisema "kijana hatunae tena"..
Ikawa ndio mwisho wake hivyo. So nahisi kuna connection flani hivi wakati kifo kinapomkaribia mtu.
Ila vifo hivi hua vina ishara
Nakumbuka namna umauti ulivyomkuta mzee wangu..mzee wangu alikuwa mpenda ulabu sana na alikuwa na bar zake mbili anazipenda sana usipomkuta kwenye moja wapo Kati ya hizo sijui kwekweli.
Siku ambayo umauti ulimkuta hiyo siku alinunulia sana watu bia..na alikuwa anakaa baa moja anakunywa na kulipia wengine alafu anavuka barabara kwenda bar nyingine ambayo pia hunywa apo ..alifanya hivyo kama mara 3 hivi..mara ya mwisho alicheza sana mziki na kufanya kitendo cha kuwapa mikono watu waliopo pale bar..
Alivyomaliza avuke barabara aende upande wa pili kuchukua usafiri wake arudi home..anamalizia tu barabara boda boda ikaja ikamsomba na kumtupa mtaroni hakuomba hata maji.
R.i.p Baba
Ukarimu...kuangalia chini mda mwingi, kutokupenda kula, kupenda kuona familia ikiwa iko pamoja wakat anaumwa...
You never knowAcha ujinga kenge wewe
Na wewe kukaa kuongelea vifo na dalili zake yaweza ishara ndio unaodoka hivyo