Kuna genge limejipanga kuharibu kwa makusudi sifa na hadhi ya Rais Samia

Genge hili linahonga hadi viongozi wa jumuia za kikistro ili waanzishe movement kulalamika Rais Samia anataka kuiuza nchi kwa jumuia ya Kiislamu, lengo wamchafue kisiasa na akose kabisa uungwaji mkono.
Uzuri ni kwamba Urais wa Tanzania haupatikani kwa kura za wanyonge.

Hata wasipomuunga mkono atashinda tu.

Ondoa shaka ewe msema uongo.
 
Kwenye Siasa , " Hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya " everything is planned .

Think about this ,
Soko la kariakoo wafanya biashara wameandamana, mkataba wa bandari umuvujishwa kwa mbwembwe na tayari kila kona kuna watu wamepangwa kuushambulia , ghafla mkataba hauongelewi maada inageuka kua Rais hana uwezo, Rais hatoshi , etc.

I need to let you know this piece of classified information kwa kua imebidi niwamegee kidogo.

Agenda sio bandari hata kidogo , agenda ni Urais 2025. Kuna siku Chalamila akiwa Kagera aliwahi kusema kuna mawaziri wamesafiri kwenda nchi za nje kusaka fund za kuusaka uraisi, kuna watu walihisi Chalamila ameropoka.

Twende mdogo mdogo sasa, Mwezi August mwaka 2022 , waziri mmoja mwenye mafungamano na Kigogo aliunda rasmi genge la kuusaka uraisi na kila mtu kwenye taasisi nyeti serikalini za kiusalama na maamuzi magumu anajua hili ninalolisema, Rais analijua hili kundi, na ni kundi ambalo liko tayari hata kuuwa ukisimama kwenye njia yao, it is a gang within the Government.

Genge hili lina watu nyeti na viongozi waandamizi wengi ambao baadhi ni reject wa serikali iliyopo sasa.
Kama mnakumbuka, Rais samia ameanza kuwarudisha serikalini viongozi kadhaa waliowahi kuhudumu enzi za Rais Magufuli, Rais Samia hapo kabla aliaminishwa kua yeyote aliyetumika na RAIS Magufuli alikuwa anamtakia mabaya.

Till late last year Rais Samia akafanikiwa kujua Rangi za aliohisi wako naye kumbe wanatafuta kumamliza na kuchukua Urais kijanja na kwa usmart sana.

Genge hili lilifahamu Rais Samia ameshajua mipango yao , na kati ya mipango ya Rais Samia ilikuwa Berndard Membe aje awe mgombea Mwenza 2025. Genge lilichukia sana na kuona kua Membe angekuwa na smooth passage ya kuwa Rais 2030 Baada ya RAIS Samia.

Vita ikaanza Rasmi na genge hilo likaapa kumpigisha ajali kwa kila atakachofanya Rais Samia. Ni kwa sababu baadhi ya mambo ni classfied na yana NDA (Non disclosure Agreement ). Vinginevyo mkataba ambao hata sio wa milele ungewekwa hadharani. Kwanini mkataba hauwekwi hadharani wa badari?

Kampuni inayotaka kuingia ubia na Serikali ya Tanzania ina biashara sehemu zingine Duniani, kuweka wazi mkataba ambao una NDA ni kuharibu biashara yao maeneo mengine na sio ethics za biashara pia.

Genge hili baada ya kujua mkataba una NDA, wakaona Rais hawezi kuutoa hadharani, hivyo hata wakitunga duration ya mkataba hataweza kukataa wala kuutoa hadharani.

Nini kimeandaliwa Rasmi na genge hili kwa sasa. Watu hawa wakiongozwa na waziri ambaye kwa mambo yalipofika anaweza kutenguliwa rasmi, wanalipa watu kumtukana Rais ili waue brand kabisa.

Fikiria hadi Mange Kimambi amebadilika kutoka kuongelea Mkataba sasa nafanya personal attacks kwa Rais, hawaongelei tena Mkataba wala wanasheria waliohusika kunegotiate , the target ni Rais wa nchi . Mange Kimambi amelipwa kwa njia ya Bitcoin fedha zenye thamani ya 800 Million za kitanzania. From last Month na aliambiwa asubiri assignement, this is the clear assigment .

Huyu mnayemwona Kigogo kama anamtetea Rais, don't buy it , it is a set up, atapinduka soon na ataanza kumchafua Rais very soon, it is a strategic movement.

Hawa watu wako serious sana, wanalipa pesa nyingi sana kuusaka urais sio wa 2030 ni wa 2025.

Ni majangili haya, na kama hamuamini in less than a week to come anaweza kufariki mtu muhimu sana mmoja.

I'm telling you this sio kwa sababu sijui kwamba Bandari ni muhimu, sio kwa sababu nasupport waarabu wapewe bandari hapana, the agenda is not about Bandari get your third eye and see.

Tulimpoteza Rais Magufuli japokua na watu walifurahia lakini nawaambia, kama watanzania watazinunua hizi siasa zinazoendelea tutakuwa na Rais wa nchi ambaye ni Magufuli Reject Pro.

Bahati mabaya sana, baada ya miezi zaidi ya miwili watu hua wanarejea maandiko haya na kusema kumbe ilikuwa kweli.

Kwa viongozi wa Upinzani wengi wanacheza ngoma isiyowahusu wanakoleza moto usio na manufaa kwao.

Genge hili limeanza kupita kwa maaskofu na baadhi ya wanaojiita manabii kumpaka matope RAIS Samia kua anataka kuiingiza nchi kwenye OIC (Organization of islamic Countries) ili akose uungwaji mkono toka jamii ya wakristo hii sio haki, Uislamu wa Rais Samia kisiwe kigezo cha kumfitini kwa wakristo.

Genge hili linahonga hadi viongozi wa jumuia za kikistro ili waanzishe movement kulalamika Rais Samia anataka kuiuza nchi kwa jumuia ya Kiislamu, lengo wamchafue kisiasa na akose kabisa uungwaji mkono.

Nimeyasema yote haya nikiamini wanasiasa na waovu hawa muwajue na mjue laana wanayowaletea.
Chagueni na kujadiliana kwa weledi , wenzeni agenda zao sio hizo.

NOTE: Rais anamtaka Polepole arudi awe mwenezi genge liko tayari kufanya chochote pole pole asiwe karibu na Rais

View attachment 2651898
Kwa mwandiko huu wewe ni S- gang
 
Wajiulize km bandari za Marekani zinaendeshwa na DP World sisi kina yakhe ni nani tusibinafsishe uendeshaji wa bandari? Watu wanalishwa matango pori, wengine wanafuata mkumbo km nyumbu hakuna wanachoelewa. Tanzania ujinga Tanzania uko juu sana Serikali iwekeze muda wake kuelimisha raia wake
DPWorld au mwekezaji yeyote sawa kabisa shida mkataba mbovu hilo tu , kila mtu anataka wawekezaji
 
Kwenye Siasa , " Hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya " everything is planned .
Ukweli ambao Wanasiasa hawapendi kuusikia ni "UCHU WAO WA MADARAKA (Political Power)" ili wawe na mamlaka wanayoyapata Kikatiba yakiambatana na manufaa binafsi ambayo hugharamiwa kwa kodi za Wananchi. Hivyo basi, wakishapata madaraka hutumia kila njia kubaki madarakani. Ila, kuna njia kuu mbili hutumika.

1. Hutumia mamlaka ya madaraka yake kuwatumikia Wananchi waliomweka madarakani "utashi wa kisiasa" na kujijengea uhalali wa kuendelea kuwa madarakani. Ikiwa hivyo, hakuna shaka kuwa atajijengea uhasama na Wanasiasa wenzake kwa kuwa atakuwa amekiuka msingi, nia na lengo lao kuu la kuwa mwanasiasa (political power). Huyu, ataondolewa kwa kuuawa.

