Kuna dosari kwenye Kitengo cha kampeni UKAWA

Kuna dosari kwenye Kitengo cha kampeni UKAWA

Wazee wa propaganda wa UKAWA amkeni amkeni!!

Kama mko kimkakati zaidi ni vyema tunawasubiri, ila chelewa chelewa yenu hii..sijui!? Mnaweza achia mwanya watu wakalishwa haramu mkija mnakuta wameshashiba ujinga.
 
Amkeni mjifunike shuka huku kunakucha...Magufuli tayari ni rais wetu watanzania.
 
CCM wameteka mabango yote ya matangazo mijini. Ukienda unaambiwa already booked! Ila UKAWA na LOWASSA wamekaa ndani ya mioyo ya watanzania, hata bila kampeni kali tunawakabidhi nchi Tar 25.10.2015.

Mussa Allan leo wamejaa JF na maneno yao mbofumbofu #KataaCCM2thOctober2015
 
CCM wameteka mabango yote ya matangazo mijini. Ukienda unaambiwa already booked! Ila UKAWA na LOWASSA wamekaa ndani ya mioyo ya watanzania, hata bila kampeni kali tunawakabidhi nchi Tar 25.10.2015.

Brother unaweza chukulia kama matani au upuuzi kwa mada aliyoleta huyu jamaa lakini ni kweli UKAWA imejisahau sana huku CCM wakisonga mbele. Matokeo ya kupiga ya Twaweza hilo ni pigo lingine kwa kitengo cha habari CHADEMA na UKAWA.
 
ccm wameteka mabango yote ya matangazo mijini. Ukienda unaambiwa already booked! Ila ukawa na lowassa wamekaa ndani ya mioyo ya watanzania, hata bila kampeni kali tunawakabidhi nchi tar 25.10.2015.
bidhaa imevunda
 
​ccm ata wakeshe uchi watavuna walichopanda hakuna namna ya wao kupata huruma kutoka kwa wana nchi wenye hasira nayo!
 
mm nasikitika tu jinsi wananchi wasivyo waelewa ni kweli 5000 unamkabidhi mtu ikulu akakutese umeteseka weee bado tu jamani tuchague chama kingine tupate maendeleo ccm imechoka
 
nasikia tr 24-10-2015 ccm imeshalipia tv zote na redio kumalizia kampeni ukawa mko wapiiiii
 
Wana jf,
Ni ukweli usiopingika kwamba tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu, tumeshuhudia ukimya mkubwa katika kambi ya Ukawa kwenye kitengo cha uhamasishaji na matangazo.

Tofauti na wenzetu wa ccm ambao wameweka matangazo na amshaamsha kila pembe kama tv, radio, magazeti mitandaoni na kila sehemu ambapo wanahisi ujumbe utawafikia watu wengi kwa muda mfupi(haswa vijana).

Kinachonishangaza zaidi ni ukimya na kupooza huku ambako kumeingia hadi hapa ukumbini.
Sioni tena zile pilika tulizozizoea za akina Molemo na Tumaini Makene.

Swali langu kwenu viongozi wa ukawa, Mnafikiri bidhaa itanunulika vizuri bila matangazo?? Nb. Pamoja na uzuri wa bidhaa za Samsung, wanongoza pia kwa kuzitangaza. Chukueni hatua haraka!!

pesa inaongea kamanda.buku tatu na lita moja ya petroli
 
Last edited by a moderator:
Wazee wa propaganda wa UKAWA amkeni amkeni!!

Kama mko kimkakati zaidi ni vyema tunawasubiri, ila chelewa chelewa yenu hii..sijui!? Manaweza achia mwanya watu wakalishwa haramu mkija mnakuta wameshashiba ujinga.

Teh teh teh , mnataka kuleta propaganda Hopi sasa? kwamba babu siyo mgonjwa ama CCM wanataka kuwaibia kura, ama kwamba Ukawa hakuna migogoro? propaganda ni uongo, sasa mnataka kutwambia uongo gani tena? kwamba jamaa hakujinyea?
 
Teh teh teh , mnataka kuleta propaganda Hopi sasa? kwamba babu siyo mgonjwa ama CCM wanataka kuwaibia kura, ama kwamba Ukawa hakuna migogoro? propaganda ni uongo, sasa mnataka kutwambia uongo gani tena? kwamba jamaa hakujinyea?

Siasa maana yake ni "SII HASA". Hivyo propaganda ndio nyumbani kwake.
 
Teh teh teh , mnataka kuleta propaganda Hopi sasa? kwamba babu siyo mgonjwa ama CCM wanataka kuwaibia kura, ama kwamba Ukawa hakuna migogoro? propaganda ni uongo, sasa mnataka kutwambia uongo gani tena? kwamba jamaa hakujinyea?
Hivi hii habari ya Msukuma imeshakanushwa na ukawa?!.
 
Ccm wana tapatapa ukweli utajulikana tar.25 Oct. Kizuri cha jiuza kibaya chajitembeza km wewe ni mzuri kwa nini utumie nguvu kubwa
 
wewe jamaa umeongea kitu kikubwa saaana. synchronization imeshindikana between the two teams??? au Team mpya inadharau makandokando ya Team ya zamani?
Jamaa kaja na team yake!
Hii ni kama Mgeni kaja na analala chumbani na mama, na baba mwenye nyumba unasubiri sebuleni kumpisha mgeni!
Ni ngumu kuielewa hii move!
 
Wana jf,
Ni ukweli usiopingika kwamba tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu, tumeshuhudia ukimya mkubwa katika kambi ya Ukawa kwenye kitengo cha uhamasishaji na matangazo.

Tofauti na wenzetu wa ccm ambao wameweka matangazo na amshaamsha kila pembe kama tv, radio, magazeti mitandaoni na kila sehemu ambapo wanahisi ujumbe utawafikia watu wengi kwa muda mfupi(haswa vijana).

Kinachonishangaza zaidi ni ukimya na kupooza huku ambako kumeingia hadi hapa ukumbini.
Sioni tena zile pilika tulizozizoea za akina Molemo na Tumaini Makene.

Swali langu kwenu viongozi wa ukawa, Mnafikiri bidhaa itanunulika vizuri bila matangazo?? Nb. Pamoja na uzuri wa bidhaa za Samsung, wanongoza pia kwa kuzitangaza. Chukueni hatua haraka!!
ukumbi huu umepoteza baadhi ya sifa... according to some observers
 
Hivi hii habari ya Msukuma imeshakanushwa na ukawa?!.
j

Mkuu hapo ndio haswa penye tatizo. Taarifa ya kijinga kama hii inaachwa tuu inazagaa bila kukanushwa mpaka inaoneka kama ni kweli. Inauma na kusikitisha sana.
 
Back
Top Bottom