Kuna hizi nafasi za kazi Dubai wakuu. Je, ni za kweli?

Kuna jamaa waliniandikia kuhitaji Visa ya Australia. Wakatuma kama email 3 hivi kutaka namba ya simu. Siku paap simu ya nje. Akaniambia uliomba Visa ya Australia nikasema ndio. Akauliza kama nina credit card utume pesa, nikasema sina. Akakata simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu JF bwana kumeathiriwa na Ujuaji mwingi, yani mtu anajikuta anajua too much mpaka anataka kuwadirect wengine nini cha kufanya.

Mara oooh kuna flani alipigwa! Sasa ni sawa na mtu anataka kusafiri unamwambia usipande basi tafuta usafiri mwingine kwa sababu juzi kuna basi lilipata ajali!

Mi bora niwe mwanafunzi siku zote, sitachoka kujifunza pamoja na uzee huu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo hata mimi washanitumia sana ,napotezeaga sana coz sijawahi kuomba kazi dubai iweje niambiwe nimepata bila kuomba ,hapo kuna mawili kupelekwa kufanyishwa kazi za kitumwa km ww ni mwanamke utafanywa kahaba hela wanachukua wao,km ni wakiume utaenda ufumuliwe linda na hela wachukue wao au ufanyishwe kazi viwandani au majumbani malipo kiduchu ubaya sasa ni kuwa ukifika kule unanyang'anywa passport so huwezi kutoroka kwenda popote.
Tuwe makini wengi ni matapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu JF bwana kumeathiriwa na Ujuaji mwingi, yani mtu anajikuta anajua too much mpaka anataka kuwadirect wengine nini cha kufanya.

Mara oooh kuna flani alipigwa! Sasa ni sawa na mtu anataka kusafiri unamwambia usipande basi tafuta usafiri mwingine kwa sababu juzi kuna basi lilipata ajali!

Mi bora niwe mwanafunzi siku zote, sitachoka kujifunza pamoja na uzee huu


Sent using Jamii Forums mobile app

Ama kwa hakika umenena ipasavyo kabisa, mioyo inatofautiana kuna wenye mioyo Yaa kiume na kuna wenye mioyo ya kike yaani mioyo laini na teketeke kabisa.

Hao wawili hawawezi kuwa sawa hata kidogo kiujasiri mkuu...!
 
Kuna jamaa waliniandikia kuhitaji Visa ya Australia. Wakatuma kama email 3 hivi kutaka namba ya simu. Siku paap simu ya nje. Akaniambia uliomba Visa ya Australia nikasema ndio. Akauliza kama nina credit card utume pesa, nikasema sina. Akakata simu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaani ulikuwa umeelekezwa kuchinjwa kabisa
Hawa jamaa wapo wengi sana na mimi wametuma sana
Kwa huku mpaka landlines za watu wanazo na wana kupiga
Nilipigiwa na jamaa tapeli toka Spain akaniambia nimeshinda bahati nasibu hela ndefu sana
Nikamuacha aongee sana mpaka akaniambia tuma details zako za credit card hapo ndio nikamwambia uko sehemu gani akaniambia Barcelona
Nikamwambia nipe anuani kuna jamaa yangu yuko hapo ataziijia
Akakata na Simu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mkuu kuna utapeli mwingi sana online huku. Juzi hapa kuna mwamba amepost uzi kuwa jamaa yake kapigwa milioni mbili na mtu aliejifanya ni mwanamke yupo South anataka atumiwe nauli waje wale maisha na mshkaji bongo. Jamaa akaingia choo cha kike.

Haya mambo yapo sana. Unaweza kuibiwa kwa tamaa au kukosa umakini. Jiulize kwanza huyo mtu amepata wapi email yako mpaka akutumie tangazo la kazi privately?
Huyo jamaa aliyetuma mil 2 ni kiazi.
 
Watanzania aisee tumepewa utashi ili tuwe tofauti na wanyama, ndege na wadudu kama vile funza, mende n.k

Link ipo hapo kwenye tangazo, sidhani kama ukiingia tu kwenye tangazo utakuwa umeshatapeliwa, inatakiwa ufate process upload CV yako, angalia next step wanataka ufanye nini, itakapofika sehemu ya kuambiwa utume fee yoyote kwani mtu ataingia kwenye wallet yako kuchomoa pesa atume huko, ikifika hapo si unasitisha zoezi.

Lakini mtu hujafanya process yoyote unaanza kupayuka Oooh mwanangu aliambiwa atume hela, mara Oooh nimemuokoa, acha kufikiri kwa kutumia masabuli shughulisha ubongo wako angalau kidogo aisee.

Usipende KUKARIRI na kuwakatisha wengine tamaa kama wee unaona haikufai usikatishe wengine tamaa wenye mioyo ya uthubutu aisee.
Uko sahihi...kuna jamaa mmoja nilikuwa namwambia taperi hajaweza kubuni njia mbadala ya kusema nitumie/toa/tuma pesa lazima afike stage hiyo tu ya mwisho sasa siuna muacha tu.

Muda mwingine utakosa mtu fursa kisa hizi kauri za kizembe wewe click kwani uki click tu wanauwezo wa Lucília pesa kwenye account tiali.

