Kuna haja ya Rais kutangaza anaoandamana nao ziarani?

Father of All

JF-Expert Member
Feb 26, 2012
6,376
6,720
1698095247092.png

Kwa wale waliokuwapo wakati wa awamu ya kwanza, pili,na tatu kulikuwa na utaratibu ambao naweza kuuita uwazi. Katika sehemu mojawapo ilikuwa ni kutangaza orodha ya waliokuwa wakiandamana na rais kwenye ziara zake iwe nchini au nje ya nchi.

Hii ni kwa sababu rais na watu wake hawasafiri kwa fedha zao binafsi bali kodi zetu. Hata hivyo, baada ya kuingia utawala wa awamu ya nne chini ya Jakaya Kikwete ambaye alituhumiwa kwa skandali nyingi mojawapo ikiwemo ya IPTL iliyopoteza mabilioni ya shilingi za wananchi, utaratibu huu ulizimwa tokana na rais kuanza kuandamana ima na wanafamilia yake kama ilivyo sasa au watu wenye kutia shaka hadi waganga wa kienyeji wengine hata mahawaraaaa. Ufisadi huu wa kimfumo umeendelea.

Leo Rais Samia yuko Zambia kikazi. Ujumbe wake umefanywa siri. Je kunani? Je wenye fedha yaani walipa kodi mnaridhika na ufisadi huu wa kimfumo. Je ni chawa wangapi ameandamana nao wakati maisha yakizidi kuwa magumu kwa watu wetu walio wengi kwa sasa ukiachia mbali kuwa kutangaza orodho ya ujumbe wake haupashwi kuwa siri?

Nini maoni yako

Ni wangapi wanaungana na kutaka orodha ya wanoandamana na rais iwe inatangazwa na wanaoridhika na upigaji na utumiaji mbaya wa fedha ya umma?
 

Kwa wale waliokuwapo wakati wa awamu ya kwanza, pili,na tatu kulikuwa na utaratibu ambao naweza kuuita uwazi. Katika sehemu mojawapo ilikuwa ni kutangaza orodha ya waliokuwa wakiandamana na rais kwenye ziara zake iwe nchini au nje ya nchi.

Hii ni kwa sababu rais na watu wake hawasafiri kwa fedha zao binafsi bali kodi zetu. Hata hivyo, baada ya kuingia utawala wa awamu ya nne chini ya Jakaya Kikwete ambaye alituhumiwa kwa skandali nyingi mojawapo ikiwemo ya IPTL iliyopoteza mabilioni ya shilingi za wananchi, utaratibu huu ulizimwa tokana na rais kuanza kuandamana ima na wanafamilia yake kama ilivyo sasa au watu wenye kutia shaka hadi waganga wa kienyeji wengine hata mahawaraaaa. Ufisadi huu wa kimfumo umeendelea.

Leo Rais Samia yuko Zambia kikazi. Ujumbe wake umefanywa siri. Je kunani? Je wenye fedha yaani walipa kodi mnaridhika na ufisadi huu wa kimfumo. Je ni chawa wangapi ameandamana nao wakati maisha yakizidi kuwa magumu kwa watu wetu walio wengi kwa sasa ukiachia mbali kuwa kutangaza orodho ya ujumbe wake haupashwi kuwa siri?

Nini maoni yako

Ni wangapi wanaungana na kutaka orodha ya wanoandamana na rais iwe inatangazwa na wanaoridhika na upigaji na utumiaji mbaya wa fedha ya umma?
kwani hiyo ni timu ya mpira?
 

Kwa wale waliokuwapo wakati wa awamu ya kwanza, pili,na tatu kulikuwa na utaratibu ambao naweza kuuita uwazi. Katika sehemu mojawapo ilikuwa ni kutangaza orodha ya waliokuwa wakiandamana na rais kwenye ziara zake iwe nchini au nje ya nchi.

Hii ni kwa sababu rais na watu wake hawasafiri kwa fedha zao binafsi bali kodi zetu. Hata hivyo, baada ya kuingia utawala wa awamu ya nne chini ya Jakaya Kikwete ambaye alituhumiwa kwa skandali nyingi mojawapo ikiwemo ya IPTL iliyopoteza mabilioni ya shilingi za wananchi, utaratibu huu ulizimwa tokana na rais kuanza kuandamana ima na wanafamilia yake kama ilivyo sasa au watu wenye kutia shaka hadi waganga wa kienyeji wengine hata mahawaraaaa. Ufisadi huu wa kimfumo umeendelea.

Leo Rais Samia yuko Zambia kikazi. Ujumbe wake umefanywa siri. Je kunani? Je wenye fedha yaani walipa kodi mnaridhika na ufisadi huu wa kimfumo. Je ni chawa wangapi ameandamana nao wakati maisha yakizidi kuwa magumu kwa watu wetu walio wengi kwa sasa ukiachia mbali kuwa kutangaza orodho ya ujumbe wake haupashwi kuwa siri?

Nini maoni yako

Ni wangapi wanaungana na kutaka orodha ya wanoandamana na rais iwe inatangazwa na wanaoridhika na upigaji na utumiaji mbaya wa fedha ya umma?
Ngoja nichukue ngazi nikachungulie nyumbani kwa mjomba pekupeku kama yupo ila Dodoma alikwisha ondoka, sijui na kale ka Nyerere kako wapi?
 
Acha upotoshaji,Rostam amekwenda kuonana na Ichilema siku moja kabla Samia ajaenda Zambia.
Hapo wanazungumziwa wakina Mpoto,Steve Nyerere Mwamfupi na chawa wengine ambao ni rubbish!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Steve Nyerere na Mpoto ni waganga wa kienyeji majukumu yao ukipelekwa Wewe utayaweza?

Siyo kila unayemuona yuko kama umuonavyo! 😀
 
Anapotumia ndege ya atcl analipia au inakuwaje?ksani ndege ya raisi si ipo?
ATCL wana ndege? ndege za serikali za kwao walishazipoteza angani. Wamepewa tu Serikali wafanye kazi ila wao kama wao hawajawahi kununua ndege zao toka nchi hii iumbwe.
 

Kwa wale waliokuwapo wakati wa awamu ya kwanza, pili,na tatu kulikuwa na utaratibu ambao naweza kuuita uwazi. Katika sehemu mojawapo ilikuwa ni kutangaza orodha ya waliokuwa wakiandamana na rais kwenye ziara zake iwe nchini au nje ya nchi.

Hii ni kwa sababu rais na watu wake hawasafiri kwa fedha zao binafsi bali kodi zetu. Hata hivyo, baada ya kuingia utawala wa awamu ya nne chini ya Jakaya Kikwete ambaye alituhumiwa kwa skandali nyingi mojawapo ikiwemo ya IPTL iliyopoteza mabilioni ya shilingi za wananchi, utaratibu huu ulizimwa tokana na rais kuanza kuandamana ima na wanafamilia yake kama ilivyo sasa au watu wenye kutia shaka hadi waganga wa kienyeji wengine hata mahawaraaaa. Ufisadi huu wa kimfumo umeendelea.

Leo Rais Samia yuko Zambia kikazi. Ujumbe wake umefanywa siri. Je kunani? Je wenye fedha yaani walipa kodi mnaridhika na ufisadi huu wa kimfumo. Je ni chawa wangapi ameandamana nao wakati maisha yakizidi kuwa magumu kwa watu wetu walio wengi kwa sasa ukiachia mbali kuwa kutangaza orodho ya ujumbe wake haupashwi kuwa siri?

Nini maoni yako

Ni wangapi wanaungana na kutaka orodha ya wanoandamana na rais iwe inatangazwa na wanaoridhika na upigaji na utumiaji mbaya wa fedha ya umma?
Hapana hii ziara haikuwa ya siri iliandaliwa toka january na ni ya kimkakati kwaajili ya njia kuu ya usafirishaji kwaajili hao jamaa Zambia wana mkakati wa kupitisha mzigi Beria, Logistics wote wamealikwa na wanambatana na Raisi kwaajili ya hilo. Na nauli walijilipia ninauhakika na nilolisema.
 
Back
Top Bottom