Kuna haja kubadilisha sheria ya ajira ya kudumu (permanent employment and pensionable) ya utumishi wa umma na kiinua mgongo(pension fund payment)

mwekundu

JF-Expert Member
Mar 4, 2013
21,859
19,700
Habari wakuu,
Kutokana na maendeleo ya technolojia,idadi ya watu kuongezeka kwa kasi na uwezo mdogo wa serikali kuzalisha ajira mpya (ukuaji wa uchumi) kuna kila sababu kuiangalia upya sheria ya ajira (Employment and labor relation act -ELRA 2004)

Kuwe na mabadiliko ya kuajili watu permanent ,badala yake watoe tu mikataba isiyozidi miaka kumi au mitano ambayo ni renewable,tena mtu akitaka kuajiliwa tena apigishwe mtihani upya..ambao unaendana na mazingira pamoja na matakwa ya muda husika

Hii itasaidia watu kujiendeleza kupata knowledges mpya ,tafiti za wakati husika na pia kuendana na ukuaji wa technolojia wa muda husika ,tofauti na ilivyo sasa mtu ameajiliwa mwaka 1970 au 60s huko unafikiri huyu mtu ni productive ukimpima kutokana na mazingira ya sasa hivi?Hivyo basi itaongeza productivity ya employees

Sio hivyo tu ,pia itasaidia wafanyakazi wazembe ,wala rushwa,mafisadi,wavivu ,waliobweteka etc mfumo uwe unawaengua wenyewe

Faida nyingine ambayo ndio focus yangu hasa ,mfumo wa ajira mpya utawapa fursa ya vijana ambao wamekosa ajira kuingia kwenye mfumo rasmi na maarifa yao mapya kulitumikia Taifa na kupunguza umasikini uliokithiri na kutoa fursa kulitumikia Taifa lao kwa nguvu mpya kabisa na kutumia ajira kama sehemu ya kupata mtaji baada ya kustaafu miaka michache baada ya mkataba kuisha

Eneo lingine ambalo mfumo pendekezwa utasaidia ni katika kujenga mindset ya ujasiliamali (entrepreneurship community)

Hii itajengwaje?ili kuwasaidia wafanyakazi watakaokua wanastaafu kwenye mfumo wa ajira ,serikali itatakiwa kuwajengea uwezo wa kijasiliamali ,na mitaji ambayo watakua wamepata kupitia mifuko ya jamii (kiinua mgongo) wafungue entrepreneurial ventures ambazo zitakua na uwezo wa kuajili watu wengine wengi ,lets say kila mmoja awe tu na uwezo wa kuajili watu wa 3 zidisha kwa watu milioni moja ,utapata watakaoajiliwa ni millioni 3 ,hivyo basi itatanua ,kukuza ajira na uchumi wa nchi kukua pia (microeconomics)


NB;mfumo wangu mpya wa ajira uwabakize tu watu ambao ni special talents na wakuu wa idara au makampuni ya umma ambayo kupitia performance zao yameleta tija (wame achieve Key Performance Indicators)

Pia waajiliwa wapewe kiinua mgongo chao chote baada ya kustaafu

Mwisho kabisa maneno yangu sio sheria ,mimi sio mwenyekiti wa chama ,kuna baadhi wako emotional kwakua tu watakua terminated but tukiangalia kwa picha pana kuna kitu kitaleta tija ,pia hamna mtu duniani ametoa mawazo ambayo watu wote wakakubali (common senses are not common)


The captivity of negativity-Tchao
 
Habari wakuu,
Kutokana na maendeleo ya technolojia,idadi ya watu kuongezeka kwa kasi na uwezo mdogo wa serikali kuzalisha ajira mpya (ukuaji wa uchumi) kuna kila sababu kuiangalia upya sheria ya ajira (Employment and labor relation act -ELRA 2004)

Kuwe na mabadiliko ya kuajili watu permanent ,badala yake watoe tu mikataba isiyozidi miaka kumi au mitano ambayo ni renewable,tena mtu akitaka kuajiliwa tena apigishwe mtihani upya..ambao unaendana na mazingira pamoja na matakwa ya muda husika

Hii itasaidia watu kujiendeleza kupata knowledges mpya ,tafiti za wakati husika na pia kuendana na ukuaji wa technolojia wa muda husika ,tofauti na ilivyo sasa mtu ameajiliwa mwaka 1970 au 60s huko unafikiri huyu mtu ni productive ukimpima kutokana na mazingira ya sasa hivi?Hivyo basi itaongeza productivity ya employees