2) Hutumia mamlaka ya madaraka yake kulinda maslahi yake na waliomwezesha kuingia madarakani. Akifanya hivyo lazima ahakikishe, ije mvua au jua, maslahi ya hao yanalindwa kwa kila hali na gharama yoyote. Asipofanya hivyo ataundiwa mizengwe ya kumwondoa madarakani.
Genge hili linahonga hadi viongozi wa jumuia za kikistro ili waanzishe movement kulalamika Rais Samia anataka kuiuza nchi kwa jumuia ya Kiislamu, lengo wamchafue kisiasa na akose kabisa uungwaji mkono.
Kwa sababu nilizozitaja awali, mimi sitashangaa kama kuna "move" kama hiyo na mwisho wa siku "mission accomplished"
 
Kwenye Siasa , " Hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya " everything is planned .

Think about this ,
Soko la kariakoo wafanya biashara wameandamana, mkataba wa bandari umuvujishwa kwa mbwembwe na tayari kila kona kuna watu wamepangwa kuushambulia , ghafla mkataba hauongelewi maada inageuka kua Rais hana uwezo, Rais hatoshi , etc.

I need to let you know this piece of classified information kwa kua imebidi niwamegee kidogo.

Agenda sio bandari hata kidogo , agenda ni Urais 2025. Kuna siku Chalamila akiwa Kagera aliwahi kusema kuna mawaziri wamesafiri kwenda nchi za nje kusaka fund za kuusaka uraisi, kuna watu walihisi Chalamila ameropoka.

Twende mdogo mdogo sasa, Mwezi August mwaka 2022 , waziri mmoja mwenye mafungamano na Kigogo aliunda rasmi genge la kuusaka uraisi na kila mtu kwenye taasisi nyeti serikalini za kiusalama na maamuzi magumu anajua hili ninalolisema, Rais analijua hili kundi, na ni kundi ambalo liko tayari hata kuuwa ukisimama kwenye njia yao, it is a gang within the Government.

Genge hili lina watu nyeti na viongozi waandamizi wengi ambao baadhi ni reject wa serikali iliyopo sasa.
Kama mnakumbuka, Rais samia ameanza kuwarudisha serikalini viongozi kadhaa waliowahi kuhudumu enzi za Rais Magufuli, Rais Samia hapo kabla aliaminishwa kua yeyote aliyetumika na RAIS Magufuli alikuwa anamtakia mabaya.

Till late last year Rais Samia akafanikiwa kujua Rangi za aliohisi wako naye kumbe wanatafuta kumamliza na kuchukua Urais kijanja na kwa usmart sana.

Genge hili lilifahamu Rais Samia ameshajua mipango yao , na kati ya mipango ya Rais Samia ilikuwa Berndard Membe aje awe mgombea Mwenza 2025. Genge lilichukia sana na kuona kua Membe angekuwa na smooth passage ya kuwa Rais 2030 Baada ya RAIS Samia.

Vita ikaanza Rasmi na genge hilo likaapa kumpigisha ajali kwa kila atakachofanya Rais Samia. Ni kwa sababu baadhi ya mambo ni classfied na yana NDA (Non disclosure Agreement ). Vinginevyo mkataba ambao hata sio wa milele ungewekwa hadharani. Kwanini mkataba hauwekwi hadharani wa badari?

Kampuni inayotaka kuingia ubia na Serikali ya Tanzania ina biashara sehemu zingine Duniani, kuweka wazi mkataba ambao una NDA ni kuharibu biashara yao maeneo mengine na sio ethics za biashara pia.

Genge hili baada ya kujua mkataba una NDA, wakaona Rais hawezi kuutoa hadharani, hivyo hata wakitunga duration ya mkataba hataweza kukataa wala kuutoa hadharani.

Nini kimeandaliwa Rasmi na genge hili kwa sasa. Watu hawa wakiongozwa na waziri ambaye kwa mambo yalipofika anaweza kutenguliwa rasmi, wanalipa watu kumtukana Rais ili waue brand kabisa.

Fikiria hadi Mange Kimambi amebadilika kutoka kuongelea Mkataba sasa nafanya personal attacks kwa Rais, hawaongelei tena Mkataba wala wanasheria waliohusika kunegotiate , the target ni Rais wa nchi . Mange Kimambi amelipwa kwa njia ya Bitcoin fedha zenye thamani ya 800 Million za kitanzania. From last Month na aliambiwa asubiri assignement, this is the clear assigment .

Huyu mnayemwona Kigogo kama anamtetea Rais, don't buy it , it is a set up, atapinduka soon na ataanza kumchafua Rais very soon, it is a strategic movement.

Hawa watu wako serious sana, wanalipa pesa nyingi sana kuusaka urais sio wa 2030 ni wa 2025.

Ni majangili haya, na kama hamuamini in less than a week to come anaweza kufariki mtu muhimu sana mmoja.

I'm telling you this sio kwa sababu sijui kwamba Bandari ni muhimu, sio kwa sababu nasupport waarabu wapewe bandari hapana, the agenda is not about Bandari get your third eye and see.

Tulimpoteza Rais Magufuli japokua na watu walifurahia lakini nawaambia, kama watanzania watazinunua hizi siasa zinazoendelea tutakuwa na Rais wa nchi ambaye ni Magufuli Reject Pro.

Bahati mabaya sana, baada ya miezi zaidi ya miwili watu hua wanarejea maandiko haya na kusema kumbe ilikuwa kweli.

Kwa viongozi wa Upinzani wengi wanacheza ngoma isiyowahusu wanakoleza moto usio na manufaa kwao.

Genge hili limeanza kupita kwa maaskofu na baadhi ya wanaojiita manabii kumpaka matope RAIS Samia kua anataka kuiingiza nchi kwenye OIC (Organization of islamic Countries) ili akose uungwaji mkono toka jamii ya wakristo hii sio haki, Uislamu wa Rais Samia kisiwe kigezo cha kumfitini kwa wakristo.

Genge hili linahonga hadi viongozi wa jumuia za kikistro ili waanzishe movement kulalamika Rais Samia anataka kuiuza nchi kwa jumuia ya Kiislamu, lengo wamchafue kisiasa na akose kabisa uungwaji mkono.

Nimeyasema yote haya nikiamini wanasiasa na waovu hawa muwajue na mjue laana wanayowaletea.
Chagueni na kujadiliana kwa weledi , wenzeni agenda zao sio hizo.

NOTE: Rais anamtaka Polepole arudi awe mwenezi genge liko tayari kufanya chochote pole pole asiwe karibu na Rais

View attachment 2651898


MKataba ni mbovu inavoonekana.
Hilo genge huenda ndilo lilihusika kumshawish mama kuwa mkataba uko poa huku wakijua hakika mkataba ni mbovu, na hilo genge si linajua mama ni mvivu kusoma sio kama JPM mama alitangaza wazi yeye hakai na files yaan yeye ana delegate tu hata ha review huu ni uzembe wa mama.

Mama alishasema kuwa kuna mikataba inasainiwa kuchek kuna vipengele vibaya ukiuliza ilikuaje kimya maana ake mama hasomi. Mama hayupo responsible. Hatuhitaji rais mvivu kwa sasa.

Anyway hilo genge kama lipo nafikil ndilo linamwambia mama mkataba uko vizuri. Kwa kufanya hivo kweli litashinda😆


Afu mama aache uvivu. Asome ajisomee afanye kazi kweli
 
Hata kana unachozungumza kina ukweli, Rais wetu anachonikera binafsi anashingo ngumu hapendi kuwasikiliza na kuwajali kabisa wananchi wake.

