Udochi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,073
- 1,576
Waheshimiwa malijendi,
Tangu nioe ni miaka miwili imepita. Ndoa ilihudhuriwa na wazazi wote na ndugu wachache waliopata nafasi.
Kesho nina safari ya mishe zangu tu za kutafuta riziki. Wilaya niendayo ndiko kilipo kijiji cha wazazi na jamaa wa mke wangu, na nitaenda huko kijijini kuwasabahi na kuwaona baadhi ya ndugu zake.
Je, kuna haja ya lijendi kulala pale ukweni au niwasabahi tu kisha nikalale zangu town?
Tangu nioe ni miaka miwili imepita. Ndoa ilihudhuriwa na wazazi wote na ndugu wachache waliopata nafasi.
Kesho nina safari ya mishe zangu tu za kutafuta riziki. Wilaya niendayo ndiko kilipo kijiji cha wazazi na jamaa wa mke wangu, na nitaenda huko kijijini kuwasabahi na kuwaona baadhi ya ndugu zake.
Je, kuna haja ya lijendi kulala pale ukweni au niwasabahi tu kisha nikalale zangu town?