Sio hivyo tu ,pia itasaidia wafanyakazi wazembe ,wala rushwa,mafisadi,wavivu ,waliobweteka etc mfumo uwe unawaengua wenyewe

Faida nyingine ambayo ndio focus yangu hasa ,mfumo wa ajira mpya utawapa fursa ya vijana ambao wamekosa ajira kuingia kwenye mfumo rasmi na maarifa yao mapya kulitumikia Taifa na kupunguza umasikini uliokithiri na kutoa fursa kulitumikia Taifa lao kwa nguvu mpya kabisa na kutumia ajira kama sehemu ya kupata mtaji baada ya kustaafu miaka michache baada ya mkataba kuisha

Eneo lingine ambalo mfumo pendekezwa utasaidia ni katika kujenga mindset ya ujasiliamali (entrepreneurship community)

Hii itajengwaje?ili kuwasaidia wafanyakazi watakaokua wanastaafu kwenye mfumo wa ajira ,serikali itatakiwa kuwajengea uwezo wa kijasiliamali ,na mitaji ambayo watakua wamepata kupitia mifuko ya jamii (kiinua mgongo) wafungue entrepreneurial ventures ambazo zitakua na uwezo wa kuajili watu wengine wengi ,lets say kila mmoja awe tu na uwezo wa kuajili watu wa 3 zidisha kwa watu milioni moja ,utapata watakaoajiliwa ni millioni 3 ,hivyo basi itatanua ,kukuza ajira na uchumi wa nchi kukua pia (microeconomics)


NB;mfumo wangu mpya wa ajira uwabakize tu watu ambao ni special talents na wakuu wa idara au makampuni ya umma ambayo kupitia performance zao yameleta tija (wame achieve Key Performance Indicators)

Pia waajiliwa wapewe kiinua mgongo chao chote baada ya kustaafu

Mwisho kabisa maneno yangu sio sheria ,mimi sio mwenyekiti wa chama ,kuna baadhi wako emotional kwakua tu watakua terminated but tukiangalia kwa picha pana kuna kitu kitaleta tija ,pia hamna mtu duniani ametoa mawazo ambayo watu wote wakakubali (common senses are not common)


The captivity of negativity-Tchao
Wakistaafu baada ya 15 yrs, pension zao zitalipwa hadi lini ?
 
Habari wakuu,
Kutokana na maendeleo ya technolojia,idadi ya watu kuongezeka kwa kasi na uwezo mdogo wa serikali kuzalisha ajira mpya (ukuaji wa uchumi) kuna kila sababu kuiangalia upya sheria ya ajira (Employment and labor relation act -ELRA 2004)

Kuwe na mabadiliko ya kuajili watu permanent ,badala yake watoe tu mikataba isiyozidi miaka kumi au mitano ambayo ni renewable,tena mtu akitaka kuajiliwa tena apigishwe mtihani upya..ambao unaendana na mazingira pamoja na matakwa ya muda husika

Hii itasaidia watu kujiendeleza kupata knowledges mpya ,tafiti za wakati husika na pia kuendana na ukuaji wa technolojia wa muda husika ,tofauti na ilivyo sasa mtu ameajiliwa mwaka 1970 au 60s huko unafikiri huyu mtu ni productive ukimpima kutokana na mazingira ya sasa hivi?Hivyo basi itaongeza productivity ya employees

Sio hivyo tu ,pia itasaidia wafanyakazi wazembe ,wala rushwa,mafisadi,wavivu ,waliobweteka etc mfumo uwe unawaengua wenyewe

Faida nyingine ambayo ndio focus yangu hasa ,mfumo wa ajira mpya utawapa fursa ya vijana ambao wamekosa ajira kuingia kwenye mfumo rasmi na maarifa yao mapya kulitumikia Taifa na kupunguza umasikini uliokithiri na kutoa fursa kulitumikia Taifa lao kwa nguvu mpya kabisa na kutumia ajira kama sehemu ya kupata mtaji baada ya kustaafu miaka michache baada ya mkataba kuisha

Eneo lingine ambalo mfumo pendekezwa utasaidia ni katika kujenga mindset ya ujasiliamali (entrepreneurship community)

Hii itajengwaje?ili kuwasaidia wafanyakazi watakaokua wanastaafu kwenye mfumo wa ajira ,serikali itatakiwa kuwajengea uwezo wa kijasiliamali ,na mitaji ambayo watakua wamepata kupitia mifuko ya jamii (kiinua mgongo) wafungue entrepreneurial ventures ambazo zitakua na uwezo wa kuajili watu wengine wengi ,lets say kila mmoja awe tu na uwezo wa kuajili watu wa 3 zidisha kwa watu milioni moja ,utapata watakaoajiliwa ni millioni 3 ,hivyo basi itatanua ,kukuza ajira na uchumi wa nchi kukua pia (microeconomics)


NB;mfumo wangu mpya wa ajira uwabakize tu watu ambao ni special talents na wakuu wa idara au makampuni ya umma ambayo kupitia performance zao yameleta tija (wame achieve Key Performance Indicators)

Pia waajiliwa wapewe kiinua mgongo chao chote baada ya kustaafu

Mwisho kabisa maneno yangu sio sheria ,mimi sio mwenyekiti wa chama ,kuna baadhi wako emotional kwakua tu watakua terminated but tukiangalia kwa picha pana kuna kitu kitaleta tija ,pia hamna mtu duniani ametoa mawazo ambayo watu wote wakakubali (common senses are not common)


The captivity of negativity-Tchao
Mkuu,

Haya uliyoandika wala sidhani kama yana tija sana kwa sababu bado hayaondoi root causes za ukosefu wa ajira.

Kinachopaswa kufanyika ni

-Kutengeneza mazingira wezeshi kuvutia wawekezaji. Mfano kutengeneza predictable policies.

-Kutengeneza upya mfumo wa elimu ili kuendana na soko la ajira.

-Kutengeneza katiba mpya ambayo italeta mizani sawa kwenye chaguzi, hvyo kupelekea kupatikana viongozi makini na ufanisi, na ambao wanajali maendeleo na issues za gvt.

-Kuwawezesha vijana na wawekezaji kupata fursa za mikopo kwa urahisi zaidi.

-Kutengeneza awareness kwa vijana wawe na mawazo yenye tija, na kuwa waaminifu.

-TAKUKURU kupewa meno makali na uhuru wa kupambana na rushwa. Rushwa inaua vipaji kwa kutengeneza mazingira ya upendeleo nk.
 
Habari wakuu,
Kutokana na maendeleo ya technolojia,idadi ya watu kuongezeka kwa kasi na uwezo mdogo wa serikali kuzalisha ajira mpya (ukuaji wa uchumi) kuna kila sababu kuiangalia upya sheria ya ajira (Employment and labor relation act -ELRA 2004)

Kuwe na mabadiliko ya kuajili watu permanent ,badala yake watoe tu mikataba isiyozidi miaka kumi au mitano ambayo ni renewable,tena mtu akitaka kuajiliwa tena apigishwe mtihani upya..ambao unaendana na mazingira pamoja na matakwa ya muda husika

Hii itasaidia watu kujiendeleza kupata knowledges mpya ,tafiti za wakati husika na pia kuendana na ukuaji wa technolojia wa muda husika ,tofauti na ilivyo sasa mtu ameajiliwa mwaka 1970 au 60s huko unafikiri huyu mtu ni productive ukimpima kutokana na mazingira ya sasa hivi?Hivyo basi itaongeza productivity ya employees

Sio hivyo tu ,pia itasaidia wafanyakazi wazembe ,wala rushwa,mafisadi,wavivu ,waliobweteka etc mfumo uwe unawaengua wenyewe

Faida nyingine ambayo ndio focus yangu hasa ,mfumo wa ajira mpya utawapa fursa ya vijana ambao wamekosa ajira kuingia kwenye mfumo rasmi na maarifa yao mapya kulitumikia Taifa na kupunguza umasikini uliokithiri na kutoa fursa kulitumikia Taifa lao kwa nguvu mpya kabisa na kutumia ajira kama sehemu ya kupata mtaji baada ya kustaafu miaka michache baada ya mkataba kuisha

Eneo lingine ambalo mfumo pendekezwa utasaidia ni katika kujenga mindset ya ujasiliamali (entrepreneurship community)

Hii itajengwaje?ili kuwasaidia wafanyakazi watakaokua wanastaafu kwenye mfumo wa ajira ,serikali itatakiwa kuwajengea uwezo wa kijasiliamali ,na mitaji ambayo watakua wamepata kupitia mifuko ya jamii (kiinua mgongo) wafungue entrepreneurial ventures ambazo zitakua na uwezo wa kuajili watu wengine wengi ,lets say kila mmoja awe tu na uwezo wa kuajili watu wa 3 zidisha kwa watu milioni moja ,utapata watakaoajiliwa ni millioni 3 ,hivyo basi itatanua ,kukuza ajira na uchumi wa nchi kukua pia (microeconomics)


NB;mfumo wangu mpya wa ajira uwabakize tu watu ambao ni special talents na wakuu wa idara au makampuni ya umma ambayo kupitia performance zao yameleta tija (wame achieve Key Performance Indicators)

Pia waajiliwa wapewe kiinua mgongo chao chote baada ya kustaafu

Mwisho kabisa maneno yangu sio sheria ,mimi sio mwenyekiti wa chama ,kuna baadhi wako emotional kwakua tu watakua terminated but tukiangalia kwa picha pana kuna kitu kitaleta tija ,pia hamna mtu duniani ametoa mawazo ambayo watu wote wakakubali (common senses are not common)


The captivity of negativity-Tchao
Serikali haiwezi kulipa wastaafu wengi kwa mkupuo hapo ndipo kwenye shida.
 
Tanzania bado watu wake wengi no masikini was kutisha mnoo.

Haya, yameuzwa mashamba, ng'ombe, vitumbua mtoto akasoma mpaka Ualimu Grade A.

Mshahara Laki 3.

Hapo anategemewa na FAMILIA YAKE.
FAMILIA YA WAZAZI.

FAMILIA YA MKE WAKE.

Hajasomesha watoto wake na Was ndugu zake. ( extended families).

Hapo bado michango na majukumu ya kijamii kama Misiba, harusi, dharula.

Tatizo kubwa LA.watu wasio na ajira huwa wanafikiri AJIRA ndio mwisho was matatizo na raha mustarehe.

In short, Ajira nyingi za Tanzania ni aina Fulani ya UJOBLESS wenue matumaini.

Unaishi kwa madeni chini ya udhamini was AJIRA.

Na hakuna mapumziko. Na ndio maana hata wastaafu huwa hawamalizi miaka 4 mbele wanakufa.
 
Tanzania bado watu wake wengi no masikini was kutisha mnoo.

Haya, yameuzwa mashamba, ng'ombe, vitumbua mtoto akasoma mpaka Ualimu Grade A.

Mshahara Laki 3.

Hapo anategemewa na FAMILIA YAKE.
FAMILIA YA WAZAZI.

FAMILIA YA MKE WAKE.

Hajasomesha watoto wake na Was ndugu zake. ( extended families).

Hapo bado michango na majukumu ya kijamii kama Misiba, harusi, dharula.

Tatizo kubwa LA.watu wasio na ajira huwa wanafikiri AJIRA ndio mwisho was matatizo na raha mustarehe.

In short, Ajira nyingi za Tanzania ni aina Fulani ya UJOBLESS wenue matumaini.

Unaishi kwa madeni chini ya udhamini was AJIRA.

Na hakuna mapumziko. Na ndio maana hata wastaafu huwa hawamalizi miaka 4 mbele wanakufa.
✔✔
 
Habari wakuu,
Kutokana na maendeleo ya technolojia,idadi ya watu kuongezeka kwa kasi na uwezo mdogo wa serikali kuzalisha ajira mpya (ukuaji wa uchumi) kuna kila sababu kuiangalia upya sheria ya ajira (Employment and labor relation act -ELRA 2004)

Kuwe na mabadiliko ya kuajili watu permanent ,badala yake watoe tu mikataba isiyozidi miaka kumi au mitano ambayo ni renewable,tena mtu akitaka kuajiliwa tena apigishwe mtihani upya..ambao unaendana na mazingira pamoja na matakwa ya muda husika

Hii itasaidia watu kujiendeleza kupata knowledges mpya ,tafiti za wakati husika na pia kuendana na ukuaji wa technolojia wa muda husika ,tofauti na ilivyo sasa mtu ameajiliwa mwaka 1970 au 60s huko unafikiri huyu mtu ni productive ukimpima kutokana na mazingira ya sasa hivi?Hivyo basi itaongeza productivity ya employees

Sio hivyo tu ,pia itasaidia wafanyakazi wazembe ,wala rushwa,mafisadi,wavivu ,waliobweteka etc mfumo uwe unawaengua wenyewe

Faida nyingine ambayo ndio focus yangu hasa ,mfumo wa ajira mpya utawapa fursa ya vijana ambao wamekosa ajira kuingia kwenye mfumo rasmi na maarifa yao mapya kulitumikia Taifa na kupunguza umasikini uliokithiri na kutoa fursa kulitumikia Taifa lao kwa nguvu mpya kabisa na kutumia ajira kama sehemu ya kupata mtaji baada ya kustaafu miaka michache baada ya mkataba kuisha

Eneo lingine ambalo mfumo pendekezwa utasaidia ni katika kujenga mindset ya ujasiliamali (entrepreneurship community)

Hii itajengwaje?ili kuwasaidia wafanyakazi watakaokua wanastaafu kwenye mfumo wa ajira ,serikali itatakiwa kuwajengea uwezo wa kijasiliamali ,na mitaji ambayo watakua wamepata kupitia mifuko ya jamii (kiinua mgongo) wafungue entrepreneurial ventures ambazo zitakua na uwezo wa kuajili watu wengine wengi ,lets say kila mmoja awe tu na uwezo wa kuajili watu wa 3 zidisha kwa watu milioni moja ,utapata watakaoajiliwa ni millioni 3 ,hivyo basi itatanua ,kukuza ajira na uchumi wa nchi kukua pia (microeconomics)


NB;mfumo wangu mpya wa ajira uwabakize tu watu ambao ni special talents na wakuu wa idara au makampuni ya umma ambayo kupitia performance zao yameleta tija (wame achieve Key Performance Indicators)

Pia waajiliwa wapewe kiinua mgongo chao chote baada ya kustaafu

Mwisho kabisa maneno yangu sio sheria ,mimi sio mwenyekiti wa chama ,kuna baadhi wako emotional kwakua tu watakua terminated but tukiangalia kwa picha pana kuna kitu kitaleta tija ,pia hamna mtu duniani ametoa mawazo ambayo watu wote wakakubali (common senses are not common)


The captivity of negativity-Tchao

tafuta kazi acha wivu
 
Kuwe na mabadiliko ya kuajili watu permanent ,badala yake watoe tu mikataba isiyozidi miaka kumi au mitano ambayo ni renewable,tena mtu akitaka kuajiliwa tena apigishwe mtihani upya..ambao unaendana na mazingira pamoja na matakwa ya muda husika

Hapa utaongeza mzigo wa serikali kusomesha watumishi wake ili waongeze huo utaalamu ambao utakuwa ukiendana na mazingira au matakwa ya muda husika...
 
Faida nyingine ambayo ndio focus yangu hasa ,mfumo wa ajira mpya utawapa fursa ya vijana ambao wamekosa ajira kuingia kwenye mfumo rasmi

Kihisabati hii haiwezi kuwa njia ya kutatua tatizo la ajira...

Kwa sababu mfumo unaoushauri utatengeza pia unemployment kwa wale ambao wanang'ofolewa kwenye ajira zao tayari ili wapya waje, na hao wanaotolewa si kuwa umri wa kustaafu umefika...

Hii itakuwa haina tofauti na kuchomoa baadhi ya chupa kwenye kreti la soda ili uweke chupa nyingine, wakati huna kreti la ziada kwa zile zilizotolewa...
 
Tanzania bado watu wake wengi no masikini was kutisha mnoo.

Haya, yameuzwa mashamba, ng'ombe, vitumbua mtoto akasoma mpaka Ualimu Grade A.

Mshahara Laki 3.

Hapo anategemewa na FAMILIA YAKE.
FAMILIA YA WAZAZI.

FAMILIA YA MKE WAKE.

Hajasomesha watoto wake na Was ndugu zake. ( extended families).

Hapo bado michango na majukumu ya kijamii kama Misiba, harusi, dharula.

Tatizo kubwa LA.watu wasio na ajira huwa wanafikiri AJIRA ndio mwisho was matatizo na raha mustarehe.

In short, Ajira nyingi za Tanzania ni aina Fulani ya UJOBLESS wenue matumaini.

Unaishi kwa madeni chini ya udhamini was AJIRA.

Na hakuna mapumziko. Na ndio maana hata wastaafu huwa hawamalizi miaka 4 mbele wanakufa.
 
Habari wakuu,
Kutokana na maendeleo ya technolojia,idadi ya watu kuongezeka kwa kasi na uwezo mdogo wa serikali kuzalisha ajira mpya (ukuaji wa uchumi) kuna kila sababu kuiangalia upya sheria ya ajira (Employment and labor relation act -ELRA 2004)

Kuwe na mabadiliko ya kuajili watu permanent ,badala yake watoe tu mikataba isiyozidi miaka kumi au mitano ambayo ni renewable,tena mtu akitaka kuajiliwa tena apigishwe mtihani upya..ambao unaendana na mazingira pamoja na matakwa ya muda husika

Hii itasaidia watu kujiendeleza kupata knowledges mpya ,tafiti za wakati husika na pia kuendana na ukuaji wa technolojia wa muda husika ,tofauti na ilivyo sasa mtu ameajiliwa mwaka 1970 au 60s huko unafikiri huyu mtu ni productive ukimpima kutokana na mazingira ya sasa hivi?Hivyo basi itaongeza productivity ya employees

Sio hivyo tu ,pia itasaidia wafanyakazi wazembe ,wala rushwa,mafisadi,wavivu ,waliobweteka etc mfumo uwe unawaengua wenyewe

Faida nyingine ambayo ndio focus yangu hasa ,mfumo wa ajira mpya utawapa fursa ya vijana ambao wamekosa ajira kuingia kwenye mfumo rasmi na maarifa yao mapya kulitumikia Taifa na kupunguza umasikini uliokithiri na kutoa fursa kulitumikia Taifa lao kwa nguvu mpya kabisa na kutumia ajira kama sehemu ya kupata mtaji baada ya kustaafu miaka michache baada ya mkataba kuisha

Eneo lingine ambalo mfumo pendekezwa utasaidia ni katika kujenga mindset ya ujasiliamali (entrepreneurship community)

Hii itajengwaje?ili kuwasaidia wafanyakazi watakaokua wanastaafu kwenye mfumo wa ajira ,serikali itatakiwa kuwajengea uwezo wa kijasiliamali ,na mitaji ambayo watakua wamepata kupitia mifuko ya jamii (kiinua mgongo) wafungue entrepreneurial ventures ambazo zitakua na uwezo wa kuajili watu wengine wengi ,lets say kila mmoja awe tu na uwezo wa kuajili watu wa 3 zidisha kwa watu milioni moja ,utapata watakaoajiliwa ni millioni 3 ,hivyo basi itatanua ,kukuza ajira na uchumi wa nchi kukua pia (microeconomics)


NB;mfumo wangu mpya wa ajira uwabakize tu watu ambao ni special talents na wakuu wa idara au makampuni ya umma ambayo kupitia performance zao yameleta tija (wame achieve Key Performance Indicators)

Pia waajiliwa wapewe kiinua mgongo chao chote baada ya kustaafu

Mwisho kabisa maneno yangu sio sheria ,mimi sio mwenyekiti wa chama ,kuna baadhi wako emotional kwakua tu watakua terminated but tukiangalia kwa picha pana kuna kitu kitaleta tija ,pia hamna mtu duniani ametoa mawazo ambayo watu wote wakakubali (common senses are not common)


The captivity of negativity-Tchao
Andiko lako linatokana na wivu dhidi ya walioajiriwa ingawa umejaribu kujificha kwa hoja zisizo na mashiko..

Kama wewe unataka kuajiriwa, nafasi za kila kada huwa zinatangazwa , na hao wanaofanikiwa kuajiriwa ni sampuli ya watu ambao wako competent zaidi ndio maana wanapata ajira na wewe unakosa. Hivyo hata kama baada ya huo muda uliotaja wakiondolewa kazini bado wewe huwezi kupata ajira kwa sababu sio competent ndio maana ulikosa wakati ule wa mwanzo wenzako wakapata.

Unasema eti walisoma zamani kwani hao waliokosa ajira mwanzo nao si watakuwa walisoma zamani? Halafu mambo ya msingi ya taaluma hayabadiliki na hata ikija teknolojia mpya watu hupekekwa semina au training fupi na mwajiri kama akiona kuna gap ya knowledge kwa wafanyakazi wake. Tatu utendaji wa eneo husika makazini hutegemea majukumu ya hiyo unit sio kile tu ulichojifunza shuleni na inaweza kuwa sehemu ndogo tu ya kile mtu alichojiifunza shuleni ndicho anakitumia pale kazini hivyo hizo hadithi zako za eti kwa kuwa kuna maarifa mapya katika taaluma aliyosomea mtu basi mtu huyo aliyepo kazini sio productive hazina mashiko.

Kama unataka sana ajira jitahidi katika interview na sio kuombea mwenzako aondolewe kazini ili wewe upate.
 
Back
Top Bottom