Cha zaidi anakuwa ni kama Rais wa maslahi ya wawekezaji. Yuko tayari hata kuwauwa raia wake ili kuyalinda maslahi ya wawekezaji wake hii si sawa hata kidogo:

1. Kapora kwa nguvu ya mtutu ardhi ya wamasai, Mbeya na amejaribu Mara.

2. Mbuga zetu zimebinafsishwa na hata wanyama wetu kuuzwa.

3. Sasa Bandari, kiufupi kwa sasa binafsi simwamini Rais wangu na haambiliki, ni mtu hana shida na ushauri na vilio vya wananchi wake.
Inshort anaenda kuwa mbaya kuliko magufuli
 
Kwenye Siasa , " Hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya " everything is planned .

Think about this ,
Soko la kariakoo wafanya biashara wameandamana, mkataba wa bandari umuvujishwa kwa mbwembwe na tayari kila kona kuna watu wamepangwa kuushambulia , ghafla mkataba hauongelewi maada inageuka kua Rais hana uwezo, Rais hatoshi , etc.

I need to let you know this piece of classified information kwa kua imebidi niwamegee kidogo.

Agenda sio bandari hata kidogo , agenda ni Urais 2025. Kuna siku Chalamila akiwa Kagera aliwahi kusema kuna mawaziri wamesafiri kwenda nchi za nje kusaka fund za kuusaka uraisi, kuna watu walihisi Chalamila ameropoka.

Twende mdogo mdogo sasa, Mwezi August mwaka 2022 , waziri mmoja mwenye mafungamano na Kigogo aliunda rasmi genge la kuusaka uraisi na kila mtu kwenye taasisi nyeti serikalini za kiusalama na maamuzi magumu anajua hili ninalolisema, Rais analijua hili kundi, na ni kundi ambalo liko tayari hata kuuwa ukisimama kwenye njia yao, it is a gang within the Government.

Genge hili lina watu nyeti na viongozi waandamizi wengi ambao baadhi ni reject wa serikali iliyopo sasa.
Kama mnakumbuka, Rais samia ameanza kuwarudisha serikalini viongozi kadhaa waliowahi kuhudumu enzi za Rais Magufuli, Rais Samia hapo kabla aliaminishwa kua yeyote aliyetumika na RAIS Magufuli alikuwa anamtakia mabaya.

Till late last year Rais Samia akafanikiwa kujua Rangi za aliohisi wako naye kumbe wanatafuta kumamliza na kuchukua Urais kijanja na kwa usmart sana.

Genge hili lilifahamu Rais Samia ameshajua mipango yao , na kati ya mipango ya Rais Samia ilikuwa Berndard Membe aje awe mgombea Mwenza 2025. Genge lilichukia sana na kuona kua Membe angekuwa na smooth passage ya kuwa Rais 2030 Baada ya RAIS Samia.

Vita ikaanza Rasmi na genge hilo likaapa kumpigisha ajali kwa kila atakachofanya Rais Samia. Ni kwa sababu baadhi ya mambo ni classfied na yana NDA (Non disclosure Agreement ). Vinginevyo mkataba ambao hata sio wa milele ungewekwa hadharani. Kwanini mkataba hauwekwi hadharani wa badari?

Kampuni inayotaka kuingia ubia na Serikali ya Tanzania ina biashara sehemu zingine Duniani, kuweka wazi mkataba ambao una NDA ni kuharibu biashara yao maeneo mengine na sio ethics za biashara pia.

Genge hili baada ya kujua mkataba una NDA, wakaona Rais hawezi kuutoa hadharani, hivyo hata wakitunga duration ya mkataba hataweza kukataa wala kuutoa hadharani.

Nini kimeandaliwa Rasmi na genge hili kwa sasa. Watu hawa wakiongozwa na waziri ambaye kwa mambo yalipofika anaweza kutenguliwa rasmi, wanalipa watu kumtukana Rais ili waue brand kabisa.

Fikiria hadi Mange Kimambi amebadilika kutoka kuongelea Mkataba sasa nafanya personal attacks kwa Rais, hawaongelei tena Mkataba wala wanasheria waliohusika kunegotiate , the target ni Rais wa nchi . Mange Kimambi amelipwa kwa njia ya Bitcoin fedha zenye thamani ya 800 Million za kitanzania. From last Month na aliambiwa asubiri assignement, this is the clear assigment .

Huyu mnayemwona Kigogo kama anamtetea Rais, don't buy it , it is a set up, atapinduka soon na ataanza kumchafua Rais very soon, it is a strategic movement.

Hawa watu wako serious sana, wanalipa pesa nyingi sana kuusaka urais sio wa 2030 ni wa 2025.

Ni majangili haya, na kama hamuamini in less than a week to come anaweza kufariki mtu muhimu sana mmoja.

I'm telling you this sio kwa sababu sijui kwamba Bandari ni muhimu, sio kwa sababu nasupport waarabu wapewe bandari hapana, the agenda is not about Bandari get your third eye and see.

Tulimpoteza Rais Magufuli japokua na watu walifurahia lakini nawaambia, kama watanzania watazinunua hizi siasa zinazoendelea tutakuwa na Rais wa nchi ambaye ni Magufuli Reject Pro.

Bahati mabaya sana, baada ya miezi zaidi ya miwili watu hua wanarejea maandiko haya na kusema kumbe ilikuwa kweli.

Kwa viongozi wa Upinzani wengi wanacheza ngoma isiyowahusu wanakoleza moto usio na manufaa kwao.

Genge hili limeanza kupita kwa maaskofu na baadhi ya wanaojiita manabii kumpaka matope RAIS Samia kua anataka kuiingiza nchi kwenye OIC (Organization of islamic Countries) ili akose uungwaji mkono toka jamii ya wakristo hii sio haki, Uislamu wa Rais Samia kisiwe kigezo cha kumfitini kwa wakristo.

Genge hili linahonga hadi viongozi wa jumuia za kikistro ili waanzishe movement kulalamika Rais Samia anataka kuiuza nchi kwa jumuia ya Kiislamu, lengo wamchafue kisiasa na akose kabisa uungwaji mkono.

Nimeyasema yote haya nikiamini wanasiasa na waovu hawa muwajue na mjue laana wanayowaletea.
Chagueni na kujadiliana kwa weledi , wenzeni agenda zao sio hizo.

NOTE: Rais anamtaka Polepole arudi awe mwenezi genge liko tayari kufanya chochote pole pole asiwe karibu na Rais

View attachment 2651898
Huyo Raisi wenu mpakeni rangi zote. Ila Kwa lugha fupi ni kwamba ni goigoi na hafai Hata kuongoza kuku
 
Kwenye Siasa , " Hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya " everything is planned .

Think about this ,
Soko la kariakoo wafanya biashara wameandamana, mkataba wa bandari umuvujishwa kwa mbwembwe na tayari kila kona kuna watu wamepangwa kuushambulia , ghafla mkataba hauongelewi maada inageuka kua Rais hana uwezo, Rais hatoshi , etc.

I need to let you know this piece of classified information kwa kua imebidi niwamegee kidogo.

Agenda sio bandari hata kidogo , agenda ni Urais 2025. Kuna siku Chalamila akiwa Kagera aliwahi kusema kuna mawaziri wamesafiri kwenda nchi za nje kusaka fund za kuusaka uraisi, kuna watu walihisi Chalamila ameropoka.

Twende mdogo mdogo sasa, Mwezi August mwaka 2022 , waziri mmoja mwenye mafungamano na Kigogo aliunda rasmi genge la kuusaka uraisi na kila mtu kwenye taasisi nyeti serikalini za kiusalama na maamuzi magumu anajua hili ninalolisema, Rais analijua hili kundi, na ni kundi ambalo liko tayari hata kuuwa ukisimama kwenye njia yao, it is a gang within the Government.

Genge hili lina watu nyeti na viongozi waandamizi wengi ambao baadhi ni reject wa serikali iliyopo sasa.
Kama mnakumbuka, Rais samia ameanza kuwarudisha serikalini viongozi kadhaa waliowahi kuhudumu enzi za Rais Magufuli, Rais Samia hapo kabla aliaminishwa kua yeyote aliyetumika na RAIS Magufuli alikuwa anamtakia mabaya.

Till late last year Rais Samia akafanikiwa kujua Rangi za aliohisi wako naye kumbe wanatafuta kumamliza na kuchukua Urais kijanja na kwa usmart sana.

Genge hili lilifahamu Rais Samia ameshajua mipango yao , na kati ya mipango ya Rais Samia ilikuwa Berndard Membe aje awe mgombea Mwenza 2025. Genge lilichukia sana na kuona kua Membe angekuwa na smooth passage ya kuwa Rais 2030 Baada ya RAIS Samia.

Vita ikaanza Rasmi na genge hilo likaapa kumpigisha ajali kwa kila atakachofanya Rais Samia. Ni kwa sababu baadhi ya mambo ni classfied na yana NDA (Non disclosure Agreement ). Vinginevyo mkataba ambao hata sio wa milele ungewekwa hadharani. Kwanini mkataba hauwekwi hadharani wa badari?

Kampuni inayotaka kuingia ubia na Serikali ya Tanzania ina biashara sehemu zingine Duniani, kuweka wazi mkataba ambao una NDA ni kuharibu biashara yao maeneo mengine na sio ethics za biashara pia.

Genge hili baada ya kujua mkataba una NDA, wakaona Rais hawezi kuutoa hadharani, hivyo hata wakitunga duration ya mkataba hataweza kukataa wala kuutoa hadharani.

Nini kimeandaliwa Rasmi na genge hili kwa sasa. Watu hawa wakiongozwa na waziri ambaye kwa mambo yalipofika anaweza kutenguliwa rasmi, wanalipa watu kumtukana Rais ili waue brand kabisa.

Fikiria hadi Mange Kimambi amebadilika kutoka kuongelea Mkataba sasa nafanya personal attacks kwa Rais, hawaongelei tena Mkataba wala wanasheria waliohusika kunegotiate , the target ni Rais wa nchi . Mange Kimambi amelipwa kwa njia ya Bitcoin fedha zenye thamani ya 800 Million za kitanzania. From last Month na aliambiwa asubiri assignement, this is the clear assigment .

Huyu mnayemwona Kigogo kama anamtetea Rais, don't buy it , it is a set up, atapinduka soon na ataanza kumchafua Rais very soon, it is a strategic movement.

Hawa watu wako serious sana, wanalipa pesa nyingi sana kuusaka urais sio wa 2030 ni wa 2025.

Ni majangili haya, na kama hamuamini in less than a week to come anaweza kufariki mtu muhimu sana mmoja.

I'm telling you this sio kwa sababu sijui kwamba Bandari ni muhimu, sio kwa sababu nasupport waarabu wapewe bandari hapana, the agenda is not about Bandari get your third eye and see.

Tulimpoteza Rais Magufuli japokua na watu walifurahia lakini nawaambia, kama watanzania watazinunua hizi siasa zinazoendelea tutakuwa na Rais wa nchi ambaye ni Magufuli Reject Pro.

Bahati mabaya sana, baada ya miezi zaidi ya miwili watu hua wanarejea maandiko haya na kusema kumbe ilikuwa kweli.

Kwa viongozi wa Upinzani wengi wanacheza ngoma isiyowahusu wanakoleza moto usio na manufaa kwao.

Genge hili limeanza kupita kwa maaskofu na baadhi ya wanaojiita manabii kumpaka matope RAIS Samia kua anataka kuiingiza nchi kwenye OIC (Organization of islamic Countries) ili akose uungwaji mkono toka jamii ya wakristo hii sio haki, Uislamu wa Rais Samia kisiwe kigezo cha kumfitini kwa wakristo.

Genge hili linahonga hadi viongozi wa jumuia za kikistro ili waanzishe movement kulalamika Rais Samia anataka kuiuza nchi kwa jumuia ya Kiislamu, lengo wamchafue kisiasa na akose kabisa uungwaji mkono.

Nimeyasema yote haya nikiamini wanasiasa na waovu hawa muwajue na mjue laana wanayowaletea.
Chagueni na kujadiliana kwa weledi , wenzeni agenda zao sio hizo.

NOTE: Rais anamtaka Polepole arudi awe mwenezi genge liko tayari kufanya chochote pole pole asiwe karibu na Rais

View attachment 2651898
Mkuu wataje tu tuwafahamu
 
Kwenye Siasa , " Hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya " everything is planned .

Think about this ,
Soko la kariakoo wafanya biashara wameandamana, mkataba wa bandari umuvujishwa kwa mbwembwe na tayari kila kona kuna watu wamepangwa kuushambulia , ghafla mkataba hauongelewi maada inageuka kua Rais hana uwezo, Rais hatoshi , etc.

I need to let you know this piece of classified information kwa kua imebidi niwamegee kidogo.

Agenda sio bandari hata kidogo , agenda ni Urais 2025. Kuna siku Chalamila akiwa Kagera aliwahi kusema kuna mawaziri wamesafiri kwenda nchi za nje kusaka fund za kuusaka uraisi, kuna watu walihisi Chalamila ameropoka.

Twende mdogo mdogo sasa, Mwezi August mwaka 2022 , waziri mmoja mwenye mafungamano na Kigogo aliunda rasmi genge la kuusaka uraisi na kila mtu kwenye taasisi nyeti serikalini za kiusalama na maamuzi magumu anajua hili ninalolisema, Rais analijua hili kundi, na ni kundi ambalo liko tayari hata kuuwa ukisimama kwenye njia yao, it is a gang within the Government.

Genge hili lina watu nyeti na viongozi waandamizi wengi ambao baadhi ni reject wa serikali iliyopo sasa.
Kama mnakumbuka, Rais samia ameanza kuwarudisha serikalini viongozi kadhaa waliowahi kuhudumu enzi za Rais Magufuli, Rais Samia hapo kabla aliaminishwa kua yeyote aliyetumika na RAIS Magufuli alikuwa anamtakia mabaya.

Till late last year Rais Samia akafanikiwa kujua Rangi za aliohisi wako naye kumbe wanatafuta kumamliza na kuchukua Urais kijanja na kwa usmart sana.

Genge hili lilifahamu Rais Samia ameshajua mipango yao , na kati ya mipango ya Rais Samia ilikuwa Berndard Membe aje awe mgombea Mwenza 2025. Genge lilichukia sana na kuona kua Membe angekuwa na smooth passage ya kuwa Rais 2030 Baada ya RAIS Samia.

Vita ikaanza Rasmi na genge hilo likaapa kumpigisha ajali kwa kila atakachofanya Rais Samia. Ni kwa sababu baadhi ya mambo ni classfied na yana NDA (Non disclosure Agreement ). Vinginevyo mkataba ambao hata sio wa milele ungewekwa hadharani. Kwanini mkataba hauwekwi hadharani wa badari?

Kampuni inayotaka kuingia ubia na Serikali ya Tanzania ina biashara sehemu zingine Duniani, kuweka wazi mkataba ambao una NDA ni kuharibu biashara yao maeneo mengine na sio ethics za biashara pia.

Genge hili baada ya kujua mkataba una NDA, wakaona Rais hawezi kuutoa hadharani, hivyo hata wakitunga duration ya mkataba hataweza kukataa wala kuutoa hadharani.

Nini kimeandaliwa Rasmi na genge hili kwa sasa. Watu hawa wakiongozwa na waziri ambaye kwa mambo yalipofika anaweza kutenguliwa rasmi, wanalipa watu kumtukana Rais ili waue brand kabisa.

Fikiria hadi Mange Kimambi amebadilika kutoka kuongelea Mkataba sasa nafanya personal attacks kwa Rais, hawaongelei tena Mkataba wala wanasheria waliohusika kunegotiate , the target ni Rais wa nchi . Mange Kimambi amelipwa kwa njia ya Bitcoin fedha zenye thamani ya 800 Million za kitanzania. From last Month na aliambiwa asubiri assignement, this is the clear assigment .

Huyu mnayemwona Kigogo kama anamtetea Rais, don't buy it , it is a set up, atapinduka soon na ataanza kumchafua Rais very soon, it is a strategic movement.

Hawa watu wako serious sana, wanalipa pesa nyingi sana kuusaka urais sio wa 2030 ni wa 2025.

Ni majangili haya, na kama hamuamini in less than a week to come anaweza kufariki mtu muhimu sana mmoja.

I'm telling you this sio kwa sababu sijui kwamba Bandari ni muhimu, sio kwa sababu nasupport waarabu wapewe bandari hapana, the agenda is not about Bandari get your third eye and see.

Tulimpoteza Rais Magufuli japokua na watu walifurahia lakini nawaambia, kama watanzania watazinunua hizi siasa zinazoendelea tutakuwa na Rais wa nchi ambaye ni Magufuli Reject Pro.

Bahati mabaya sana, baada ya miezi zaidi ya miwili watu hua wanarejea maandiko haya na kusema kumbe ilikuwa kweli.

Kwa viongozi wa Upinzani wengi wanacheza ngoma isiyowahusu wanakoleza moto usio na manufaa kwao.

Genge hili limeanza kupita kwa maaskofu na baadhi ya wanaojiita manabii kumpaka matope RAIS Samia kua anataka kuiingiza nchi kwenye OIC (Organization of islamic Countries) ili akose uungwaji mkono toka jamii ya wakristo hii sio haki, Uislamu wa Rais Samia kisiwe kigezo cha kumfitini kwa wakristo.

Genge hili linahonga hadi viongozi wa jumuia za kikistro ili waanzishe movement kulalamika Rais Samia anataka kuiuza nchi kwa jumuia ya Kiislamu, lengo wamchafue kisiasa na akose kabisa uungwaji mkono.

Nimeyasema yote haya nikiamini wanasiasa na waovu hawa muwajue na mjue laana wanayowaletea.
Chagueni na kujadiliana kwa weledi , wenzeni agenda zao sio hizo.

NOTE: Rais anamtaka Polepole arudi awe mwenezi genge liko tayari kufanya chochote pole pole asiwe karibu na Rais

View attachment 2651898
Wakiiharibu hiyo mipango kwa maslahi ya taifa ni sawa.
 
Hakuna cha genge, cha msingi mama atuondolee huyo mwarabu ati kumiliki bandari yetu milele.
 
Kama mkataba una Non Exclosure Agreement (NDA), umevujishwa sasa,

Mbona hatuoni Kampuni hiyo ikisusia kuendelea Kwa mkataba?

Unatakiwa ujue tunaopinga mkataba huu ni Kwa Uzalendo wetu, hatujanunuliwa na yeyote.

Mnapambana na msiyemjua, tunataka Tanzania tajiri yenye kujitegemea kiuchumi na sio kuwa kuwadi wa kuuza Mali za Nchi Kwa wageni.

Sa100 hakuna namna unamkwepesha na lawama hizi.
WACHATUSEME NA.2

TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO

Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha Bandari za Tanzania na kampuni ya DP World. Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa shutuma kali kuwa Bandari za Tanganyika zinauzwa na Wazanzibari yaani Waziri wa Ujenzi, Mhe Makame Mbarawa na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Lakini ghafla mjadala ukahama kwenye Siasa na ukatawaliwa na hisia kali za kidini. Sote tumeshuhudia namna viongozi wa dini ya Kikristo hasa wakatoliki wakiongozwa na Kadinali Pengo walivyokuwa wakilipigia kelele suala la Bandari.

Hoja zinazotawala mjadala huu ni mbili. Hoja ya kwanza ni kwamba mkataba ule umesainiwa na Waziri Mzanzibari na Rais Mzanzibari na kwamba Wanzanzibari hawa wawili wanauza mali za Tanganyika. Hoja yao ya pili inadai kuwa mkataba hauna ukomo wa muda, yaani ni mkataba wa milele. Hii hoja hii ya pili inashabikiwa sana na viongozi wa Kanisa.

Jambo la kushangaza ni kuwa mpaka sasa hakuna hata msemaji mmoja, awe mwanasiasa au kiongozi wa Kanisa aliyetoa hoja za kiuchumi na utendaji za kupinga makubaliano hayo.

Badala yake, viongozi wengine kama vile mama Anna Tibaijuka anadiriki kusema uwongo kuhusu sababu za DP World kukataliwa kuendesha Bandari za Marekani. Mama Tibaijuka anajua vyema lakini hakutaka kusema kuwa sababu ya kukataliwa kuongoza Bandari za New York na New Jersey ni Uwarabu wao na wala si utendaji wao.

Ni kweli Bunge la Marekani lilikataa DP World wasipewe Bandari hizo lakini walisema wazi kuwa Marekani haiwezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao kwa sababu za kiusalama. Hakuna asiejua msimamo wa Marekani kuhusu Waarabu na Waislamu.

Kwa makusudi kabisa, mama huyu anapotosha watu kwa kufananisha suala la Bandari za Marekani na Bandari za Dar es Salaam. Kwenye suala la Dar es Salaam, DP World haikutaka kununua TPA. Inachopendeza ni kuendesha na si kununua Bandari ya Dar es Salaam.

Suala hili la kuendesha si geni Tanzania. Kampuni ya TICTS imeendesha Bandari ya Dar es Salaam kwa zaidi ya miaka 20. Kampuni ya “Swissport” inaendesha Kiwanja cha Ndege cha Dar es Salaam kwa muda mrefu. Mbona hizi kelele hatukuzisikia?

Wakati wa utawala wa Donald Trump Marekani ilifika hatua ya kupiga marufuku baadhi ya Mataifa ya Arabuni kwa maana Waislamu kuingia Marekani. Kwa hiyo mama Tibaijuka hakutaka kuwa mkweli kuhusu suala hili.

Ametumia kivuli chake cha kuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa kwa wakati ule kuwaaminisha Watanzania kuwa yeye anafahamu zaidi kuhusu ubaya wa DP World.

Mama Tibaijuka amekosa uadilifu (moral authority) wa kuweza kukemea kile alichokiita mkataba mbovu kwa sababu wakati kampuni ya TICTS iliyokuwa inaendesha Bandari ya DSM kwa utendaji wa hovyo huyu mama alikaa kimya hata pale ambapo TICTS walipopewa nyongeza ya mkataba wa miaka 15 bila kufuata sheria za manunuzi.

Lakini jambo la pili, nani asiyejua kuwa mama Anna Tibaijuka alikiri hadharani kuwa alipokea shs 1.6 bilioni ya fedha za rushwa za ESCROW? Huyu mama ambaye alisema kwa majigambo kuwa shs 1.6 bilioni ni pesa ya mboga ana uchungu gani wa kuwatetea Watanzania masikini?

Bado tunarejea kusema tena kwa kinywa kipana, mpaka sasa hakuna mtu hata mmoja aliyesema kwa kuonesha ushahidi kuwa DP World hawana uwezo kifedha au utendaji wao ni mbovu. Hakuna aliyesema kuwa hizo fedha ambazo tunaahidiwa ni ahadi hewa kwa sababu DP World hawana uwezo wa kuvutia mizigo kupitia Bandari ya Dar es Salaam.

Kwa kuwa mjadala umetawaliwa na CHUKI za kidini na wasemaji wakubwa wamekuwa viongozi wa Kanisa. Tukumbuke kuwa ni Wakristo hao hao ambao mmoja kati ya viongozi wao waliosema kuwa Rais Samia anafanana na muuza vitumbua! Makanisa hawakukemea kauli hii ya kumkosea adabu Rais.

Kwa kuwa mjadala wa Bandari una chuki za udini, naomba tujikumbushe nafasi ya Makanisa katika nchi hii.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa Makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote; Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu ? Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi. Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa Makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa Serikali inatoa fedha kwa Makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, Makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa Makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka Serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele. (Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu. Huyu ni Mkristo

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.
Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo? Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza Mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.
Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo. Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake. Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021. Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao. Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao. Ukimya huu tuutafsiri vipi? Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.

Watanzania hawajasau wakati wa utawala wa Magufuli wameshuhudia mauwaji kule Kibiti na Rufiji ambayo ni Wilaya zenye Waislamu wengi. Watanzania bado wanakumbuka viroba vyenye miili ya watu vilivyokuwa vinaokotwa Coco Beach kila uchao.

Kanisa lilikuwa wapi wakati Magufuli anatoa roho za watu wasio na hatia? Masheikh wangapi wamepotea ambao mpaka leo hawajulikani walipo wakati wa utawala wa Magufuli?

Hao waliobahatika wametoka jela wakiwa vilema kama alivyo Sheikh Abdallah Maginga Wambura ambaye kakatwa mguu kutokana na vipigo vya Polisi?

Yuko wapi mwanasiasa Ben Saanane ambaye “kosa” lake ni kuandika kuwa PhD ya Magufuli ni feki? Yuko wapi Mwandishi Azory Gwanda ambaye “kosa” lake lilikuwa kuandika ukweli kuhusu mauwaji ya Kibiti?

Wakati wa utawala wa Magufuli, Mbunge wa Kilwa Kusini Mhe Selemani Bungara maarfu “Bwege” aliwahi kusema Bungeni kuwa raia wake walichukuliwa na askari msikitini na wamepotea mpaka leo hawajulikani walipo. Kanisa halikuyaona haya?

Kama Kanisa ilifumbia macho udhalimu na ukatili huu, leo wanapata wapi mdomo wa kukemea hicho wanachokiita mkataba usio na maslahi kwa wananchi?

Ni wananchi gani hao ambao leo Kanisa linajifanya kuwatetea?

Saa Watanzania wanakumbuka kuwa pamoja na ukatili wote wa Magufuli, ni viongozi hao hao wa Kanisa waliokuwa wakimkaribisha kila Jumapili kwenye Makanisa yao na kumpa nafasi ya kuzungumza. Leo Kanisa linataka kuwadanganya Watanzania kuwa lina maslahi na wananchi?

Kuna kitu kikubwa zaidi ya uhai? Wakati watu wanatolewa roho zao na Magufuli Kanisa lilikuwa wapi?

KWANINI WAKRISTO WANAPINGA MKATABA WA BANDARI

Mpaka sasa si Makanisa wala Wanasiasa ambao wametoa hoja ya kiuchumi. Tofauti na Wamarekani ambao walisema hadharani kuwa hawawezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao, hapa Tanzania sababu haswa ya kupinga Mkataba haisemwi hadharani.

Vinatafutwa visingizio tu. Ukweli ni kuwa Mkataba wa Bandari unapingwa na kuwepo kwa fikra potofu za Kanisa kuwa:

Iwapo DP World watapewa zabuni ya kuendesha Bandari, uwepo wao Tanzania utawanufaisha Waislam kwa namna moja au nyingine.

Kuna wanaohofia kuwa iwapo Bandari itafanikiwa, na endapo itatokea fursa ya miradi mingine mikubwa ya kiuchumi, Dubai watakuwa na nafasi nzuri ya kupewa miradi hiyo. Kwa hiyo kuwepo kwao kutaimarisha Uislamu.

Ikiwa DP World watapata tenda ya Bandari, nchi itapata mafanikio makubwa ya kiuchumi ambayo kwa fikra zao potofu yatakuwa yameletwa na Rais Mwislamu. Kwa maana hiyo, Waislamu wanaweza kuongoza nchi kwa ufanisi. Tayari kuna watu wanaosema kuwa Samia awe Rais wa mwisho Mwislamu Tanzania

Kuna wanaosema Bandari ikipata mafanikio itaonekana kuwa kumbe Wanawake wanaweza kuongoza nchi vizuri
Kuna wasemao kuwa Bandari ikifanikiwa itaonekana Wanzanzibari nao wana uwezo sawa na wa Bara katika kuliongoza taifa letu.

Hoja zote hizo ni za kipuuzi. Mafanikio yakiletwa na Rais Mwislamu au mwanamke au Mzanzibari wataonufaika ni wananchi wote.

Fedha za Bandari zitawanufaisha WOTE kwani anaepanga matumizi ya fedha ni Bunge letu ambalo lina Wabunge Waislamu, Wakristo na wasiokuwa na dini.

MWISHO

Nchi hii Waislamu wamekuwa wakidai kuwa Tanzania ni NCHI YETU SOTE

Waislamu wamekuwa wakidai kuwa idadi yao ni kubwa

Waislamu wanajigamba kuwa wamesoma lakini hawapewi fursa sawa

Kinachoshangaza ni kuwa tokea Mjadala wa Bandari uanze na hata mijadala mingine inayohusu UDINI huwasikii Waislamu kusema lolote. Wao ni kimyaaaaaaaaaa.

Mjadala wa Bandari umetawaliwa na viongozi wa dini ya Kikristo, Wasomi Wakristo, Taasisi za Kikristo na hata wanasheria waliofungua kesi Mahakamani ni Wakristo.

Kwenye mjadala wa Bandari kuna mafunzo kwa Waislamu.

MWENYEZIMUNGU ASHUHUDIE TUMEFIKISHA
 
Kwenye Siasa , " Hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya " everything is planned .

Think about this ,
Soko la kariakoo wafanya biashara wameandamana, mkataba wa bandari umuvujishwa kwa mbwembwe na tayari kila kona kuna watu wamepangwa kuushambulia , ghafla mkataba hauongelewi maada inageuka kua Rais hana uwezo, Rais hatoshi , etc.

I need to let you know this piece of classified information kwa kua imebidi niwamegee kidogo.

Agenda sio bandari hata kidogo , agenda ni Urais 2025. Kuna siku Chalamila akiwa Kagera aliwahi kusema kuna mawaziri wamesafiri kwenda nchi za nje kusaka fund za kuusaka uraisi, kuna watu walihisi Chalamila ameropoka.

Twende mdogo mdogo sasa, Mwezi August mwaka 2022 , waziri mmoja mwenye mafungamano na Kigogo aliunda rasmi genge la kuusaka uraisi na kila mtu kwenye taasisi nyeti serikalini za kiusalama na maamuzi magumu anajua hili ninalolisema, Rais analijua hili kundi, na ni kundi ambalo liko tayari hata kuuwa ukisimama kwenye njia yao, it is a gang within the Government.

Genge hili lina watu nyeti na viongozi waandamizi wengi ambao baadhi ni reject wa serikali iliyopo sasa.
Kama mnakumbuka, Rais samia ameanza kuwarudisha serikalini viongozi kadhaa waliowahi kuhudumu enzi za Rais Magufuli, Rais Samia hapo kabla aliaminishwa kua yeyote aliyetumika na RAIS Magufuli alikuwa anamtakia mabaya.

Till late last year Rais Samia akafanikiwa kujua Rangi za aliohisi wako naye kumbe wanatafuta kumamliza na kuchukua Urais kijanja na kwa usmart sana.

Genge hili lilifahamu Rais Samia ameshajua mipango yao , na kati ya mipango ya Rais Samia ilikuwa Berndard Membe aje awe mgombea Mwenza 2025. Genge lilichukia sana na kuona kua Membe angekuwa na smooth passage ya kuwa Rais 2030 Baada ya RAIS Samia.

Vita ikaanza Rasmi na genge hilo likaapa kumpigisha ajali kwa kila atakachofanya Rais Samia. Ni kwa sababu baadhi ya mambo ni classfied na yana NDA (Non disclosure Agreement ). Vinginevyo mkataba ambao hata sio wa milele ungewekwa hadharani. Kwanini mkataba hauwekwi hadharani wa badari?

Kampuni inayotaka kuingia ubia na Serikali ya Tanzania ina biashara sehemu zingine Duniani, kuweka wazi mkataba ambao una NDA ni kuharibu biashara yao maeneo mengine na sio ethics za biashara pia.

Genge hili baada ya kujua mkataba una NDA, wakaona Rais hawezi kuutoa hadharani, hivyo hata wakitunga duration ya mkataba hataweza kukataa wala kuutoa hadharani.

Nini kimeandaliwa Rasmi na genge hili kwa sasa. Watu hawa wakiongozwa na waziri ambaye kwa mambo yalipofika anaweza kutenguliwa rasmi, wanalipa watu kumtukana Rais ili waue brand kabisa.

Fikiria hadi Mange Kimambi amebadilika kutoka kuongelea Mkataba sasa nafanya personal attacks kwa Rais, hawaongelei tena Mkataba wala wanasheria waliohusika kunegotiate , the target ni Rais wa nchi . Mange Kimambi amelipwa kwa njia ya Bitcoin fedha zenye thamani ya 800 Million za kitanzania. From last Month na aliambiwa asubiri assignement, this is the clear assigment .

Huyu mnayemwona Kigogo kama anamtetea Rais, don't buy it , it is a set up, atapinduka soon na ataanza kumchafua Rais very soon, it is a strategic movement.

Hawa watu wako serious sana, wanalipa pesa nyingi sana kuusaka urais sio wa 2030 ni wa 2025.

Ni majangili haya, na kama hamuamini in less than a week to come anaweza kufariki mtu muhimu sana mmoja.

I'm telling you this sio kwa sababu sijui kwamba Bandari ni muhimu, sio kwa sababu nasupport waarabu wapewe bandari hapana, the agenda is not about Bandari get your third eye and see.

Tulimpoteza Rais Magufuli japokua na watu walifurahia lakini nawaambia, kama watanzania watazinunua hizi siasa zinazoendelea tutakuwa na Rais wa nchi ambaye ni Magufuli Reject Pro.

Bahati mabaya sana, baada ya miezi zaidi ya miwili watu hua wanarejea maandiko haya na kusema kumbe ilikuwa kweli.

Kwa viongozi wa Upinzani wengi wanacheza ngoma isiyowahusu wanakoleza moto usio na manufaa kwao.

Genge hili limeanza kupita kwa maaskofu na baadhi ya wanaojiita manabii kumpaka matope RAIS Samia kua anataka kuiingiza nchi kwenye OIC (Organization of islamic Countries) ili akose uungwaji mkono toka jamii ya wakristo hii sio haki, Uislamu wa Rais Samia kisiwe kigezo cha kumfitini kwa wakristo.

Genge hili linahonga hadi viongozi wa jumuia za kikistro ili waanzishe movement kulalamika Rais Samia anataka kuiuza nchi kwa jumuia ya Kiislamu, lengo wamchafue kisiasa na akose kabisa uungwaji mkono.

Nimeyasema yote haya nikiamini wanasiasa na waovu hawa muwajue na mjue laana wanayowaletea.
Chagueni na kujadiliana kwa weledi , wenzeni agenda zao sio hizo.

NOTE: Rais anamtaka Polepole arudi awe mwenezi genge liko tayari kufanya chochote pole pole asiwe karibu na Rais

View attachment 2651898
mkuu kuna msemo unasema 'the buck stops with me'..... in this case it stops with her.....

ukweli ni kwamba uwezo wa madam ni mdogo sana kuongoza nchi yenye uovu kama tanzania, she is not smart......

may be hata elimu yake pia ni ndogo, who knows! it will be wise akiachana na ndoto za 25 kwa sababu hana sifa wala uwezo wa kuongoza nchi.... ashukuru hata kwa hii miaka 2
 
WACHATUSEME NA.2

TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO

Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha Bandari za Tanzania na kampuni ya DP World. Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa shutuma kali kuwa Bandari za Tanganyika zinauzwa na Wazanzibari yaani Waziri wa Ujenzi, Mhe Makame Mbarawa na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Lakini ghafla mjadala ukahama kwenye Siasa na ukatawaliwa na hisia kali za kidini. Sote tumeshuhudia namna viongozi wa dini ya Kikristo hasa wakatoliki wakiongozwa na Kadinali Pengo walivyokuwa wakilipigia kelele suala la Bandari.

Hoja zinazotawala mjadala huu ni mbili. Hoja ya kwanza ni kwamba mkataba ule umesainiwa na Waziri Mzanzibari na Rais Mzanzibari na kwamba Wanzanzibari hawa wawili wanauza mali za Tanganyika. Hoja yao ya pili inadai kuwa mkataba hauna ukomo wa muda, yaani ni mkataba wa milele. Hii hoja hii ya pili inashabikiwa sana na viongozi wa Kanisa.

Jambo la kushangaza ni kuwa mpaka sasa hakuna hata msemaji mmoja, awe mwanasiasa au kiongozi wa Kanisa aliyetoa hoja za kiuchumi na utendaji za kupinga makubaliano hayo.

Badala yake, viongozi wengine kama vile mama Anna Tibaijuka anadiriki kusema uwongo kuhusu sababu za DP World kukataliwa kuendesha Bandari za Marekani. Mama Tibaijuka anajua vyema lakini hakutaka kusema kuwa sababu ya kukataliwa kuongoza Bandari za New York na New Jersey ni Uwarabu wao na wala si utendaji wao.

Ni kweli Bunge la Marekani lilikataa DP World wasipewe Bandari hizo lakini walisema wazi kuwa Marekani haiwezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao kwa sababu za kiusalama. Hakuna asiejua msimamo wa Marekani kuhusu Waarabu na Waislamu.

Kwa makusudi kabisa, mama huyu anapotosha watu kwa kufananisha suala la Bandari za Marekani na Bandari za Dar es Salaam. Kwenye suala la Dar es Salaam, DP World haikutaka kununua TPA. Inachopendeza ni kuendesha na si kununua Bandari ya Dar es Salaam.

Suala hili la kuendesha si geni Tanzania. Kampuni ya TICTS imeendesha Bandari ya Dar es Salaam kwa zaidi ya miaka 20. Kampuni ya “Swissport” inaendesha Kiwanja cha Ndege cha Dar es Salaam kwa muda mrefu. Mbona hizi kelele hatukuzisikia?

Wakati wa utawala wa Donald Trump Marekani ilifika hatua ya kupiga marufuku baadhi ya Mataifa ya Arabuni kwa maana Waislamu kuingia Marekani. Kwa hiyo mama Tibaijuka hakutaka kuwa mkweli kuhusu suala hili.

Ametumia kivuli chake cha kuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa kwa wakati ule kuwaaminisha Watanzania kuwa yeye anafahamu zaidi kuhusu ubaya wa DP World.

Mama Tibaijuka amekosa uadilifu (moral authority) wa kuweza kukemea kile alichokiita mkataba mbovu kwa sababu wakati kampuni ya TICTS iliyokuwa inaendesha Bandari ya DSM kwa utendaji wa hovyo huyu mama alikaa kimya hata pale ambapo TICTS walipopewa nyongeza ya mkataba wa miaka 15 bila kufuata sheria za manunuzi.

Lakini jambo la pili, nani asiyejua kuwa mama Anna Tibaijuka alikiri hadharani kuwa alipokea shs 1.6 bilioni ya fedha za rushwa za ESCROW? Huyu mama ambaye alisema kwa majigambo kuwa shs 1.6 bilioni ni pesa ya mboga ana uchungu gani wa kuwatetea Watanzania masikini?

Bado tunarejea kusema tena kwa kinywa kipana, mpaka sasa hakuna mtu hata mmoja aliyesema kwa kuonesha ushahidi kuwa DP World hawana uwezo kifedha au utendaji wao ni mbovu. Hakuna aliyesema kuwa hizo fedha ambazo tunaahidiwa ni ahadi hewa kwa sababu DP World hawana uwezo wa kuvutia mizigo kupitia Bandari ya Dar es Salaam.

Kwa kuwa mjadala umetawaliwa na CHUKI za kidini na wasemaji wakubwa wamekuwa viongozi wa Kanisa. Tukumbuke kuwa ni Wakristo hao hao ambao mmoja kati ya viongozi wao waliosema kuwa Rais Samia anafanana na muuza vitumbua! Makanisa hawakukemea kauli hii ya kumkosea adabu Rais.

Kwa kuwa mjadala wa Bandari una chuki za udini, naomba tujikumbushe nafasi ya Makanisa katika nchi hii.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa Makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote; Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu ? Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi. Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa Makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa Serikali inatoa fedha kwa Makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, Makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa Makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka Serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele. (Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu. Huyu ni Mkristo

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.
Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo? Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza Mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.
Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo. Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake. Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021. Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao. Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao. Ukimya huu tuutafsiri vipi? Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.

Watanzania hawajasau wakati wa utawala wa Magufuli wameshuhudia mauwaji kule Kibiti na Rufiji ambayo ni Wilaya zenye Waislamu wengi. Watanzania bado wanakumbuka viroba vyenye miili ya watu vilivyokuwa vinaokotwa Coco Beach kila uchao.

Kanisa lilikuwa wapi wakati Magufuli anatoa roho za watu wasio na hatia? Masheikh wangapi wamepotea ambao mpaka leo hawajulikani walipo wakati wa utawala wa Magufuli?

Hao waliobahatika wametoka jela wakiwa vilema kama alivyo Sheikh Abdallah Maginga Wambura ambaye kakatwa mguu kutokana na vipigo vya Polisi?

Yuko wapi mwanasiasa Ben Saanane ambaye “kosa” lake ni kuandika kuwa PhD ya Magufuli ni feki? Yuko wapi Mwandishi Azory Gwanda ambaye “kosa” lake lilikuwa kuandika ukweli kuhusu mauwaji ya Kibiti?

Wakati wa utawala wa Magufuli, Mbunge wa Kilwa Kusini Mhe Selemani Bungara maarfu “Bwege” aliwahi kusema Bungeni kuwa raia wake walichukuliwa na askari msikitini na wamepotea mpaka leo hawajulikani walipo. Kanisa halikuyaona haya?

Kama Kanisa ilifumbia macho udhalimu na ukatili huu, leo wanapata wapi mdomo wa kukemea hicho wanachokiita mkataba usio na maslahi kwa wananchi?

Ni wananchi gani hao ambao leo Kanisa linajifanya kuwatetea?

Saa Watanzania wanakumbuka kuwa pamoja na ukatili wote wa Magufuli, ni viongozi hao hao wa Kanisa waliokuwa wakimkaribisha kila Jumapili kwenye Makanisa yao na kumpa nafasi ya kuzungumza. Leo Kanisa linataka kuwadanganya Watanzania kuwa lina maslahi na wananchi?

Kuna kitu kikubwa zaidi ya uhai? Wakati watu wanatolewa roho zao na Magufuli Kanisa lilikuwa wapi?

KWANINI WAKRISTO WANAPINGA MKATABA WA BANDARI

Mpaka sasa si Makanisa wala Wanasiasa ambao wametoa hoja ya kiuchumi. Tofauti na Wamarekani ambao walisema hadharani kuwa hawawezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao, hapa Tanzania sababu haswa ya kupinga Mkataba haisemwi hadharani.

Vinatafutwa visingizio tu. Ukweli ni kuwa Mkataba wa Bandari unapingwa na kuwepo kwa fikra potofu za Kanisa kuwa:

Iwapo DP World watapewa zabuni ya kuendesha Bandari, uwepo wao Tanzania utawanufaisha Waislam kwa namna moja au nyingine.

Kuna wanaohofia kuwa iwapo Bandari itafanikiwa, na endapo itatokea fursa ya miradi mingine mikubwa ya kiuchumi, Dubai watakuwa na nafasi nzuri ya kupewa miradi hiyo. Kwa hiyo kuwepo kwao kutaimarisha Uislamu.

Ikiwa DP World watapata tenda ya Bandari, nchi itapata mafanikio makubwa ya kiuchumi ambayo kwa fikra zao potofu yatakuwa yameletwa na Rais Mwislamu. Kwa maana hiyo, Waislamu wanaweza kuongoza nchi kwa ufanisi. Tayari kuna watu wanaosema kuwa Samia awe Rais wa mwisho Mwislamu Tanzania

Kuna wanaosema Bandari ikipata mafanikio itaonekana kuwa kumbe Wanawake wanaweza kuongoza nchi vizuri
Kuna wasemao kuwa Bandari ikifanikiwa itaonekana Wanzanzibari nao wana uwezo sawa na wa Bara katika kuliongoza taifa letu.

Hoja zote hizo ni za kipuuzi. Mafanikio yakiletwa na Rais Mwislamu au mwanamke au Mzanzibari wataonufaika ni wananchi wote.

Fedha za Bandari zitawanufaisha WOTE kwani anaepanga matumizi ya fedha ni Bunge letu ambalo lina Wabunge Waislamu, Wakristo na wasiokuwa na dini.

MWISHO

Nchi hii Waislamu wamekuwa wakidai kuwa Tanzania ni NCHI YETU SOTE

Waislamu wamekuwa wakidai kuwa idadi yao ni kubwa

Waislamu wanajigamba kuwa wamesoma lakini hawapewi fursa sawa

Kinachoshangaza ni kuwa tokea Mjadala wa Bandari uanze na hata mijadala mingine inayohusu UDINI huwasikii Waislamu kusema lolote. Wao ni kimyaaaaaaaaaa.

Mjadala wa Bandari umetawaliwa na viongozi wa dini ya Kikristo, Wasomi Wakristo, Taasisi za Kikristo na hata wanasheria waliofungua kesi Mahakamani ni Wakristo.

Kwenye mjadala wa Bandari kuna mafunzo kwa Waislamu

MWENYEZIMUNGU ASHUHUDIE TUMEFIKISHA
 
Back
Top Bottom