Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wazee wataalam wanaJF,
Tafadhali mtujuze, hivi kuna hasara na faida gani kuwa na rais wa nchi mtendaji (executive president) ambaye vilevile ni mwenyekiti wa chama chake tawala, kama alivyo hapa Tanzania? Kama hasara ni nyingi kuliko faida (kama zipo), je, upo uwezekano wa katiba mpya kushughulikia suala hili?
Tafadhali mtujuze, hivi kuna hasara na faida gani kuwa na rais wa nchi mtendaji (executive president) ambaye vilevile ni mwenyekiti wa chama chake tawala, kama alivyo hapa Tanzania? Kama hasara ni nyingi kuliko faida (kama zipo), je, upo uwezekano wa katiba mpya kushughulikia suala hili?