Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,858
- 14,732
Kuna jamaa waliniandikia kuhitaji Visa ya Australia. Wakatuma kama email 3 hivi kutaka namba ya simu. Siku paap simu ya nje. Akaniambia uliomba Visa ya Australia nikasema ndio. Akauliza kama nina credit card utume pesa, nikasema sina. Akakata simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app