Eti umeenda dukani kununua sumu ili ujiue umetoa noti ya elfu 10 kuna haja ya kudai chenji? naombeni majibu pls!
Chenji muhimu, sasa
waombolezaji watapata wapi za maji ya kunywa wakimaliza kulia kabla
hawajaanza kujichangisha za sanda. Tena chenji iwe ya msimbazi ili
ukumbukwe kwa mengi