NB: hakuna asiye kuwa aware na utaperi kwa sasa especially kwa mwana jf mkomavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ulikuwa umeelekezwa kuchinjwa kabisa
Hawa jamaa wapo wengi sana na mimi wametuma sana
Kwa huku mpaka landlines za watu wanazo na wana kupiga
Nilipigiwa na jamaa tapeli toka Spain akaniambia nimeshinda bahati nasibu hela ndefu sana
Nikamuacha aongee sana mpaka akaniambia tuma details zako za credit card hapo ndio nikamwambia uko sehemu gani akaniambia Barcelona
Nikamwambia nipe anuani kuna jamaa yangu yuko hapo ataziijia
Akakata na Simu


Sent from my iPhone using Tapatalk

😂😂😂😂😂
 
Uko sahihi...kuna jamaa mmoja nilikuwa namwambia taperi hajaweza kubuni njia mbadala ya kusema nitumie/toa/tuma pesa lazima afike stage hiyo tu ya mwisho sasa siuna muacha tu.

Muda mwingine utakosa mtu fursa kisa hizi kauri za kizembe wewe click kwani uki click tu wanauwezo wa Lucília pesa kwenye account tiali.

NB: hakuna asiye kuwa aware na utaperi kwa sasa especially kwa mwana jf mkomavu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kabisa kiongozi tapeli hawezi kuja kukuchomolea pesa kwenye wallet yako, kuna hatua za kufuata mpaka mwisho atakwambia masuala ya pesa, ukiona imefika hatua hiyo si basi unaachana nae.

Lakini mtu anatoka huko alipotoka anaanza kuongea tu matapeli hao wakati hata hiyo website utakuta hajaifungua.

Watu wana-penda sana kufikiri kwa kutumia makalio mkuu.

Ni hatari sana aisee...!
 
Ki ukweli tukiacha issue za utapeli, Dubai kuna fursa kubwa za ajira kwa fani za land survey, ma dereva na pia ku pack bidhaa kwenye mabox kupeleka na kutoa supermarket wenzetu wakenya na waganda serikali zao zinawasaidia sana watu wao kupata hizo mishe ila kibongo wanabana kinoma utaishia airport,
Mimi nina washkaji wangu 2 walijiongeza wakaenda kuondokea Rwanda then dubai ni madereva kule maisha yanaendelea saafi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Wabongo bado sana kiongozi tatizo ujuaji mwingi kila mtu anajifanya mjuaji kiongozi...!
 
Humu JF bwana kumeathiriwa na Ujuaji mwingi, yani mtu anajikuta anajua too much mpaka anataka kuwadirect wengine nini cha kufanya.

Mara oooh kuna flani alipigwa! Sasa ni sawa na mtu anataka kusafiri unamwambia usipande basi tafuta usafiri mwingine kwa sababu juzi kuna basi lilipata ajali!

Mi bora niwe mwanafunzi siku zote, sitachoka kujifunza pamoja na uzee huu


Sent using Jamii Forums mobile app
Teh. Usije tu kusema hukuambiwa bwana 'mzee'.
 
Sasa huyo wa kutuma nauli si alipigwa kizembe kabisa
Mkuu kuna utapeli mwingi sana online huku. Juzi hapa kuna mwamba amepost uzi kuwa jamaa yake kapigwa milioni mbili na mtu aliejifanya ni mwanamke yupo South anataka atumiwe nauli waje wale maisha na mshkaji bongo. Jamaa akaingia choo cha kike.

Haya mambo yapo sana. Unaweza kuibiwa kwa tamaa au kukosa umakini. Jiulize kwanza huyo mtu amepata wapi email yako mpaka akutumie tangazo la kazi privately?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo hujaambiwa utume pesa ww kama uba CV yako watumie uendelee kueaskilizia ila hakikisha kweny Cv yako unamention your passport number and your visa status

Wakiona cv yako inamatch watakuita tu utajaza mkataba na copy of your passport

Kabla ya kuomba hakikisha una afya nzuri pima Hiv 1/2,hepatitis,TB,lepros and general body check up?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania aisee tumepewa utashi ili tuwe tofauti na wanyama, ndege na wadudu kama vile funza, mende n.k

Link ipo hapo kwenye tangazo, sidhani kama ukiingia tu kwenye tangazo utakuwa umeshatapeliwa, inatakiwa ufate process upload CV yako, angalia next step wanataka ufanye nini, itakapofika sehemu ya kuambiwa utume fee yoyote kwani mtu ataingia kwenye wallet yako kuchomoa pesa atume huko, ikifika hapo si unasitisha zoezi.

Lakini mtu hujafanya process yoyote unaanza kupayuka Oooh mwanangu aliambiwa atume hela, mara Oooh nimemuokoa, acha kufikiri kwa kutumia masabuli shughulisha ubongo wako angalau kidogo aisee.

Usipende KUKARIRI na kuwakatisha wengine tamaa kama wee unaona haikufai usikatishe wengine tamaa wenye mioyo ya uthubutu aisee.
Hata mm nashangaa watu wanavyokurupuka kila mtu kubwabwaja yake bila kusoma instructions zinasemaje.
Ile email ni ya matangazo tu ya kazi.
Hakuna mahali waliposema ameshapata kazi.
Ni hiari yake kuomba nafasi ya kazi inayompendeza na sio lazima,Sasa hapo utapeli unatoka wapi hali ya kuwa hata hizo nafasi bado hajaapply.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mm nashangaa watu wanavyokurupuka kila mtu kubwabwaja yake bila kusoma instructions zinasemaje.
Ile email ni ya matangazo tu ya kazi.
Hakuna mahali waliposema ameshapata kazi.
Ni hiari yake kuomba nafasi ya kazi inayompendeza na sio lazima,Sasa hapo utapeli unatoka wapi hali ya kuwa hata hizo nafasi bado hajaapply.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni ujinga ujinga tu mkuu...!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom