Kuna haja ya Mungu kukiondoa kizazi hiki haraka sanaa kwa faida ya kizazi kijacho.

Bossless

JF-Expert Member
Oct 27, 2017
1,381
2,892
Habari zenu wakuu.

Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza hapo ,kutokana na matukio yanayoendelea nchini na duniani kwa wenzetu naona kuna haja ya mwenyezimungu kukiondoa haraka kizazi hiki kwa manufaa ya vizazi vingine vijavyo mbele haijalishi akiondoae kwa maji,moto,magonjwa n.k lakini kitoke tupishe wengine.

Hebu jaribu kujiuliza hizi nchi za ulaya zenye technolojia ya hali ya juu na kila kitu lakini kila siku wanazidi kushindana kutengeneza siraha nzito nzito na mibomu ya nuclear ,unaweza kujiuliza hizi silaha zinatengezwa kwa ajili gani? Trust me siku za mbeleni zitatumika kutuangamiza sisi wenyewe.

Ona pamoja na ukimwi kuwa tishio na kuwa watu wenge hadi sasa watu na bado wengine tunaishi na virusi tukisubiri zamu yetu tuvute lakini wapi guest mjini ndo zinaongezeka na ngono ndo biashara ya uhakika yenye faida ya haraka na akina nani bado wanaopowa Dada POWa kama kawaida.

Wizi- binadamu amekuwa mnyama yupo tayari kukuangamiza ili mradi aibe chako akafanye maisha yake mbele hakuna hofu tena ya kuiba au kudhurumu watu wote tumekuwa wezi kinachotutofautisha style tu y wizi lakini wizi ni wizi tu haijalishi upo ofisini au upo bungeni.

Na mengine mengi mtaongezeaaa ....kwa hayo machache naona kizazi kijacho kitakuwa katika hatarii zaidi kuliko sisi kwani kitarithi hata tunayofanya,kama ujuavyo cha kurithi huzidi.

EE MWENYEZIMUNGU KIONDOE KIZAZI HIKI HARAKA SANAA KWA FAIDA YA VIZAZI VINGINE VIJAVYO.

Alamsiki.
 
Mwenyezimungu ndio mwamuzi wa yote. Tumwachie afanye apendavyo.
 
EE MWENYEZIMUNGU KIONDOE KIZAZI HIKI HARAKA SANAA KWA FAIDA YA VIZAZI VINGINE VIJAVYO.


Sasa kizazi hiki kikiondoka hicho kizazi kipya kitakuja vipi hapa funiani au kitadondoka kutoka angani bila kuzaliwa na kikazi hiki unachokichukia??

Na wewe pia ni kizazi kipi??
 
KUNA VIZAZI VILIONDOLEWA HAPA DUNIANI, VILIKUWA HATARI KULIKO HIKI KIZAZI UNACHOTAKA KIONDOLEWE.
WEWE KAMA UNAONA VIPI,,,,, TANGULIA TU, UTAWAKUTA HUKO RAIA KAMA HAWA UNAOTAKA KUWAKIMBIA HUKU.
ALAFU, KUMBUKA KUWA Kuna Maisha Baada Ya Kifo.
 
Alikiondoa kizazi cha sodoma na gomora badala yake kimerudi kwa kasi ya 6G
 
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza hapo ,kutokana na matukio yanayoendelea nchini na duniani kwa wenzetu naona kuna haja ya mwenyezimungu kukiondoa haraka kizazi hiki kwa manufaa ya vizazi vingine vijavyo mbele haijalishi akiondoae kwa maji,moto,magonjwa n.k lakini kitoke tupishe wengine.
Hicho kingine kitakuja kwa utaratibu upi kama hiki kitaondolewa?
 
MUNGU leta gharika wagumu kufa tuone wenye nafsi za plastic wanavyoteketa
 
Utuambie kwanza wewe mwenyewe upo kwenye kizazi kipi! Kizazi kilichopita au hicho kijacho? Hadi ufikie kutaka hiki kizazi chetu pendwa kipotee?
 
Habari zenu wakuu.

Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza hapo ,kutokana na matukio yanayoendelea nchini na duniani kwa wenzetu naona kuna haja ya mwenyezimungu kukiondoa haraka kizazi hiki kwa manufaa ya vizazi vingine vijavyo mbele haijalishi akiondoae kwa maji,moto,magonjwa n.k lakini kitoke tupishe wengine.

Hebu jaribu kujiuliza hizi nchi za ulaya zenye technolojia ya hali ya juu na kila kitu lakini kila siku wanazidi kushindana kutengeneza siraha nzito nzito na mibomu ya nuclear ,unaweza kujiuliza hizi silaha zinatengezwa kwa ajili gani? Trust me siku za mbeleni zitatumika kutuangamiza sisi wenyewe.

Ona pamoja na ukimwi kuwa tishio na kuwa watu wenge hadi sasa watu na bado wengine tunaishi na virusi tukisubiri zamu yetu tuvute lakini wapi guest mjini ndo zinaongezeka na ngono ndo biashara ya uhakika yenye faida ya haraka na akina nani bado wanaopowa Dada POWa kama kawaida.

Wizi- binadamu amekuwa mnyama yupo tayari kukuangamiza ili mradi aibe chako akafanye maisha yake mbele hakuna hofu tena ya kuiba au kudhurumu watu wote tumekuwa wezi kinachotutofautisha style tu y wizi lakini wizi ni wizi tu haijalishi upo ofisini au upo bungeni.

Na mengine mengi mtaongezeaaa ....kwa hayo machache naona kizazi kijacho kitakuwa katika hatarii zaidi kuliko sisi kwani kitarithi hata tunayofanya,kama ujuavyo cha kurithi huzidi.

EE MWENYEZIMUNGU KIONDOE KIZAZI HIKI HARAKA SANAA KWA FAIDA YA VIZAZI VINGINE VIJAVYO.

Alamsiki.
Kwani huyo Mungu wako akujua kama tutakuwa hivi tulivyo ? ebu tuondolee.fikra zako mbovu hapa
 
Back
Top Bottom